Kweli kabisa sasa hivi mufindi Kuna viwanda vingi vya mchina kwa vijana wanaotafuta maisha bila kujali ugumu wa kazi njoo mufindi hakika hautojutaMufindi kuna viwanda vya Mbao,Pareto, Chai......mchina amejaa tele kwenye mbao saizi pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa sasa hivi mufindi Kuna viwanda vingi vya mchina kwa vijana wanaotafuta maisha bila kujali ugumu wa kazi njoo mufindi hakika hautojutaMufindi kuna viwanda vya Mbao,Pareto, Chai......mchina amejaa tele kwenye mbao saizi pale
tunduru inaizidi Arusha, hebu acheni uchawi basi, mlogage kwengineIfuatayo ni orodha ya Miji na Halmashauri 36 ambazo watu wake Wana kipato cha Uhakika na kuwa na purchasing power inayotoa fursa ya uhakika wa biashara kwa Tanzania.
Orodha imehusisha Halmashauri zenye mapato yanayoanzia shilingi za Tanzania bilioni 3.5 kwenda juu.
Orodha hii imetokana na makusanyo ya ndani ya kila Halmashauri kiutoka kwenye vyanzo vya mapato vya Halmashauri ambavyo ni shughuli za kawaida za wananchi kutoka Tamisemi kwa mwaka wa fedha 2019/2020.
Mapato hayo ni nje ya vyanzo vinavyokusanywa na TRA na wakala zingine za.serikali.
Kama wewe ni mfanyabiashara hii itakuwa picha halisi ya uchaguzi wa sehemu ya kuwekeza.
1.Dar (Na Halmashauri zake zote)=173.3bln
2.Dodoma CC=53.2bln
3.Mwanza City incl. Ilemela MC=22.4bln
4.Arusha City=19.2bln
5.Mbeya City=13.0bln
6.Tanga City=12.8bln
7.Geita TC=9.2bln.
8.Morogoro MC=7.5bln
9.Kahama MC=7.12bln
10.Chalinze DC=7.1bln
11.Mkuranga DC=6.6bln
12.Mufindi DC=6.1bln
13.Moshi MC=5.7bln
14.Iringa MC=5.62bln
15.Njombe TC=5.6bln
16.Tunduma TC=5.4bln
17.Tarime DC=5.2bln
18.Kilolo DC=5.0bln
19.Mtwara MC=4.8bln
20.Mafinga TC=4.7bln
21.Tunduru DC=4.7bln
22.Muleba DC=4.61bln
23.Kilwa DC=4.6bln
24.Geita DC=4.5bln
25.Arusha DC=4.01bln.
26.Mlimba DC=4.0bln
27.Rungwe DC=3.89bln
28.Mbozi DC=3.97bln
29.Tandahimba DC=3.92bln
30.Mbarali DC=3.9bln
31.Kilosa DC=3.8bln
32.Mbeya DC=3.8bln
33.Mbinga DC=3.65bln
34.Chato DC=3.64bln
35.Kibaha TC.3.62bln
36.Chunya DC=3.5bln
My take kuna Mikoa/Miji ni ya kuonea huruma mfano Tabora,Singida,Rukwa,Katavi,Kigoma,Simiyu na Manyara.Hii mikoa haina hata Halmashauri moja yenye mapato kwa kiwango cha kuanzia bilioni 3.5 au zaidi
Kiufupi inatoa picha ya hali mbaya ya umaskini wa kipato kwa wananchi wake.Hali kadharika Mikoa ya Dar, Mbeya,Geita na Iringa ina hali nzuri ya kimapato kwa watu wake.
Pdf ya Tamisemi hii hapa [emoji116][emoji116] unaweza kujionea mwenyewe
View attachment 1763405
Wewe unajua kuchambua data na wawekezaji wote wana sifa hii. Sio wengine wanafyatuka na mitaji kwenda kujilipuaNaomba taarifa hii nzima kama unayo. Taarifa hii inaweza kutoa direction ya fursa ya uwekezaji.
Ukiacha mkoa wa DSM na majiji ambao vyanzo vyao vinatokana na uchumi wenye mjumuiko wa vitu vingi mikoa mingine ina kitu ambacho data hizo hazijakiweka wazi.
Nimeona Iringa na Njombe, halmashauri zao zinafanya vizuri sana. Na line ya Wilaya zote kutoka Iringa hadi Tunduma zinafanya vizuri sana. Nini kipo nyuma ya mapato hayo?
Nimeangalia baadhi ya sehemu Halmashauri za Wilaya zimefanya vizuri kuliko Manispaa husika. Natamani kujua chanzo cha mapato hayo, mfano Muleba DC imefanya vizuri kuliko Bukoba MC, Kilwa DC kuliko Lindi MC, etc.
Zipo baadhi ya sehemu kama Kahama, Geita TC, Tarime DC sababu ni madini. Halmashauri za Pwani kuna viwanda, hao wengine nini kimewabeba?
