Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Mamlaka ya serikali za mitaa ALAT ingepigia kelele hili kama walichofanya kwenye kodi ya majengo/nyumba.

Haiingii akilini usumbufu wote ule wanaopata wananchi wanaopakana na hifadhi afu pesa wakatumbue wengine huko
Kwa hapa nchini national park inayoongoza kwa kuingiza hela nyingi ni Ngorongoro ikifuatiwa na Kilimanjaro. Lakini hao wananchi wanaozunguka hizo mbuga hata hawajui kama hizo mbuga zinafaida gani kwao zaidi ya kuwa harassed tu wanapoingia maeneo ya hifadhi. Kama ngorongoro hata wale wamasai wanaokaa mle ndani kila mara wanataka kuwatimua. Ni uonevu wa hali ya juu
 
Kuna Meru DC na Arusha DC wapi ni makao makuu ya Arusha DC na mipaka yake?
Arusha DC makao makuu ni pale Sekei. Meru DC makao makuu ni Usa River pale Leganga.

Meru DC inaanzaia inapoishia Tengeru kuendelea mpaka na mkoa wa Kilimanjaro. Arumeru ni eneo lote la kuzunguka Arusha City inapakana na Longido kwa Kaskazini, Meru kwa Mashariki, Meru kwa kusini na Monduli kwa Magharibi
 
Binafsi sijashangaa Dodoma kuwepo na pia nisingeshangaa sana kuwepo top 3, kilicho nishangaza ni kukimbizana na Ilala,
Nilitarajia gap kati ya ilala na namba 2(haijalishi awe nani) liwe kubwa haswaaa kama 10bn hivi.

Mzunguko uliopo k.koo si wakitoto hata kidogo, mapato ya k.koo tuu kwa mwezi, kuna mikoa mingi tuu halmashauri zake ukiziunganisha zinakimbizwa na k.koo,
Kuna baadhi ya halmashauri hela zinazoingiza zinakimbizwa na mtaa wa Congo.

Au Halmashauri ya Bumbuli jana nimemsikia Ummy akisema imekusanya 336Mil from July 2020-March 2021, almost miezi 9.

Sasa Haya si mapato ya duka Moja la Hardware pale k.koo???
Hizi ni dharau.
Shida iko hivi hiyo hardware pale Kkoo inalipa kodi yake TRA, anachoambulia Ilala ni leseni ya biashara tu ambayo gharama yake ni ndogo kuliko PYE ya mtumishi wa umma wa ngazi ya chini wa Wilayani. Ndiyo maana Halmashauri hazitaweza kujitegemea unless ziwe na migodi kama Geita au Kahama.

Tena wakati wa magu hali ilikuwa mbaya zaidi maana hata ushuru wa mabango ulichukuliwa na TRA. Something need to change kama kweli tunataka kupeleka hii nchi mbele
 
Tanzania imekua shamba la bibi ndio maana baadhi ya viongozi wasio waadilifu wanaibatu hawaogopi.
Wengine wanawaziba midomo takukuru na macho yanatupiwa mchanga kabisa.
Ukianhalia halmashauri kama Tanga, Arusha Mbeya,Mwanza nk eti zimepitwa na Dodoma. Tatizo ni wizi. Hapo Dodoma wapo katibu na macho ya wakubwa ndio maana. Utaona kadri muda unavyoenda nao watashuka. Tanga kuna maeneo ya taasisi yamekodishwa kwa wafanya biashara lakini taasisi hizo hazipati hata mia moja na wawekezaji wanapeleka kwa mabosi. Viwanda vimefungwa wajasiriamali kama mama lishe hawauzi na kulipa kodi tena,wizi mtupu na madiwani na mbunge wamemuachia mkurugenzi halmashauri. Takukuru tanga hawajawahi kuonekana wakitetea maslahi ya uma kama ilivyo kwa mikoa mingine. Wanaungana na wezi na kuwahakikishia ulinzi. Halmashauri nyingine hasa majiji yaliyopitwa na Dodoma viongozi wake wasaidiwe
Waziri wa uwekezaji,fedha,viwanda na biashara saidia tanga huyo wa Tamisemi akifika tanga anakaa meza moja na hao wabadhirifu.
 
