Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Nani kakudanganya kwamba Katoro siyo Geita DC, Katoro ni mji mdogo ulioko Tarafa ya Butundwe Wilaya ya Geita Jimbo la uchaguzi la Busanda Halmashauri ya Geita vijijini. Kama hujui kitu ni bora ukaacha kucoment badala ya kuandika usichokijua.
Katoro sio Geita DC
 
Kelele nyingi moshi hakuna jipya
Ndivyo mnadanganyana? Mbna sasa ipo kwenye orodha? Hahaha vijitu vyenye wivu bhana shida tupu
Watu wa kilimanjaro wamewekeza vijijin Pia ,ni kawaida kukuta hoteli ya nyota 3 kijijin
 
Wachaga wengi wameenda shule ila nashindwa kuelewa ule ujinga wanaofanya wa kupoteza rasilimali nyingi kujenga majumba vijijini kwa ajili ya 'pride' ambayo muda mwingi wanaishi popo ukiacha zile week mbili za mwisho wa mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima ya mtu Ni makazi,sisi hatujazoea kuishi vijumba vya tembe aisee,tunajenga Hadi maghorofa migombani huko
 
Nani kakudanganya kwamba Katoro siyo Geita DC, Katoro ni mji mdogo ulioko Tarafa ya Butundwe Wilaya ya Geita Jimbo la uchaguzi la Busanda Halmashauri ya Geita vijijini. Kama hujui kitu ni bora ukaacha kucoment badala ya kuandika usichokijua.
Watu wajuaji sana humu.

Umempa jibu tosha.

Na muongezee makao makuu ya Geita DC ni Nzera.

Tukutane Mnekezi [emoji3]
 
Nani kakudanganya kwamba Katoro siyo Geita DC, Katoro ni mji mdogo ulioko Tarafa ya Butundwe Wilaya ya Geita Jimbo la uchaguzi la Busanda Halmashauri ya Geita vijijini. Kama hujui kitu ni bora ukaacha kucoment badala ya kuandika usichokijua.
Kuna mkuu aliuliza mbona haioni katoro so nilikua namuuliza mkuu samahani sikumalizia alama??
 
Hivi mpaka kesho unajua huwa nashangaa jinsi jamaa alivyokua psycho na bado walikua wanashabikia? Honestly mkoa wa Iringa wananivutiaga sana jinsi wamekua wazalendo na mkoa wao. Yaan wanapambanaga kweli. Mkoa unepangika vizuri sana. Moshi needs Restructuring maana its an old town. Ni mji wa zamani sana. Hizo boda bado zinaingiza mapato makubwa sana. Kuna kilimo lakini kwakweli ardhi ni ndogo sana. Sisi wenyewe haitoshi. Ndogo mno. Kuna utalii pia. zile bureau zilikua zinaingiza pesa kweli. Ni miaka pia kule boda za holili na tarakea sijui bado wanafanyaga ile biashara ya kubadilishana pesa?
Karibu sana Mufindi mkuu, naamini mambo yatakaa sawa tu!
 
Wajameni tusiishi kwa kukariri, miaka 5 ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali umezalisha na kuvutia fursa nyingi za biashara, ujenzi, huduma na viwanda

Nani hajui kwamba Dom ni hot spot ya ujenzi kwa sasa nyuma ya Dar,both kwa private sector na public sector? Unapojenga manake kwamba sekta ya ujenzi inakua kwa hiyo mapato kutoka huko ni makubwa ambayo ni leseni za biashara,kuuza viwanja,vibali vya ujenzi na kodi mbali mbali

Lakini pia Dodoma kuwa makao makuu manake kwamba ina wakazi wengi ambao Wana purchasing power kubwa kuliko miji mingi ukiondoa Dar,tafsiri yake ni kwamba biashara nyingi zimehamia huko kufuata hao wanunuzi.

Kana kwamba haitoshi uwekezaji wa viwanda na biashara nyingine kubwa kubwa unashika kasi,mfano mdogo retail sector kwenye sekta ya mafuta ya magari imekua Sana kiasi kwamba vituo vya mafuta ni vingi Sana Dom nyuma ya Dar tuu.

Hata viwanda vinajenga Sana tuu,juzi Kati hapa karibu wazindue kiwanda cha kuchakata dhahabu kama kile cha Mwanza,pia kampuni ya Burundi inajenga kiwanda kikubwa cha mbolea,dola za marekani milioni 400 zinawekwa.

On top of that population ya Dom saiz ni kubwa nyuma ya Dar,Mwanza juu ya hapo ni population yenye pesa tofauti na ya Miji mingine.

