Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
MkuuView attachment 2626701
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !
Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .
Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Muda na wssaa utawadia itatoka amri moja tu mtawwona hao ndugu zetu walivyo na unasaba wa kinyonga.....
Mziki bado haujatuingia mifupani sisi CCM, subiri kidogo tu mtaona rangi tuliyozoea......
But nafurahia uhuru wa kujumuika na kutoa maoni