Hii ndio pesa ya mauzo ya gesi yote iliyogundulika Tanzania mpaka leo 16/03/2022..

Hii ndio pesa ya mauzo ya gesi yote iliyogundulika Tanzania mpaka leo 16/03/2022..

Mtamba wa Panya

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2017
Posts
764
Reaction score
1,892
Mpaka leo tarehe 16/03/2022, jumla ya gesi yote iliyogundulika huko kusini mwa Tanzania ni 57 tcf (Trillion cubic feet).

Bei ya gesi asilia (Natural gas) kwenye soko la New York Leo 16/03/2022 at 02:50 PM NY time ni 4.7650 USD.

Hii maana yake ni kuwa thamani ya gesi ni:

4.7650 USD x 1,000,000,000 = 4.765 Billion USD/tcf

57 tcf x 4.765 B/ tcf = 271.6 Billion USD.

Hivyo basi, thamani kuu ya gesi ya Tanzania kwa siku ya leo 16/03/2022 ni Dola za Kimarekani Billion 271.6 tu.

Kwa "pesa ya madafu" ni Tsh Trillion 633/= ambayo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa muda wa miaka 18 kwa viwango vya sasa..

Note:
Nimezungumzia THAMANI na sio FAIDA.
..
.
 
Mpaka leo tarehe 16/03/2022, jumla ya gesi yote iliyogundulika huko kusini mwa Tanzania ni 57 tcf (Trillion cubic feet).

Bei ya gesi asilia (Natural gas) kwenye soko la New York Leo 16/03/2022 at 02:50 PM NY time ni 4.7650 USD.

Hii maana yake ni kuwa thamani ya gesi ni:

4.7650 USD x 1,000,000 = 4.765 Billion USD/tcf

57 tcf x 4.765 B/ tcf = 271.6 Billion USD.

Hivyo basi, thamani kuu ya gesi ya Tanzania kwa siku ya leo 16/03/2022 ni Dola za Kimarekani Billion 271.6 tu.

Kwa "pesa ya madafu" ni Tsh Trillion 633/= ambayo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa muda wa miaka 18 kwa viwango vya sasa..

Note:
Nimezungumzia THAMANI na sio FAIDA.
..
.
Umepita kidogo utajiri wa Elon Musk
 
Mpaka leo tarehe 16/03/2022, jumla ya gesi yote iliyogundulika huko kusini mwa Tanzania ni 57 tcf (Trillion cubic feet).

Bei ya gesi asilia (Natural gas) kwenye soko la New York Leo 16/03/2022 at 02:50 PM NY time ni 4.7650 USD.

Hii maana yake ni kuwa thamani ya gesi ni:

4.7650 USD x 1,000,000 = 4.765 Billion USD/tcf

57 tcf x 4.765 B/ tcf = 271.6 Billion USD.

Hivyo basi, thamani kuu ya gesi ya Tanzania kwa siku ya leo 16/03/2022 ni Dola za Kimarekani Billion 271.6 tu.

Kwa "pesa ya madafu" ni Tsh Trillion 633/= ambayo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa muda wa miaka 18 kwa viwango vya sasa..

Note:
Nimezungumzia THAMANI na sio FAIDA.
..
.
Kikwete alituingiza mikataba ya kiibwege sana
 
Mpaka leo tarehe 16/03/2022, jumla ya gesi yote iliyogundulika huko kusini mwa Tanzania ni 57 tcf (Trillion cubic feet).

Bei ya gesi asilia (Natural gas) kwenye soko la New York Leo 16/03/2022 at 02:50 PM NY time ni 4.7650 USD.

Hii maana yake ni kuwa thamani ya gesi ni:

4.7650 USD x 1,000,000 = 4.765 Billion USD/tcf

57 tcf x 4.765 B/ tcf = 271.6 Billion USD.

Hivyo basi, thamani kuu ya gesi ya Tanzania kwa siku ya leo 16/03/2022 ni Dola za Kimarekani Billion 271.6 tu.

Kwa "pesa ya madafu" ni Tsh Trillion 633/= ambayo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa muda wa miaka 18 kwa viwango vya sasa..

Note:
Nimezungumzia THAMANI na sio FAIDA.
..
.
Barrick kumbe walituibia kuliko hata akiba ya gas tuliyonayo. Wao Barrick si walikuwa wakidaiwa kodi ya USD 300 billion kwa mujibu wa TRA ile ya kizalendo?
 
Wa msoga moto atakaokutana nao Jehanum,mara dufu ya moto wa gesi alio tufisadia kwa wachina.
Hii dhambi sijui atatubia wapi.
 
Mpaka leo tarehe 16/03/2022, jumla ya gesi yote iliyogundulika huko kusini mwa Tanzania ni 57 tcf (Trillion cubic feet).

Bei ya gesi asilia (Natural gas) kwenye soko la New York Leo 16/03/2022 at 02:50 PM NY time ni 4.7650 USD.

Hii maana yake ni kuwa thamani ya gesi ni:

4.7650 USD x 1,000,000 = 4.765 Billion USD/tcf

57 tcf x 4.765 B/ tcf = 271.6 Billion USD.

Hivyo basi, thamani kuu ya gesi ya Tanzania kwa siku ya leo 16/03/2022 ni Dola za Kimarekani Billion 271.6 tu.

Kwa "pesa ya madafu" ni Tsh Trillion 633/= ambayo ni sawa na bajeti ya Tanzania kwa muda wa miaka 18 kwa viwango vya sasa..

Note:
Nimezungumzia THAMANI na sio FAIDA.
..
.
Hapo bado Mkapa na Kikwete hawajachukua percent zao za kuifilisi nchi....kwa kweli tunahitaji katiba mpya ili tunyambue upuuzi wa hawa marais ili tuwafunge kwa kuturudisha nyuma makusudi. Mkapa kafa lakini bado anaweza taifishwa mali zake, JK yu hai....huyu lazima ashughulikiwe.
 
Hio ni thamani, ukishaweka overheads na sababu hatufanyi wenyewe tunahitaji muwekezaji unadhani vile viji-percent tukipewa itakuwa ni thamani kiasi gani...

Tusiwaze kuuza tu tungekuwa tunaitumia pia kwenye magari, kupikia (piped) huenda ikapunguza gharama ambazo tunatumia kwa kutegemea kuagiza nishati...
 
Back
Top Bottom