Hii ndio sababu kwanini kila MARIOO akitoa nyimbo na DIAMOND lazima atoe?

Hii ndio sababu kwanini kila MARIOO akitoa nyimbo na DIAMOND lazima atoe?

Charlez kanumba

Senior Member
Joined
Nov 2, 2024
Posts
187
Reaction score
501
..MARIOO ni msanii ambaye anatoa hits nyingi sana ambazo zinafanya vizuri kila kona ya mtaa, na endapo DIAMOND akimwachia upenyo MARIOO wa kuendelea kusikika mtaani basi lazima atachukua nafasi yake, hivyo diamond ameshamshtukia MARIOO ni msanii anaye kubalika sana na ni rahisi kurithi kiti chake.

Mfano MARIOO alitoa wimbo wa matata, diamond nae akaja na wimbo wa "komasava", sasa hivi tena MARIOO ametoa album inayoitwa "The Godson", Diamond hajataka kumwachia upenyo, chapu na haraka akaungana na bibie ZUCHU wakarekodi wimbo unaoenda kwa kina la "WALE WALE".

Lengo likiwa ni kuondoa attention ya mashabiki kufuatilia album ya MARIOO badala yake wamfatilie yeye na bibie ZUCHU.,
 
Yani ni Sawa na baba yako afanye harakati za kukurudisha nyuma kwenye mipango yako. Diamond alipofika sasa haitaji kumrudisha nyuma mtu ili afanikiwe. Hata hivyo wimbo mzuri utapenya tu kwanamna yoyote. Hivyo ondoa hofu mkuu.
 
..MARIOO ni msanii ambaye anatoa hits nyingi sana ambazo zinafanya vizuri kila kona ya mtaa, na endapo DIAMOND akimwachia upenyo MARIOO wa kuendelea...
Ni kweli mario amekosa exposure na management ya kueleweka tu ila kila nyimbo yake ni hits song..!
 
Not hating, but TZ muzik is nosediving down the hill. Every muzik released is oblique, lifeless and lack artistry sophistication as it used back in the days.

Meanwhile, Marioo is a good artist, but i struggle to understand his music.​
 
Back
Top Bottom