Stay tuned,utashangaa zaidi
Ufafanuzi mzuri
 
Ndio muwafichue sasa maana pesa inayoliwa ni yako na yangu japo mnufaika wa kwanza utakuwa wewe uliopo Eneo husika.

Kama kuna upotevu wa mapato ni shida ya viongozi wa huko,mtaishiwa kuzidiwa na kulia Lia kila siku mara ooh wamepika data mara ooh sijui nini yaani hoja hopeless
Hata wananchi wakifichua,wanasiasa wanaendelea kuwapamba wanaotumia ofisi vibaya. Ummy Mwalimu anakaa na viongozi wa Tanga na kuwasifia kwamba hawagombani. Sasa kutogombana sinikwakua wamelala fofofo. Hivi angekuepo mkuu wa mkoa kama makonda,Gambo,Ally Happi,Mtaka au yule wa Simiyu unadhani hao watu wake anaowasifia wangeelewana. Ila wanaelewana kwasababu wote wanamsikiliza mkurugenzi. Yani viongozi wote kuanzia mkoani mpaka baraza la madiwani. Eleweni kwamba uchawi upo
 
Karibu sana Mufindi mkuu, naamini mambo yatakaa sawa tu!
Aisee... hoping to come some days. Kila mahali paendelee bwana. Ili wivu upungue[emoji23] siyo kila mtu akiwa kiongozi aanze kusimamisha maendeleo ya sehem filan kuhamishia kungine ili ibalance. Nitakuja bestie yangu huko. Ila baridi[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Hujui kitu Mwanza City ni Nyamagana ipo. Ilemela ni Municipal ipo. Sasa jumlisha ya Mwanza jiji na Ilemela halafu linganisha na ya Arusha city jibu utalipata !
Halafu wasukuma wa mwanza wanalinganisha ule mji wao na jiji la Arusha...[emoji3]

Wajilinganishe na Karatu labda
 
Naomba taarifa hii nzima kama unayo. Taarifa hii inaweza kutoa direction ya fursa ya uwekezaji.

Ukiacha mkoa wa DSM na majiji ambao vyanzo vyao vinatokana na uchumi wenye mjumuiko wa vitu vingi mikoa mingine ina kitu ambacho data hizo hazijakiweka wazi.

Nimeona Iringa na Njombe, halmashauri zao zinafanya vizuri sana. Na line ya Wilaya zote kutoka Iringa hadi Tunduma zinafanya vizuri sana. Nini kipo nyuma ya mapato hayo?

Nimeangalia baadhi ya sehemu Halmashauri za Wilaya zimefanya vizuri kuliko Manispaa husika. Natamani kujua chanzo cha mapato hayo, mfano Muleba DC imefanya vizuri kuliko Bukoba MC, Kilwa DC kuliko Lindi MC, etc.

Zipo baadhi ya sehemu kama Kahama, Geita TC, Tarime DC sababu ni madini. Halmashauri za Pwani kuna viwanda, hao wengine nini kimewabeba?

Kama ni kilimo tujue ni kilimo kipi kusaidia wananchi wajue walime nini. Pili kama ni kwa sababu ya structure ya kodi/tozo/ushuru kwenye mazao fulani ni vema liwe wazi pia.

Naomba taarifa hii nzima kama unayo. Taarifa hii inaweza kutoa direction ya fursa ya uwekezaji.

Ukiacha mkoa wa DSM na majiji ambao vyanzo vyao vinatokana na uchumi wenye mjumuiko wa vitu vingi mikoa mingine ina kitu ambacho data hizo hazijakiweka wazi.

Nimeona Iringa na Njombe, halmashauri zao zinafanya vizuri sana. Na line ya Wilaya zote kutoka Iringa hadi Tunduma zinafanya vizuri sana. Nini kipo nyuma ya mapato hayo?

Nimeangalia baadhi ya sehemu Halmashauri za Wilaya zimefanya vizuri kuliko Manispaa husika. Natamani kujua chanzo cha mapato hayo, mfano Muleba DC imefanya vizuri kuliko Bukoba MC, Kilwa DC kuliko Lindi MC, etc.

Zipo baadhi ya sehemu kama Kahama, Geita TC, Tarime DC sababu ni madini. Halmashauri za Pwani kuna viwanda, hao wengine nini kimewabeba?

Kama ni kilimo tujue ni kilimo kipi kusaidia wananchi wajue walime nini. Pili kama ni kwa sababu ya structure ya kodi/tozo/ushuru kwenye mazao fulani ni vema liwe wazi pia.
Hii hapa
 

Attachments

Back
Top Bottom