kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Sana mku, watu wanauza mbao sana.Mkoa wa Iringa inaonekana kuna hela sana, hasa Wilaya ya Mufindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana mku, watu wanauza mbao sana.Mkoa wa Iringa inaonekana kuna hela sana, hasa Wilaya ya Mufindi.
Mufindi kuna viwanda vya Mbao,Pareto, Chai......mchina amejaa tele kwenye mbao saizi paleMkoa wa Iringa inaonekana kuna hela sana, hasa Wilaya ya Mufindi.
[emoji23][emoji23] eti taulo za ghestMoshi inatia huruma na zile safari za kuhesabisa hamna kitu ,kimji cha kizamani kimechoka kama taulo la guest
Mimi mwenyew nashangaa.Muleba imeizid bukoba mjini yenye bandari na viwanda na viwanja vya ndege naomba nielimishwe kidogo.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Inawezekana ikawa kweli maana maisha vijijini kama muleba ni Bora kuliko hata baadhi ya maeneo ya bk mjiniUnaweza kuta mengi ya mapato ya Bukoba ni yale ambayo TRA wanakusanya ,tafuta regional statistics za TRA unaweza kuta Kagera iko vizuri
Lakini kwa mapato ya mtu mmja mmja na vyanzo ambavyo Tamisemi inasimamia basi huo ndio ukweli kwamba mna pesa kiduchu hapo Manispaa uchwara ya Bukoba
Makambako ipo ndani ya MufindiLakini Makambako tunakosaje hapo?
Kibubu kikijaa breki ya kwanza ni Mufindi, kuwekeza.Mufindi kuna viwanda vya Mbao,Pareto, Chai......mchina amejaa tele kwenye mbao saizi pale
Yeah ni pazuri nimeishi miaka 4 pale mkuuKibubu kikijaa breki ya kwanza ni Mufindi, kuwekeza.
Hakuna kupika data ni ukweli hata JPM aliwahi kusema Dodoma wanakusanya zaidi ikawa imepita Dar ukigawa Dar zile halmashauri ila kwa ujumla ukichukuwa Dar kama moja siku zote Dar iko juu 173 Billion Halmashauri zote za Dar ila ukianza kugawa ziko Halmashauri kama Temeke, Kindondoni wako nyuma kwa hiyo Dodoma wanakusanya na huu mwaka wa 3. Halafu upike data ili iweje na ukiangalia kweli huko Kigoma sijui Tabora ina reflect makusanyo yao.TUNAPOPIKA DATA TUWE TUNATUMIA UBONGO SIO MAKALIO.
HIVI DODOMA INAWEZA KUIZIDI MWANZA AU ARUSHA KWA MAPATO???
Lakini sishangai mkuu make kwa data Mo anamzidi BakhresaMimi mwenyew nashangaa.
Hadi wilaya ya misenyi yenye viwanda kama kagera sugar,kilimo cha vanilla,mpaka wa mutukula na Ranchi kibao inazidiwa na wilaya ya muleba iliyojaa migomba na kahawa
Mwacheni amechukia hawajataja wilaya yake, hivyo hana purchasing power.[emoji1787][emoji1787] Unajua kuna muda mtu inabidi ucheke tuu. Sasa hapa chadema wanahusikaje..
Hata ccm wenzako wanakushangaaa ujue
Katoto ipo ndani ya Geita DcSijaona Katoro hapo Ushirombo au Zimeongizwa Geita?
Kwa kigezo cha pato ghafi, Mhe. Jafo alisema halmashauri zilizoongoza kwa wingi wa mapato kuwa ni Halmashauri ya Jiji la Dodoma (Sh bilioni 71.7), Ilala (Sh bilioni 58.1), Kinondoni(Sh bilioni 34) Temeke Sh bilioni 33.3), Ubungo Mc (bilioni 18.6) na Jiji la Arusha (Sh bilioni 16.4) wakati halmashauri tano zilizofanya vibaya katika kundi hili ni Nanyamba (sh milioni 258), Gairo Dc(Sh milioni 396), Kigoma Dc (Sh milioni 397.1) Buhigwe (Sh milioni 403.8) na Kakonko Dc (Sh milioni 403.8). Hii mwaka janaTUNAPOPIKA DATA TUWE TUNATUMIA UBONGO SIO MAKALIO.
HIVI DODOMA INAWEZA KUIZIDI MWANZA AU ARUSHA KWA MAPATO???
Labda makao makuu yameiinuaDodoma Imeingiaje?
Wachaga wanajenga vijijini kwao na mikoaniMoshi inatia huruma na zile safari za kuhesabisa hamna kitu ,kimji cha kizamani kimechoka kama taulo la guest