Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Arusha haina rasilimali za maana, Hivi unafahamu Manyara ndio ina rasilimali nyingi kama mkoa anzia mererani kumbuka iko manyara, hivo tanzanite haipo Arusha, ongezea na mbuga zilizoko manyara hivo Arusha ukitoa viwanda hawana kitu kingine kipya
Mkuu wewe kubali angalia hapo hakuna Halmashauri hata moja kutoka mkoa wa Manyara ime appear kwenye list,hizo rasilimali zinasaidia wapi?

Hata kwenye mapato ya TRA Manyara kapigwa mbali na Arusha
 
Inaweza kuwa haiakisi moja kwa moja lakini ni kuashiria tosha maana huo mradi na uhakika haulipi hata robo ya hayo mapato ya Mlimba DC
 
Lakini yule Bwana mwenye wivu na DSM eti ni ya Wapinzani akalifuta Jiji la DSM. Mungu fundi Aliondokea zake huko huko huko kwa asiyowapenda.
 
Inakuaje Kasulu kigoma umeiacha mbona misosi na mkwanja ipo ya kutosha, ulizia wageni waliowahi kufika huku, huwa hawakumbuki kurudi tena kwao
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Rukhsa mkuu
Yasijekuwa Utaoaji Gawiwo Awamu Ya Tano
Leo Tunaambiwa Watoaji Gawiwo Wapo Hoi
πŸ˜£πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜β˜»β˜ΉπŸ˜
 
Inakuaje Kasulu kigoma umeiacha mbona misosi na mkwanja ipo ya kutosha, ulizia wageni waliowahi kufika huku, huwa hawakumbuki kurudi tena kwao

Wilaya ya kasulu bado haina uwezo wa makusanyo ya bilioni 3 , ni sawa na wilaya ya masasi halafu ukumbuke kasulu wanalima mazao ya chakula hakuna mazao ya biashara ya kueleweka, ukishatoa pori la kagera mkanda kule ni pakawaida sana, maana hata mpaka wa burundi kule munanila bado haujachangamka kulinganisha na border za Tunduma na Namanga au silari, japo kuna biashara sawa na masasi
 
Inakuaje Kasulu kigoma umeiacha mbona misosi na mkwanja ipo ya kutosha, ulizia wageni waliowahi kufika huku, huwa hawakumbuki kurudi tena kwao
Kawaulize Tamisemi na DED wa huko mimi ni mjumbe tuu

Ndio hivyo haijakidhi vigezo
 
Bagamoyo imekuwaje tena? Hakuna mkwanja kivipi yaani?
1. Utalii
2. Uvuvi/Samaki
3. Kilimo
4. Viwanda
5. Ukaribu na Dar es salaam
6. Hoteli
7. Heritage site(s) - UNICEF

What is not happening???
Anatuchonganisha tu huyu!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Rukhsa mkuu
Yasijekuwa Utaoaji Gawiwo Awamu Ya Tano
Leo Tunaambiwa Watoaji Gawiwo Wapo Hoi
πŸ˜£πŸ™„πŸ˜ΆπŸ˜‘πŸ˜β˜»β˜ΉπŸ˜

Hapana chezea Dodoma mkuu tunalima mazao ya BIASHARA bwana ,tunachangia ukuaji wa uchumi wa Jiji letu ati! Ustudharau Mkuu

Angwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…