Ifuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 36 ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.
Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.
Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.
1.Dar (Na Halmashauri zake zote)=173.3bln
2.Dodoma CC=53.2bln
3.Mwanza City incl. Ilemela MC=22.4bln
4.Arusha City=19.2bln
5.Mbeya City=13.0bln
6.Tanga City=12.8bln
7.Geita TC=9.2bln.
8.Morogoro MC=7.5bln
9.Kahama MC=7.12bln
10.Chalinze DC=7.1bln
11.Mkuranga DC=6.6bln
12.Mufindi DC=6.1bln
13.Moshi MC=5.7bln
14.Iringa MC=5.62bln
15.Njombe TC=5.6bln
16.Tunduma TC=5.4bln
17.Tarime DC=5.2bln
18.Kilolo DC=5.0bln
19.Mtwara MC=4.8bln
20.Mafinga TC=4.7bln
21.Tunduru DC=4.7bln
22.Muleba DC=4.61bln
23.Kilwa DC=4.6bln
24.Geita DC=4.5bln
25.Arusha DC=4.01bln.
26.Mlimba DC=4.0bln
27.Mbozi DC=3.97bln
28.Tandahimba DC=3.92bln
29.Mbarali DC=3.9bln
30.Rungwe DC=3.89bln
31.Kilosa DC=3.8bln
32.Mbeya DC=3.8bln
33.Mbinga DC=3.65bln
34.Chato DC=3.64bln
35.Kibaha TC.3.62bln
36.Chunya DC=3.5bln
My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi
Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.
Pdf ya Tamisemi hii hapa [emoji116][emoji116] unaweza kujionea mwenyewe
View attachment 1763405
View attachment 1763742