Hii ndio picha bora ya wiki nchini Tanzania, imepigwa Kigoma

Hii ndio picha bora ya wiki nchini Tanzania, imepigwa Kigoma

View attachment 2626701

Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !

Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .

Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mkuu
Muda na wssaa utawadia itatoka amri moja tu mtawwona hao ndugu zetu walivyo na unasaba wa kinyonga.....

Mziki bado haujatuingia mifupani sisi CCM, subiri kidogo tu mtaona rangi tuliyozoea......

But nafurahia uhuru wa kujumuika na kutoa maoni
 
View attachment 2626701

Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !

Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .

Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
JamiiForums296353816_720x720.jpg
 
Mkuu
Muda na wssaa utawadia itatoka amri moja tu mtawwona hao ndugu zetu walivyo na unasaba wa kinyonga.....

Mziki bado haujatuingia mifupani sisi CCM, subiri kidogo tu mtaona rangi tuliyozoea......

But nafurahia uhuru wa kujumuika na kutoa maoni
Tunayazungumzia ya sasa , yakija mengine tutazungumza tofauti

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Huyo Sasa hivi ni mlamba asali mwenzetu.
 
View attachment 2626701

Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !

Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .

Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nini maana ya operation 255. Na itakuwepo kwa muda gani?
 
Enzi za shetan Maguful huyo soldier kazi ingemshinda. MI NAKULIPA MSHAHARA WE UNAENDA KUCHEKA NA MBOWE
Kwani hapo huyo soldier kafanya jambo ambalo Samia halipendi? Kama Samia angekuwa hataki hivyo na huyo soldier pia asingefanya.
 
Back
Top Bottom