Nielimishe tafadhali, maendeleo maana yake ni nini?
Maendeleo ni dhana pana ila kwa muktadha wa mjadala wetu ambapo najua unataka kujua ni vipi kujenga nyumba ya kuishi sio maendeleo, nitakujibu...

Chakula, mavazi na malazi (nyumba) vimeainishwa kuwa mahitaji ya msingi ya mwanadamu bila kujali hali yake kama ni tajiri ama fukara.

Kwenye Human Development Index (HDI) kuna vitu vinne vinazingatiwa ikiwemo Standard of living ambapo chakula, mavazi na malazi huangukia humo. Na vinatathminiwa kwa mtiririko huo ie chakula kwanza, mavazi kisha makazi.

Kama ambavyo huwezi kumregard mtu ameendelea kwa kuwa anamudu chakula au mavazi, ndivyo ambavyo huwezi kumregard mtu huyo huyo kwa kuwa tu amejenga nyumba ya kulala.

Mtu aliyejenga na aliyepanga wote wana malazi tena yawezekana aliyepanga ana malazi bora kuliko aliyejenga kutegemea na hadhi ya nyumba husika.

Unaweza kuwatofautisha vizuri mtu aliyejenga na yule mwenye uwezo sawa na wake aliyepanga na kisha ile gharama ya ujenzi akaiwekeza ikawa inazalisha na baadae akamiliki nyumba huku akiwa na miradi tayari.

Disclaimer:
Sisemi hata kidogo kuwa kujenga ni jambo baya kwa mtu ambaye anamudu mahitaji yake mengine bila shida ila kukimbilia kujenga wakati with time huwezi hata kumudu mlo na mambo mengine hilo ni tatizo.

Na ndio scenario za ujenzi mwingi wa vijijini watu wanao ufanya kwa maelezo kuwa wanaboresha kwao wakati anao waboreshea wamedumaa kwa njaa.

Kwa nini hiyo gharama ya ujenzi usibuni mradi pale kijijini ambao utapelekea kujenga huku watu wakiwa wanajiingizia kipato na kujipatia chakula, mavazi, elimu, afya njema, huduma za maji, nishati ya umeme nk nk ambavyo actually ndivyo huitwa maendeleo kwa pamoja.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 41 pekee kati ya Halmashauri 165 Tanzania ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.

Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.

Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.

1.Ilala MC=58.6bln

2.Dodoma CC=53.2bln

3.Kinondoni MC=44.5bln

4.Temeke MC=34.4bln

5.Arusha City=19.2bln

6.Ubungo MC=17.9bln

7.Mbeya City=13.0bln

8.Tanga City=12.8bln

9.Mwanza CC=12.2bln

10.DSM CC=11.4bln

11.Ilemela MC=10.2bln

12.Geita TC=9.2bln.

13.Morogoro MC=7.5bln

14.Kahama MC=7.12bln

15.Chalinze DC=7.1bln

16.Mkuranga DC=6.6bln

17.Kigamboni MC=6.4bln

18.Mufindi DC=6.1bln

19.Moshi MC=5.7bln

20.Iringa MC=5.62bln

21.Njombe TC=5.6bln

22.Tunduma TC=5.4bln

23.Tarime DC=5.2bln

24.Kilolo DC=5.0bln

25.Mtwara MC=4.8bln

26.Mafinga TC=4.7bln

27.Tunduru DC=4.7bln

28.Muleba DC=4.61bln

29.Kilwa DC=4.6bln

30.Geita DC=4.5bln

31.Arusha DC=4.01bln.

32.Mlimba DC=4.0bln

33.Mbozi DC=3.97bln

34.Tandahimba DC=3.92bln

35.Mbarali DC=3.9bln

36.Rungwe DC=3.89bln

37.Kilosa DC=3.8bln

37.Mbeya DC=3.8bln

38.Mbinga DC=3.65bln

39.Chato DC=3.64bln

40.Kibaha TC.3.62bln

41.Chunya DC=3.5bln

My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi

Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.

