Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Yaani sukuma gang wanasakamwa kila Kona kuanzia chamwino Hadi buhigwe kigoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante sana19 May2023
Kibondo, Tanzania
UBAGUZI WA ELIMU HAUKUBALIKI, ENZI ZA CCM YA NYERERE KULIKUWA HAKUNA MATABAKA YA SHULE
Mwenyekiti wa chama cha Democrasia n a Maendeleo (CHADEMA) Freeman mbowe amesema ikiwa chama hicho kitashika dola ya kuongoza nchi, Miongoni mwa mambo muhimu watakayofanya ni pamoja na kuruhusu demokrasia.
Ni katika mwendelezo wa Operation +255 katiba mpya unaoendelea huko kibondo Mkoani Kigoma nchini Tanzania, na akiwa ameshikilia hoja ya Elimu hasa kwa wananchi wa kigoma, mbowe alihoji ikiwa wananchi hao wanaendelea kukitetea chama hicho na huku chma hakitambui mchango wao ..
Mwenyekiti Freeman Mbowe anakumbuka enzi za Mwl. Nyerere watoto wa Nyerere, mawaziri wao, watoto wa Mzee Aikaeli Mbowe, watoto wa wafugaji, watoto wa wapishi n.k wote walikwenda kusoma katika shule moja bila ubaguzi tofauti na sasa ambapo kuna shule za vigogo na shule za kata zilizotelekezwa kwa ajili ya watoto wa walalahoi ....
CHADEMA ikishika dola itajikita katika maendeleo ya watu kwa wote ili bila kujali uwezo wa familia itahakikisha elimu inatolewa bila ubaguzi kutokana na wazazi kutokuwa na uwezo tofauti na CCM ya sasa inayopendelea elimu na shule bora kwa watoto wa vigogo...
CHADEMA ikiondoa ubaguzi huu wa elimu, ni kuwa chini uongozi makini wa CHADEMA, hata familia za raia wenye uwezo mdogo wa kipatowatoto wao watapata elimu isiyo bagua ... na kupata fursa ya maendeleo kama ya familia za vigogo ...
AmiinSafi sana, tuishi kwa upendo, Duniani tunapita.
Unaumia sana ?vumilia kidogo tuMbowe aweke wazi matumizi ya hiyo operation uchwara!! Mbona kipindi cha Jiwe aliufyata??
Bora lilijiua kwa ujinga wakeMagufuli alituharibia sana nchi
Maana yake wakiweka mwanzo mtaacha kuangalia Taarifa ya HabariITV habari za chadema wanaziweka mwishoni kabisa katika taarifa yao ya habari. Hahah
Basanza, UvinzaKitanga ni kata ya Wilaya ya Kasulu Vijijini katika Mkoa wa Kigoma nchini Tanzania. Wenyeji wa kata hiyo shughuli yao kubwa za kiuchumi zimejikita katika sekta ya Kilimo na Ufugaji .
Hawa ni polisi walewale wasemao wamesikia kuna hatari ya ugaidi au wameletwa wengineView attachment 2626701
Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !
Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .
Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Chama kimechangia ngapi kuwa boost wananchi haoCHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezindua mradi wa maji katika kijiji cha Uliwa halmashauri ya mji wa Njombe uliojengwa kwa nguvu za wananchi uliogharimu zaidi ya shilingi milioni 12 za kiTanzania unaonufaisha kaya 150 za vitongoji vya Itowa na Canada vilivyopo Njombe Tanzania .
Awali mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe Rose Mayemba amesema wananchi wa kijiji hicho cha Uliwa waliamua kutengeneza mradi wao ili kufikisha maji kwenye makazi kutokana na kukosa huduma hiyo licha ya kuwa na vyanzo vya maji karibu ambapo mpaka sasa kaya 405 bado hazijafikiwa na mradi.
Akizindua mradi huo mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyasa Peter Msigwa aliyeongozana na viongozi mbali mbali wa kanda ametoa pongezi kwa wananchi bila kujali itiakdi za vyama kwa kufanikisha mradi huo uliopaswa kutekelezwa na serikali.