Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Unaongea na mtu ambaye huko kote nacheza.. Tena huwa siishii mjini tu, napita mpaka vijijini kwahiyo hali halisi naijua..

Huwezi kuiweka Tunduru mbele ya Masasi au Nachingwea kwa hali yeyote ile..
Tupe basi mkuu vyanzo vya mapato vinatoka wapi huko Tunduru?

Pengine na ukubwa wa Wilaya unachangia lakini pia mapato ya hifadhi
 
Tupe basi mkuu vyanzo vya mapato vinatoka wapi huko Tunduru?

Pengine na ukubwa wa Wilaya unachangia lakini pia mapato ya hifadhi
Gemstones na mazao ya biashara kama Ufuta na Korosho kiasi..

Kwenye madini wengi ni wageni, wenyeji hujishughilisha na kilimo..

Ila hapo kwenye list yako sijaiona Tunduru ngoja nikaiangalie

(Okay nimeona wako 27, wana madini ya vito, labda ndio yanawabeba sana)
 
Kwahiyo watu wa Tanga City wana maisha mazuri kuliko wa Moshi MC au Iringa MC??

Unataka kusema Tandahimba wanaishi au wana maisha mazuri kuliko Hai, Masasi, Songea, Njombe??
Pengine hali zinabadilika maana kwa miaka iliyopita hizo wilaya hazikuwemo kwenye Halmashauri zenye mapato mengi but kadiri mda unavyoenda mabadiliko yanatokea

Na hakika kwamba kwa sasa maisha ni better off kuliko hapo zamani na kuifikia Wilaya za Moshi itachukua mda but with new economic muscles watafika ni suala la mda sio la overnight.

Kumbuka hayo mapato wanakusanya na kutumia wenyewe tofauti na huko kwingine ambako wanategemea zaidi Ruzuku ya serikali kuu.

Nikupe mfano ukiingia kwenye bajeti za Halmashauri utakuta wanaopata pesa nyingi wameweka miradi mingi zaidi on top ya ile ya kutoka serikali kuu,eg.Kahama MC wanajenga hospital ya Wilaya kwa pesa za ndani,Dom CC wanajenga hoteli kwa pesa za ndani ,na trend iko hivyo kwenye Halmashauri zingine zenye uwezo wa makusanyo ni ishu ya vipaombele tuu.

Pia Manispaa nyingi za Dar zinajenga barabara zao kwa kupeleka pesa Tarura nje ya bajeti ya kawaida kutoka serikali kuu.Kwa hiyo boss mda utaleta majibu mazuri
 
Okay kwenye germstones huwa naona wafanyabiashara wanaenda Sana huko

Mkuu uwe unasoma kabla ya kuchangia, Tunduru DC ipo no.27
 
Muleba imeizid bukoba mjini yenye bandari na viwanda na viwanja vya ndege naomba nielimishwe kidogo.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Uvuvi
Mimi mwenyew nashangaa.
Hadi wilaya ya misenyi yenye viwanda kama kagera sugar,kilimo cha vanilla,mpaka wa mutukula na Ranchi kibao inazidiwa na wilaya ya muleba iliyojaa migomba na kahawa
Uvuvi wa visiwan ndo unaibeba sn Muleba
 
Nataka za current hizo nimeziona ndo maana nikauliza kwa nini wasiweke hadi za mwaka wa fedha 2020/21? Historia sio dili kwa sasa tunataka tuone matokeo ya jasho letu.
Ndio sasa tuombe ziwekwe..

Na kutowekwa lazima ni maelekezo kutoka juu au data zilikuwa zikipikwa..
 
Ngoja bandari ijengwe.
Pesa itakuwepo Huku.
Utalii wenyewe Corona imezingua
Bagamoyo bado sanaa
Bagamoyo imekuwaje tena? Hakuna mkwanja kivipi yaani?
1. Utalii
2. Uvuvi/Samaki
3. Kilimo
4. Viwanda
5. Ukaribu na Dar es salaam
6. Hoteli
7. Heritage site(s) - UNICEF

What is not happening???
 
Kweli kuna mikoa hali zao ni mbaya sana
 
Mkoa wa Iringa inaonekana kuna hela sana, hasa Wilaya ya Mufindi.
Huku twina mapesa wuhulo kiba na hatuzitumii tumezitunza tu MUCOBA nakata nguzo za mlingoti nauza zinachipua baada ya miezi 24 nakata tena zinachipua tuna migodi isihokauka huku labda muache kujenga ndo tutakuwa masikini. WanaMufindi hoiyee
 
AISEEH KUMBE RUNGWE TUPO

xema hii haishagazwi sana coZ kuna vitu vingi vinaingza mapato kwenye wilaya hii mfano viwanda vya Chai. Viwanda vya maziwa (ASAS). Viwanda vya parachichi .....pia mazao ya kahawa n.k
 
Hebu ficha upumbavu wako mkuu.
Kujenga nyumbani sio ufahari ni kukumbuka, kuenzi na kurudisha fadhila mahali ulipozaliwa na kukulia.
Pia inaepusha zile aibu hasa panapo tokea msiba au sherehe itakayo fanyikia nyumbani na kuhusisha ndugu, jamaa na marafiki kutoka mjini halafu wakute nyumbani pako hovyohovyo hali ya kuwa huku mjini uko vyema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…