CHADEMA - KIINGEREZA NA TEKNOLOJIA NI LAZIMA KWA SHULE ZOTE ZA SERIKALI ILI VIJANA WAPATE UFUNGUO WA MAISHA
CHADEMA leo tarehe 21 May 2023 wamehitimisha ziara yao ndefu ya kila jimbo ndani ya mkoa wa Kigoma katika Operesheni 255 iliyo ingia mpaka ngazi ya vijiji pia tarafa kupitia mikutano ya hadhara kutoa elimu ya uraia kuhusu Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo ya Watu.
Ziara hii ya mafanikio makubwa sasa itahamia mkoa mwingine Tanzania bara.
CHADEMA leo tarehe 21 May 2023 wamehitimisha ziara yao ndefu ya kila jimbo ndani ya mkoa wa Kigoma katika Operesheni 255 iliyo ingia mpaka ngazi ya vijiji pia tarafa kupitia mikutano ya hadhara kutoa elimu ya uraia kuhusu Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo ya Watu.
Ziara hii ya mafanikio makubwa sasa itahamia mkoa mwingine Tanzania bara.