Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hazito na ndiyo ujinga uliopo kwenye utalii wetu. Kinachukuliwa kikubwa. Wao hamna cha maana wanachorudisha kwa jamii
Mmh mdau hapo juu kasema wanatoa mirabaha mikubwa tu kwenye halimashauri husika, Sasa nani yuko relevant kwenye hili swala? Opportunity Cost
 
Kujenga nyumba ya kuishi sio maendeleo ndio maana pamoja na majengo hayo yote kwenye kuzalisha mapato huoni halmashauri za mkoa wa Kilimanjaro zikifanya vizuri.

Wangeweza kufanya uwekezaji ambao una tija na kujenga makazi yenye ubora, Kilimanjaro ina uhaba wa ardhi kwa sabab ya matumizi ya hovyo ya ardhi ikiwemo kujenga majengo ambayo hakuna hata wa kuishi na kujikatia mashamba ambayo hata hayazalishi chochote cha maana. Kama ulimsikia Kimei nadhani anatoa hoja bungeni wapatiwe ardhi ya ziada.[emoji116][emoji116]
Kwani wakijenga vijijini kwao wanakuwa wamefilisika kiasi cha kushindwa kujenga mjini? We kama hupendi maendeleo ya kijijini kwenu hilo ni tatizo lako usitake kuamlia watu wengine! Mjini hapaendelezwi na wenyeji tu bali watu kutoka sehemu mbalimbali. Mfano Morogoro mjini hakuna mluguru anayemiliki kitu cha maana infact waluguru wote wamewaachia mji wageni wao wanajilimia magimbi yao huko milimani.

Upumbavu ni hiyo namna unayoamini wewe kuwa ukienda kujenga nyumba ya kuishi kijijini kwenu utakuwa umewaridhisha ndugu na jamaa na kificha hiyo unayoita aibu wakati hakuna namna umeinua hali zao za maisha.

Ndugu na jamaa zako wanashindia mlo mmoja, wamejaa viraka, elimu duni, hawana shughuli za kuwapatia kipato nk nk then we la maana unaloona ni kujenga nyumba nzuri kisha walale humo na njaa na viraka vyao.[emoji116][emoji116]
Hebu ficha upumbavu wako mkuu.
Kujenga nyumbani sio ufahari ni kukumbuka, kuenzi na kurudisha fadhila mahali ulipozaliwa na kukulia.
Pia inaepusha zile aibu hasa panapo tokea msiba au sherehe itakayo fanyikia nyumbani na kuhusisha ndugu, jamaa na marafiki kutoka mjini halafu wakute nyumbani pako hovyohovyo hali ya kuwa huku mjini uko vyema.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makusanyo ya kwenye korosho sio mchezo, halafu wana madini ukumbuke hilo pia
makusanyo ya korosha yanazidi utalii, unajua utalii unachangia asilimia ngapi bajeti ya Tanzania?
Leo hii tukisema kila mkoa ujitegemee mbona kuna maeneo yataomba poo.
 
Dodoma Imeingiaje?
Binafsi sijashangaa Dodoma kuwepo na pia nisingeshangaa sana kuwepo top 3, kilicho nishangaza ni kukimbizana na Ilala,
Nilitarajia gap kati ya ilala na namba 2(haijalishi awe nani) liwe kubwa haswaaa kama 10bn hivi.

Mzunguko uliopo k.koo si wakitoto hata kidogo, mapato ya k.koo tuu kwa mwezi, kuna mikoa mingi tuu halmashauri zake ukiziunganisha zinakimbizwa na k.koo,
Kuna baadhi ya halmashauri hela zinazoingiza zinakimbizwa na mtaa wa Congo.

Au Halmashauri ya Bumbuli jana nimemsikia Ummy akisema imekusanya 336Mil from July 2020-March 2021, almost miezi 9.

Sasa Haya si mapato ya duka Moja la Hardware pale k.koo???
Hizi ni dharau.
 
