Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

Embu tufike mahali tuache mambo yakishabiki tujikite katika ukweli tunashindwa kufanya mambo muhim ya kusogeza taifa mbele tuna baki kukumbatia ushabikitu, tubadilike wandugu tutumie akili japo hata . 1
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
akili za kimaskini hizi.
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

  • Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Kweli upuuzi hauna ujazo

We Dada Una mambo
 
Wewe jana kule kwenu watu walikua wanazubaa

Wameweza Arusha
Mwanza
Tanga
Dodoma
Singida
Washindwe Dar?
Kuna uwezekano mkubwa wangepata zaidi ya uwezo wa Uwanja wa Taifa

Wanufaika wengi wameumizwa ikiwemo uber, taxify etc
 
Hahahahahaaaa yule dogo wa tandale labda kapulizia🤣[emoji449]
 
Kwani hawakusimamishwa na halmashauri ya kinondoni ?! Hata kama mauzo yalikuwa madogo ya tiketi ?! Hayo mengine mnayajuwa wenyewe wenye kutafuta sababu . Kama wamezunguka mikoani kote huko wangeshindwa kumalizia Dar ?! Kubadilisha venue ghafla si sawa
NA WAKATI KIBALI KINATOLEWA WATOA KIBALI HAWAKUJUA KWAMBA WAKATI WA TUKIO KELELE ZITAKUAPO NA KUHATARISHA AFYA ZA WAGONGWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI ZA KARIBU MPAKA WAONE BAADAE SIKU MOJA KABLA YA TUKIO??
 
Kwani hawakusimamishwa na halmashauri ya kinondoni ?! Hata kama mauzo yalikuwa madogo ya tiketi ?! Hayo mengine mnayajuwa wenyewe wenye kutafuta sababu . Kama wamezunguka mikoani kote huko wangeshindwa kumalizia Dar ?! Kubadilisha venue ghafla si sawa
NA WAKATI KIBALI KINATOLEWA WATOA KIBALI HAWAKUJUA KWAMBA WAKATI WA TUKIO KELELE ZITAKUAPO NA KUHATARISHA AFYA ZA WAGONGWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI ZA KARIBU MPAKA WAONE BAADAE SIKU MOJA KABLA YA TUKIO??
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
We mwenyewe unaandika huku ukijua unaandika upuuzi
 
Back
Top Bottom