Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

Tetesi: Hii ndio sababu halisi iliyowafanya Clouds Media Group waahirishe tamasha la Tigo Fiesta

ingekuwa mala kumi ..hii sentensi imedhihirisha team Mond..hawajui kuandika hata kiswahili..fanyeni utafiti
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Kwahiyo Manispaa ya kinondoni ndio wamiliki wa Clouds media!
 
Za kunyapia nyapia zinasema
Angalia isije ukanyapiwa nyapiwa kwa kunyapia nyapia habari za kunyapia nyapia.

Kwa hiyo manispaa na jeshi la polisi walihongwa kusitisha kibali chao au waliingiaje hapo kama sababu ni mauzo madogo ya tiketi?
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

  • Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
 
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.

Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.

Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Kwani hawakusimamishwa na halmashauri ya kinondoni ?! Hata kama mauzo yalikuwa madogo ya tiketi ?! Hayo mengine mnayajuwa wenyewe wenye kutafuta sababu . Kama wamezunguka mikoani kote huko wangeshindwa kumalizia Dar ?! Kubadilisha venue ghafla si sawa
 
Vinjuka vipate watu mkoani baba zao wakose Tanzania.
Kuja na sababu nyingine.
 
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.

Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.[/QUOTE]

Hata km ticket zingekuw zmeuzwa zote wangeweza kurudisha tuu sabab pesa ilikuw haijatumika. Labda ungesema laiti tamasha lingekatishwa katikati.
Pia uuzaji wa ticket ulisitishwa kwa sabab Tanganyika Packers ni padogo kuliko Leaders Club.
 
Back
Top Bottom