Pdf ya Tamisemi hii hapa [emoji116][emoji116] unaweza kujionea mwenyewe

View attachment 1764113
Dodoma kuna kipi hasa hadi kuizidi mufindi, njombe, mwanza, kinondoni na temeke yenye bandari
 
Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 41 pekee kati ya Halmashauri 165 Tanzania ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.

Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.

Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.

1.Ilala MC=58.6bln

2.Dodoma CC=53.2bln

3.Kinondoni MC=44.5bln

4.Temeke MC=34.4bln

5.Arusha City=19.2bln

6.Ubungo MC=17.9bln

7.Mbeya City=13.0bln

8.Tanga City=12.8bln

9.Mwanza CC=12.2bln

10.DSM CC=11.4bln

11.Ilemela MC=10.2bln

12.Geita TC=9.2bln.

13.Morogoro MC=7.5bln

14.Kahama MC=7.12bln

15.Chalinze DC=7.1bln

16.Mkuranga DC=6.6bln

17.Kigamboni MC=6.4bln

18.Mufindi DC=6.1bln

19.Moshi MC=5.7bln

20.Iringa MC=5.62bln

21.Njombe TC=5.6bln

22.Tunduma TC=5.4bln

23.Tarime DC=5.2bln

24.Kilolo DC=5.0bln

25.Mtwara MC=4.8bln

26.Mafinga TC=4.7bln

27.Tunduru DC=4.7bln

28.Muleba DC=4.61bln

29.Kilwa DC=4.6bln

30.Geita DC=4.5bln

31.Arusha DC=4.01bln.

32.Mlimba DC=4.0bln

33.Mbozi DC=3.97bln

34.Tandahimba DC=3.92bln

35.Mbarali DC=3.9bln

36.Rungwe DC=3.89bln

37.Kilosa DC=3.8bln

37.Mbeya DC=3.8bln

38.Mbinga DC=3.65bln

39.Chato DC=3.64bln

40.Kibaha TC.3.62bln

41.Chunya DC=3.5bln

My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi

Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.

Pdf ya Tamisemi hii hapa [emoji116][emoji116] unaweza kujionea mwenyewe

View attachment 1764113
Kumbe Chunya tunakuja vizuri. Japokuwa ndiyo funga mkia ktk list tajwa.
 
Shida iko hivi hiyo hardware pale Kkoo inalipa kodi yake TRA, anachoambulia Ilala ni leseni ya biashara tu ambayo gharama yake ni ndogo kuliko PYE ya mtumishi wa umma wa ngazi ya chini wa Wilayani. Ndiyo maana Halmashauri hazitaweza kujitegemea unless ziwe na migodi kama Geita au Kahama.

Tena wakati wa magu hali ilikuwa mbaya zaidi maana hata ushuru wa mabango ulichukuliwa na TRA. Something need to change kama kweli tunataka kupeleka hii nchi mbele
Zitaweza tuu kwani zote zina migodi? Kuna kilimo,misitu na biashara na ufugaji na uvuvi kuna pesa za kutosha ni suala la uwekezaji tuu.
 
Upumbavu ni hiyo namna unayoamini wewe kuwa ukienda kujenga nyumba ya kuishi kijijini kwenu utakuwa umewaridhisha ndugu na jamaa na kificha hiyo unayoita aibu wakati hakuna namna umeinua hali zao za maisha.

Ndugu na jamaa zako wanashindia mlo mmoja, wamejaa viraka, elimu duni, hawana shughuli za kuwapatia kipato nk nk then we la maana unaloona ni kujenga nyumba nzuri kisha walale humo na njaa na viraka vyao

Ikiwa huko kijijini kwenu ndio mnajengewa shule za kata, kuletewa umeme wa REA na vituo vya afya kwa hisani ya CCM.
Uchagani huduma muhimu kama shule, vituo vya afya, umeme, maji na barabara ni vitu ambavyo wazee wetu walivijenga na bado vipo vinavyojengwa na kuendelezwa hadi hii leo.
Na kuhusu suala la kuinuana na kujaliana Wachaga ni moja ya jamii au kabila inayojali kuinuana sana kielimu na kiuchumi.
 
