Hii ndio picha bora ya wiki nchini Tanzania, imepigwa Kigoma

CHADEMA - KIINGEREZA NA TEKNOLOJIA NI LAZIMA KWA SHULE ZOTE ZA SERIKALI ILI VIJANA WAPATE UFUNGUO WA MAISHA


CHADEMA leo tarehe 21 May 2023 wamehitimisha ziara yao ndefu ya kila jimbo ndani ya mkoa wa Kigoma katika Operesheni 255 iliyo ingia mpaka ngazi ya vijiji pia tarafa kupitia mikutano ya hadhara kutoa elimu ya uraia kuhusu Haki, Uhuru, Demokrasia na Maendeleo ya Watu.

Ziara hii ya mafanikio makubwa sasa itahamia mkoa mwingine Tanzania bara.
 
Safi sana

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Asnte san Bagamoyo
 
HIi 255 imezaa matunda sana
 
Muhila kabisa apo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…