Hii ndio picha bora ya wiki nchini Tanzania, imepigwa Kigoma

Hii ndio picha bora ya wiki nchini Tanzania, imepigwa Kigoma

Nini maana ya operation 255. Na itakuwepo kwa muda gani?
Ni Mkakati wa kuwaambukiza wananchi mzuka wa kudai katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao , ni Oparesheni itakayofanyika nchi nzima , kwa muda wote bila kukoma hadi katiba mpya imepatikana .

Imeanza juzi Kigoma

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Ni Mkakati wa kuwaambukiza wananchi mzuka wa kudai katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi ujao , ni Oparesheni itakayofanyika nchi nzima , kwa muda wote bila kukoma hadi katiba mpya imepatikana .

Imeanza juzi Kigoma

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Safi. Elimisheni Wananchi Umuhimu wa Katiba mpya. Waelewe. Na pia muoneshe athari za katiba ya zamani kwa ujumla.
 
Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .

Tuliishi chini ya utawala wa rais John Pombe Magufuli ambao uliokuwa hauheshimu sheria wala katiba ya nchi. Hilo lazima tulikatae kwani hata muasisi wa chama kongwe dola CCM alilitolea angalizo mapema kabisa :


" Nchi yetu inaongozwa kwa sheria...Hatuwezi kuchagua kiongozi asiyeheshimu sheria akawa anaongoza nchi kwa kushauriwa na mkewe, maana hamjui kesho akiamka atamshauri nini??" JKN
nyerere-70x70.jpg

J.K. Nyerere,Butiama
 
View attachment 2626701

Kiukweli baada ya operesheni 255 , Matumaini ya Watanzania wengi yameongezeka mno !

Cha kufurahisha ni kwamba Hata wenzetu wana Usalama nao wameanza Kutabasamu .

Ama kwa hakika Tanzania mpya inanukia .
Mungu Ibariki Tanzania .

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hivi nani anasimamia Red Brigade hapo ufipani? Maana nakumbuka Hiki kikundi kilikuwa kimewekwa kwenye katiba yenu!
 
Nchi yetu inaongozwa kwa sheria...Hatuwezi kuchagua kiongozi asiyeheshimu sheria akawa anaongoza nchi kwa kushauriwa na mkewe, maana hamjui kesho akiamka atamshauri nini??
Kuna mahali nilisikia Jana, inasemwa, Sheria siyo lazima zifuatwe kama zilivyo kwa sababu hazitatui mogogoro mazungumzo ndiyo yanafaa zaidi! Nilichoka.
 
Kasulu, Kigoma
Tanzania

MKUTANO WA CHADEMA WA OPERASHENI 255, KTK KATA YA KITANGA KASULU VIJIJINI



Mamia ya wananchi wa kata ya Kitanga wajitokeza kwa wingi kumsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Freeman Mbowe

Kitanga ni kata ya Wilaya ya Kasulu Vijijini katika Mkoa wa Kigoma nchini Tanzania. Wenyeji wa kata hiyo shughuli yao kubwa za kiuchumi zimejikita katika sekta ya Kilimo na Ufugaji .

Changamoto nyingine mbali ya ktk kilimo na ufugaji , ni miundo mbinu ya barabara kutoka vijiji vya Makere, Kitanga, Asante Nyerere, Kigabye, Kalela, Kwaga, Rusesa, Muzye, Bugaga na Kagerankanda n.k kwenda Kibondo ni barabara ambayo inasimamiwa na TANROADS, Mkoa wa Kigoma. Kuna changamoto katika Daraja hili la Mto Malagarasi, eneo hili ndiyo wananchi wa Kitanga wanapata shida kuvuka kwenda Kibondo.

Kabla mwenyekiti wa CHADEMA hajahutubia, wananchi walipewa fursa ya wazi kutoa dukuduku lao kuhusu mambo mbalimbali mbele ya umma uliofurika katika Ziara ya kikazi ya Operesheni 255 ya CHADEMA nchini kote .
 
Operasheni 255 ya CHADEMA ndani ya Kata ya Rungwe Mpya Kasulu Kigoma



Makamu mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Tundu Antipas Lissu anaendelea kutoa elimu ya uraia kuhusu umiliki wa ardhi.

Lazima tupige kelele na kupiga sera mbovu za ardhi zinazomtoa ktk umiliki wa ardhi walipozaliwa asisitiza makamu mwenyekiti wa CHADEMA.

Utaratibu wa kisheria wa katiba hii ya kumiliki ardhi chini ya rais kuifanyia chochote lazima ibadilishwe katika katiba mpya CHADEMA inayopigania ...
 
19 May2023
Kibondo, Tanzania

UBAGUZI WA ELIMU HAUKUBALIKI, ENZI ZA CCM YA NYERERE KULIKUWA HAKUNA MATABAKA YA SHULE



Mwenyekiti wa chama cha Democrasia n a Maendeleo (CHADEMA) Freeman mbowe amesema ikiwa chama hicho kitashika dola ya kuongoza nchi, Miongoni mwa mambo muhimu watakayofanya ni pamoja na kuruhusu demokrasia.

Ni katika mwendelezo wa Operation +255 katiba mpya unaoendelea huko kibondo Mkoani Kigoma nchini Tanzania, na akiwa ameshikilia hoja ya Elimu hasa kwa wananchi wa kigoma, mbowe alihoji ikiwa wananchi hao wanaendelea kukitetea chama hicho na huku chma hakitambui mchango wao ..

Mwenyekiti Freeman Mbowe anakumbuka enzi za Mwl. Nyerere watoto wa Nyerere, mawaziri wao, watoto wa Mzee Aikaeli Mbowe, watoto wa wafugaji, watoto wa wapishi n.k wote walikwenda kusoma katika shule moja bila ubaguzi tofauti na sasa ambapo kuna shule za vigogo na shule za kata zilizotelekezwa kwa ajili ya watoto wa walalahoi ....

CHADEMA ikishika dola itajikita katika maendeleo ya watu kwa wote ili bila kujali uwezo wa familia itahakikisha elimu inatolewa bila ubaguzi kutokana na wazazi kutokuwa na uwezo tofauti na CCM ya sasa inayopendelea elimu na shule bora kwa watoto wa vigogo...

CHADEMA ikiondoa ubaguzi huu wa elimu, ni kuwa chini uongozi makini wa CHADEMA, hata familia za raia wenye uwezo mdogo wa kipatowatoto wao watapata elimu isiyo bagua ... na kupata fursa ya maendeleo kama ya familia za vigogo ...
 
Back
Top Bottom