Dodoma kuna kipi hasa hadi kuizidi mufindi, njombe, mwanza, kinondoni na temeke yenye bandari
Wajameni tusiishi kwa kukariri, miaka 5 ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali umezalisha na kuvutia fursa nyingi za biashara, ujenzi, huduma na viwanda

Nani hajui kwamba Dom ni hot spot ya ujenzi kwa sasa nyuma ya Dar,both kwa private sector na public sector? Unapojenga manake kwamba sekta ya ujenzi inakua kwa hiyo mapato kutoka huko ni makubwa ambayo ni leseni za biashara,kuuza viwanja,vibali vya ujenzi na kodi mbali mbali

Lakini pia Dodoma kuwa makao makuu manake kwamba ina wakazi wengi ambao Wana purchasing power kubwa kuliko miji mingi ukiondoa Dar,tafsiri yake ni kwamba biashara nyingi zimehamia huko kufuata hao wanunuzi.

Kana kwamba haitoshi uwekezaji wa viwanda na biashara nyingine kubwa kubwa unashika kasi,mfano mdogo retail sector kwenye sekta ya mafuta ya magari imekua Sana kiasi kwamba vituo vya mafuta ni vingi Sana Dom nyuma ya Dar tuu.

Hata viwanda vinajenga Sana tuu,juzi Kati hapa karibu wazindue kiwanda cha kuchakata dhahabu kama kile cha Mwanza,pia kampuni ya Burundi inajenga kiwanda kikubwa cha mbolea,dola za marekani milioni 400 zinawekwa.

On top of that population ya Dom saiz ni kubwa nyuma ya Dar,Mwanza juu ya hapo ni population yenye pesa tofauti na ya Miji mingine.

Stay tuned,utashangaa zaidi
 
Tanzania imekua shamba la bibi ndio maana baadhi ya viongozi wasio waadilifu wanaibatu hawaogopi.
Wengine wanawaziba midomo takukuru na macho yanatupiwa mchanga kabisa.
Ukianhalia halmashauri kama Tanga, Arusha Mbeya,Mwanza nk eti zimepitwa na Dodoma. Tatizo ni wizi. Hapo Dodoma wapo katibu na macho ya wakubwa ndio maana. Utaona kadri muda unavyoenda nao watashuka. Tanga kuna maeneo ya taasisi yamekodishwa kwa wafanya biashara lakini taasisi hizo hazipati hata mia moja na wawekezaji wanapeleka kwa mabosi. Viwanda vimefungwa wajasiriamali kama mama lishe hawauzi na kulipa kodi tena,wizi mtupu na madiwani na mbunge wamemuachia mkurugenzi halmashauri. Takukuru tanga hawajawahi kuonekana wakitetea maslahi ya uma kama ilivyo kwa mikoa mingine. Wanaungana na wezi na kuwahakikishia ulinzi. Halmashauri nyingine hasa majiji yaliyopitwa na Dodoma viongozi wake wasaidiwe
Waziri wa uwekezaji,fedha,viwanda na biashara saidia tanga huyo wa Tamisemi akifika tanga anakaa meza moja na hao wabadhirifu.
Ndio muwafichue sasa maana pesa inayoliwa ni yako na yangu japo mnufaika wa kwanza utakuwa wewe uliopo Eneo husika.

Kama kuna upotevu wa mapato ni shida ya viongozi wa huko,mtaishiwa kuzidiwa na kulia Lia kila siku mara ooh wamepika data mara ooh sijui nini yaani hoja hopeless
 
Tanga sidhan kama inawashinda watu wa kigoma kwa kipato mana maisha yatanga yanajulikana takwim zako jua ni za TRA so tanga Kuna viwanda vingi
 
Back
Top Bottom