Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
- Thread starter
-
- #121
Mkuu wewe kubali angalia hapo hakuna Halmashauri hata moja kutoka mkoa wa Manyara ime appear kwenye list,hizo rasilimali zinasaidia wapi?Arusha haina rasilimali za maana, Hivi unafahamu Manyara ndio ina rasilimali nyingi kama mkoa anzia mererani kumbuka iko manyara, hivo tanzanite haipo Arusha, ongezea na mbuga zilizoko manyara hivo Arusha ukitoa viwanda hawana kitu kingine kipya
Inaweza kuwa haiakisi moja kwa moja lakini ni kuashiria tosha maana huo mradi na uhakika haulipi hata robo ya hayo mapato ya Mlimba DCHii haihusiani na ubora wa maisha katika halmashauri hizo, wala kipato cha mtu binafsi katika halmashauri husika. Kuna halmashauri zenye mapato makubwa kwasababu kuna mradi mmoja mkubwa pale. Mfano Mlimba kuna mashamba ya walowezi ya mitiki, ni makubwa na ndio chanzo kikubwa cha kodi. lakini kipato binafsi na hali ya maishi iko chini mno!
Kama mdudu ndani ya kokwa mkuuDodoma Imeingiaje?
Lakini yule Bwana mwenye wivu na DSM eti ni ya Wapinzani akalifuta Jiji la DSM. Mungu fundi Aliondokea zake huko huko huko kwa asiyowapenda.Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 36 ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.
Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.
Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.
1.Dar (Na Halmashauri zake zote)=173.3bln
2.Dodoma CC=53.2bln
3.Mwanza City incl. Ilemela MC=22.4bln
4.Arusha City=19.2bln
5.Mbeya City=13.0bln
6.Tanga City=12.8bln
7.Geita TC=9.2bln.
8.Morogoro MC=7.5bln
9.Kahama MC=7.12bln
10.Chalinze DC=7.1bln
11.Mkuranga DC=6.6bln
12.Mufindi DC=6.1bln
13.Moshi MC=5.7bln
14.Iringa MC=5.62bln
15.Njombe TC=5.6bln
16.Tunduma TC=5.4bln
17.Tarime DC=5.2bln
18.Kilolo DC=5.0bln
19.Mtwara MC=4.8bln
20.Mafinga TC=4.7bln
21.Tunduru DC=4.7bln
22.Muleba DC=4.61bln
23.Kilwa DC=4.6bln
24.Geita DC=4.5bln
25.Arusha DC=4.01bln.
26.Mlimba DC=4.0bln
27.Mbozi DC=3.97bln
28.Tandahimba DC=3.92bln
29.Mbarali DC=3.9bln
30.Rungwe DC=3.89bln
31.Kilosa DC=3.8bln
32.Mbeya DC=3.8bln
33.Mbinga DC=3.65bln
34.Chato DC=3.64bln
35.Kibaha TC.3.62bln
36.Chunya DC=3.5bln
My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi
Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.
Pdf ya Tamisemi hii hapa [emoji116][emoji116] unaweza kujionea mwenyewe
View attachment 1763405
View attachment 1763742
Kaingiaje? Tutaanzisha Investigation πππππKama mdudu ndani ya kokwa mkuu
Hii pdf mbona nashindwa kupakua? Nitumie pm mkuuPdf hii ya wizara ya TamisemiView attachment 1763743
Kama Yule Askari Magereza Wa Butimba Alivyonyolewa Nyota Na Jiwe ππππππ πLabda makao makuu yameiinua
ππππKaingiaje? Tutaanzisha Investigation πππππ
Yasijekuwa Utaoaji Gawiwo Awamu Ya Tanoππππ
Rukhsa mkuu
Inakuaje Kasulu kigoma umeiacha mbona misosi na mkwanja ipo ya kutosha, ulizia wageni waliowahi kufika huku, huwa hawakumbuki kurudi tena kwao
Kawaulize Tamisemi na DED wa huko mimi ni mjumbe tuuInakuaje Kasulu kigoma umeiacha mbona misosi na mkwanja ipo ya kutosha, ulizia wageni waliowahi kufika huku, huwa hawakumbuki kurudi tena kwao
Ingia Tamisemi chukua hotuba ya Ummy ya bajeti mwaka huuHii pdf mbona nashindwa kupakua? Nitumie pm mkuu
Nyamagana hakuna viwanda vingi Kama Ilemela, huko Simanjiro, Ngorongoro na Serengeti watu wake bado wanaishi kwa mfumo wa kijiji bila maendeleo na maisha ya local products.Vipi kuhusu Nyamagana,Simanjiro na Ngorongoro na Serengeti....?
kwani we jamaa upo hapa makambako?ππLakini Makambako tunakosaje hapo?
Hapana chezea Dodoma mkuu tunalima mazao ya BIASHARA bwana ,tunachangia ukuaji wa uchumi wa Jiji letu ati! Ustudharau MkuuYasijekuwa Utaoaji Gawiwo Awamu Ya Tano
Leo Tunaambiwa Watoaji Gawiwo Wapo Hoi
π£ππΆππβ»βΉπ
πππkwani we jamaa upo hapa makambako?ππ
Anatuchonganisha tu huyu!Bagamoyo imekuwaje tena? Hakuna mkwanja kivipi yaani?
1. Utalii
2. Uvuvi/Samaki
3. Kilimo
4. Viwanda
5. Ukaribu na Dar es salaam
6. Hoteli
7. Heritage site(s) - UNICEF
What is not happening???
Yasijekuwa Utaoaji Gawiwo Awamu Ya Tanoππππ
Rukhsa mkuu
Hapana chezea Dodoma mkuu tunalima mazao ya BIASHARA bwana ,tunachangia ukuaji wa uchumi wa Jiji letu ati! Ustudharau Mkuu