Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Taarifa
Kitengo cha Habari Maelezo ya chama changu Chadema kina mapungufu makubwa sana.
Hakina organization inaonekana kina man power kidogo sana.
Yaani Bila Erythrocyte hatuwezi kupata dondoo za mikutano na habari zingine??
Au we Erythrocytr ndio una monopolize hii kazi Takatifu?
Asante kwa taarifa.
Ila ninatamani sana kama chadema kingekuwa na kitengo imara cha habari kutuhabarisha na kutupa nondo za hiyo mikutano.
Molemo where r u?
Kitengo cha Habari Maelezo ya chama changu Chadema kina mapungufu makubwa sana.
Hakina organization inaonekana kina man power kidogo sana.
Yaani Bila Erythrocyte hatuwezi kupata dondoo za mikutano na habari zingine??
Au we Erythrocytr ndio una monopolize hii kazi Takatifu?