Kweli kuna mikoa hali zao ni mbaya sana
Serikali ichukue hatua isaidie,miaka 3 iliyopita Halmashauri za mkoa wa Tabora zilikuwa zinafanyika vizuri kwenye mapato lakini tangu Jiwe aharibu biashara ya tumbaku zimebaki hoi kabisa,the same na mbaazi na ufuta kwa mikoa ya kusini
 
AISEEH KUMBE RUNGWE TUPO

xema hii haishagazwi sana coZ kuna vitu vingi vinaingza mapato kwenye wilaya hii mfano viwanda vya Chai. Viwanda vya maziwa (ASAS). Viwanda vya parachichi .....pia mazao ya kahawa n.k
Na hapo wameimega wakazalisha Busokelo DC
 
Hizo data zimejaa ukiritimba hakuna kitu hapo.
Kwa sababu zimekiumbua kijiji chenu cha Makambako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu kubali hizo ndio takwimu rasmi kutoka Serikalini na ndio ukweli wenyewe maana Mji kujaa maduka ya Mangi sio kuwa na pesa kama hutaki tupe takwimu zako kutoka Halmashauri ya kichwa chako
 
Kujenga nyumba ya kuishi sio maendeleo ndio maana pamoja na majengo hayo yote kwenye kuzalisha mapato huoni halmashauri za mkoa wa Kilimanjaro zikifanya vizuri.

Wangeweza kufanya uwekezaji ambao una tija na kujenga makazi yenye ubora, Kilimanjaro ina uhaba wa ardhi kwa sabab ya matumizi ya hovyo ya ardhi ikiwemo kujenga majengo ambayo hakuna hata wa kuishi na kujikatia mashamba ambayo hata hayazalishi chochote cha maana. Kama ulimsikia Kimei nadhani anatoa hoja bungeni wapatiwe ardhi ya ziada.[emoji116][emoji116]


Sent using Jamii Forums mobile app
Nielimishe tafadhali, maendeleo maana yake ni nini?
 
Binafsi sijashangaa Dodoma kuwepo na pia nisingeshangaa sana kuwepo top 3, kilicho nishangaza ni kukimbizana na Ilala,
Nilitarajia gap kati ya ilala na namba 2(haijalishi awe nani) liwe kubwa haswaaa kama 10bn hivi.

Mzunguko uliopo k.koo si wakitoto hata kidogo, mapato ya k.koo tuu kwa mwezi, kuna mikoa mingi tuu halmashauri zake ukiziunganisha zinakimbizwa na k.koo,
Kuna baadhi ya halmashauri hela zinazoingiza zinakimbizwa na mtaa wa Congo.

Au Halmashauri ya Bumbuli jana nimemsikia Ummy akisema imekusanya 336Mil from July 2020-March 2021, almost miezi 9.

Sasa Haya si mapato ya duka Moja la Hardware pale k.koo???
Hizi ni dharau.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yaani kama kule Tanga kila jimbo ni Halmashauri huu ni upuuzi ,hizi zingine dizaini ya kina bumbuli wazifute.

Serikali ingewaambia Halmashauri ambayo haiwezi kukusanya angalau 1b mapato ya ndani ifutwe ni matumizi mabaya ya pesa ya umma kuwa na DED na staff wake wote kwenye vihalmashauri uchwara kama hivyo
 
Mmh mdau hapo juu kasema wanatoa mirabaha mikubwa tu kwenye halimashauri husika, Sasa nani yuko relevant kwenye hili swala? Opportunity Cost
Wanachangia tuu kwenye huduma za jamii

Sasa huu ni upuuzi yaani wananchi wanaozunguka hizo hifadhi wanazilinda lakini watu wa hifadhi hawarudishi kiasi cha pesa kwenye maeneo husika badala yake wanategemea hisani ya sijui kujengewa vyoo sijui madarasa wakati migodi au viwanda vinalipa pesa Halmashauri na vinajenga hizo huduma za jamii
 
Hazitoi na ndiyo ujinga uliopo kwenye utalii wetu. Kinachukuliwa kikubwa. Wao hamna cha maana wanachorudisha kwa jamii
Mamlaka ya serikali za mitaa ALAT ingepigia kelele hili kama walichofanya kwenye kodi ya majengo/nyumba.

Haiingii akilini usumbufu wote ule wanaopata wananchi wanaopakana na hifadhi afu pesa wakatumbue wengine huko
 
Back
Top Bottom