severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,402
Hamna lolote ile ni zuga tuKwahiyo Manispaa ya kinondoni ndio wamiliki wa Clouds media!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna lolote ile ni zuga tuKwahiyo Manispaa ya kinondoni ndio wamiliki wa Clouds media!
Ina uhusiano gani na uzi uliopo juu.Kuna demu nilikua namtaka akawa ananizungusha sana siku niliyompata hakuamini jinsi nilivyompiga mara moja na kumwacha akawa anaanza kunitafuta yeye sasa akipiga simu sipokei meseji sijibu alitia akili
Kwa hiyo suala la kuihamisha Fiesta pale Leaders Club ni propaganda ya Clouds, siyo?... Hizo za kunyapianyapia nadhani utakuwa umezipata ofisi za WCB...Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.
Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
- Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Kuna demu nilikua namtaka akawa ananizungusha sana siku niliyompata hakuamini jinsi nilivyompiga mara moja na kumwacha akawa anaanza kunitafuta yeye sasa akipiga simu sipokei meseji sijibu alitia akili
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nimeshakula nimeshiba ngoja nitafute kijiwe nikae.. nianze kuiponda serikali..
People are boycotting clouds ishu sio kuwepo kwa wasafi festival.. Kwa ufupi tamasha limebumaAkili ndogo bana kwa hiyo unataka kusema watu wote wa dar wamehamia mtwara?
Unalinganisha watu wa mkoani na darusalama?Vinjuka vipate watu mkoani baba zao wakose Tanzania.
Kuja na sababu nyingine.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
We ke au me?Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.
Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
- Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
A person like you filled with such hatred can never succeed. Umekalia uzushi tu.Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi.
Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa clouds kufanya tamasha lenye kuhudhuriwa na idadi ndogo ya watu.
Na.pengine hiyo ndio sababu Clouds wame Fanya uamuzi wa kuwarudishia pesa walio nunua tiketi.
Wangekuwa wameuza tiketi nyingi wasingeweza kufanya uamuzi wa kurudisha pesa za watu.
Bangi tuuIna uhusiano gani na uzi uliopo juu.
Ur point being?Imebidi nianze kuangalia baadhi ya comments na threads zako ndo nijue kama pointless hii umeteleza au ni kawaida yako, na nimeshapata jibu,
Asante
Where is my hatred? Please show me I don't c itA person like you filled with such hatred can never succeed. Umekalia uzushi tu.