LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Nipe 0713 upate a very practical answerWe ke au me?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe 0713 upate a very practical answerWe ke au me?
akili za kimaskini hizi.Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.
Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Kweli upuuzi hauna ujazoZa kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.
Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
- Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
What is the basis of ur argument?akili za kimaskini hizi.
Upuuzi zaidi ni Ku comment kwenye upuuzi..na Wewe ni mpuuzi kama Mimi tu shosti.wadada wapuuzi tunajuanaKweli upuuzi hauna ujazo
We Dada Una mambo
kwamba una akili za kimaskini.What is the basis of ur argument?
Povu ruksaUpuuzi zaidi ni Ku comment kwenye upuuzi..na Wewe ni mpuuzi kama Mimi tu shosti.wadada wapuuzi tunajuana
Hicho kicheche kina matatizoakili za kimaskini hizi.
Toja hoja.akili za kimasikini how?kwamba una akili za kimaskini.
Povu ndo nini? Misemo ya kishoga hiyoPovu ruksa
Ila haliondoi upuuzi
hoja ni kwamba wewe ni masikini wa akili.Toja hoja.akili za kimasikini how?
Tena sio kidogohoja ni kwamba wewe ni masikini wa akili.
NA WAKATI KIBALI KINATOLEWA WATOA KIBALI HAWAKUJUA KWAMBA WAKATI WA TUKIO KELELE ZITAKUAPO NA KUHATARISHA AFYA ZA WAGONGWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI ZA KARIBU MPAKA WAONE BAADAE SIKU MOJA KABLA YA TUKIO??Kwani hawakusimamishwa na halmashauri ya kinondoni ?! Hata kama mauzo yalikuwa madogo ya tiketi ?! Hayo mengine mnayajuwa wenyewe wenye kutafuta sababu . Kama wamezunguka mikoani kote huko wangeshindwa kumalizia Dar ?! Kubadilisha venue ghafla si sawa
And what is the basis of what u have just said. Napenda sana criticism mkuuhoja ni kwamba wewe ni masikini wa akili.
NA WAKATI KIBALI KINATOLEWA WATOA KIBALI HAWAKUJUA KWAMBA WAKATI WA TUKIO KELELE ZITAKUAPO NA KUHATARISHA AFYA ZA WAGONGWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI ZA KARIBU MPAKA WAONE BAADAE SIKU MOJA KABLA YA TUKIO??Kwani hawakusimamishwa na halmashauri ya kinondoni ?! Hata kama mauzo yalikuwa madogo ya tiketi ?! Hayo mengine mnayajuwa wenyewe wenye kutafuta sababu . Kama wamezunguka mikoani kote huko wangeshindwa kumalizia Dar ?! Kubadilisha venue ghafla si sawa
Get off my dkTena sio kidogo
Anawashwa
We mwenyewe unaandika huku ukijua unaandika upuuziZa kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.
Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.