Kama ni kilimo tujue ni kilimo kipi kusaidia wananchi wajue walime nini. Pili kama ni kwa sababu ya structure ya kodi/tozo/ushuru kwenye mazao fulani ni vema liwe wazi pia.
Ni chatoBURIGI je?
Kutoka mjini kwenda wapi wewe mbususu..Njombe to Makambako ni km 80 hizo km 100 ni kuelekea wapi wakati unajua Mji unazungukwa na Halmashauri za VijijiniNjombe wameigawa hovyo hovyo kieneo Halmashauri za Wilaya ya Njombe Vijijini,wangin'gombe na Makambako zina eneo dogo sana Kama Makambako wangekuwa na Njombe Vijijjini wangeingia.
Hata hao Njombe TC wameingia kwa kuwa wana eneo kubwa sana la kiutawala ambalo ni zaidi ya KM 100 kutoka mjini.
By the way Mkoa wenu wa Njombe bado unaongoza kwa kipato cha MTU Moja moja kwa Tanzania ukitoa Mkoa wa Dar es Salaam na Kilimanjaro.
Inasaidia hata serikali yenyewe kujua wapi iongeze nguvu kuibua na kusaidia maeneo maskini huku iliyapromote haya yenye unafuuUzi wa maana sana kwa wenye kujua ya maana. Kudos mkuu.
Wenye kutu ya SIASA vichwani mwao huu uzi hutakuwa na msaada kwao...sana sana wataishia kuuharibu tu.
Sio tuu mbao na matunda na mbogambogaSana mku, watu wanauza mbao sana.
Hiyo migomba na Kahawa ndio vinagusa raia mmja mmja directly kuliko manamba na vibarua wa viwandani mnaowalipa 130,000 per monthMimi mwenyew nashangaa.
Hadi wilaya ya misenyi yenye viwanda kama kagera sugar,kilimo cha vanilla,mpaka wa mutukula na Ranchi kibao inazidiwa na wilaya ya muleba iliyojaa migomba na kahawa
[emoji120][emoji120]Inawezekana ikawa kweli maana maisha vijijini kama muleba ni Bora kuliko hata baadhi ya maeneo ya bk mjini
Vumilia tuu mkuu na bado hadi kufikia 2025 miradi mikubwa ya miundombinu inayoendelea na uwekezaji wa viwanda unaofanyika Dom itapita hiyo mikoa yenu kwenye Takwimu za TRA maana ndicho bado kwa sasaAMA KWELI KUPIKA DATA MNAJUA. YAANI DODOMA IMEIZIDI ARUSHA?
Yeah niliona hapo nilikuwepo kama week hiviKweli kabisa sasa hivi mufindi Kuna viwanda vingi vya mchina kwa vijana wanaotafuta maisha bila kujali ugumu wa kazi njoo mufindi hakika hautojuta
Pole mkuu ,upike kusaidia nini labda au umesoma mada na attachment yake?TUNAPOPIKA DATA TUWE TUNATUMIA UBONGO SIO MAKALIO.
HIVI DODOMA INAWEZA KUIZIDI MWANZA AU ARUSHA KWA MAPATO???
Sio kweli bwashee , Makambako TC ni Halmashauri ya Mji inayojitegemeaMakambako ipo ndani ya Mufindi
Sijui shida iko wapi hasa Kigoma japo kwa Kigoma inaonekana kuna urasimu Sana unawekwa na Serikali kufanya biashara na DRC huwa naona wafanyabiashara wanalalamika Sana.Kigoma Ujiji Mc na Kyela dc wanakwama wapi wote wana maziwa makubwa ya uvuvi, wote wanalima mawese na mazao mengine ya kibiashara, wote pia wana advantage kubwa ya kuwa mpakani kabisa na nchi jirani, shida inakuwa wapi
Ni kweli ukizigawa moja moja Dom inazipita vizuri tuu,nakumbuka ule mwaka juzi Dom waliuza Sana viwanja wakapiga bil.73 ndio iliongoza kwa Halmashauri moja moja watu wakapagawa.Hakuna kupika data ni ukweli hata JPM aliwahi kusema Dodoma wanakusanya zaidi ikawa imepita Dar ukigawa Dar zile halmashauri ila kwa ujumla ukichukuwa Dar kama moja siku zote Dar iko juu 173 Billion Halmashauri zote za Dar ila ukianza kugawa ziko Halmashauri kama Temeke, Kindondoni wako nyuma kwa hiyo Dodoma wanakusanya na huu mwaka wa 3. Halafu upike data ili iweje na ukiangalia kweli huko Kigoma sijui Tabora ina reflect makusanyo yao.
Katoro ipo ndani ya Geita DCKatoto ipo ndani ya Geita Dc
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] uchawi gani sasa mkuu,usiishi kwa kukariri hizo ndio Takwimu rasmi za mapato yaliyokusanywatunduru inaizidi Arusha, hebu acheni uchawi basi, mlogage kwengine