Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Karibu sana mkuu[emoji3][emoji3][emoji1]
Jasiri haachi asili!
Karibu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magufuli alituharibia sana nchiView attachment 2626701
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno...
Asante kwa taarifa.View attachment 2626701
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno...
Tutajitahidi kukuwekeeni video , si rahisi kuandika humu kila neno la kiongoziAsante kwa taarifa.
Ila ninatamani sana kama chadema kingekuwa na kitengo imara cha habari kutuhabarisha na kutupa nondo za hiyo mikutano.
Molemo where r u??
Enzi zile huyu Polisi angeweza kutimuliwa kazi au kupotezwaKwamba polisi wamekuwa rafiki na raia au wanasiasa?
Pic of century👏👏View attachment 2626701
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno...
Mama anaukonga moyo. Kwetu sisi wapenda amani haki na umoja hapa ametupataMungu amjalie maisha marefu SSH. Hakika huyu ni mungwana
Hahaa kazi kweli kweliEnzi zile huyu Polisi angeweza kutimuliwa kazi au kupotezwa
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu.Mama anaukonga moyo. Kwetu sisi wapenda amani haki na umoja hapa ametupata
Heshima ya Jeshi letu la Polisi imerudi....Check huyu poti alivyofurahi hadi unaona kabisa anaipenda kazi yake isiyo na Mawaa🤣🤣View attachment 2626701
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !
Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .
Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Angalau kazi yao sasa inaonekana. Polisi ni rafiki wa Raia mwema na adui kwa mhalifu.Kwamba polisi wamekuwa rafiki na raia au wanasiasa?