Hii ndio Sababu kwanini Mungu aliagiza wachawi wauawe

Hii ndio Sababu kwanini Mungu aliagiza wachawi wauawe

Sijauliza ‘definition’ ya ‘Suffer’, bali nimeuliza tafsiri / ‘translation’ ya neno ‘Suffer’ kwenda kwenye kiswahili toka kiingereza, ni ipi? Ni kweli una kichwa kizito hivyo au unafanya makusudi?
Get off my dvk
 
Kutoka 22:18 inasema " Thou shall not suffer a witch to live" a Swahili for " Usimuache mchawi aishi".

Je ni kwanini Mwenyezi Mungu alitoa hiyo decree? Kabla sijatoa majibu yangu kuhusu swali hili Wacha nitoe maoni yangu kwanini Mungu aliwakataza kabisa binadamu kujihusisha Na uchawi.
Kumbe ccm ni uchawi, miaka 60 BADO hutubadiliki
 
√√•Hata nyakati za kanisa la kwanza uchawi uliendelea kuwepo. Kulikuwepo mchawi aliyeitwa Simon, aliyekuwa akifanya uchawi katika taifa la Wasamaria (MATENDO 8:9-11). Mchawi mwingine anayetajwa ni Bar- Yesu au Elima(MATENDO13:6-8).

>Mungu aliweka sheria kwa lengo la kuwaondosha nyakati hizo (KUTOKA 22:18; MAMBO YA WALAWI 20:27) na akaeleza jinsi watu wake wasivyopaswa KULOGA au kufanya ushirikina wa MASHETANI maana hayo ni MACHUKIZO KWA BWANA (MAMBO YA WALAWI 19:26)

#UCHAWI UPO KITAMBO SANA
 
Miaka ya 90 Kuna jamaa alitoka Babati akaja kuishi kitaa Fulani jijini Darusalama ambacho asilimia tisini Ni wenyeji WA kusini mwa Tanzania. Jamaa alikuwa mfanyakazi WA Serikali so alipangiwa mjini Daslamu. Kwao aliambiwa Bwana ukifika Pwanj hakikisha una heshimu wazee ili uwe Salama usije kurogwa bure.
Duh hatari hii dunia
 
√√•Hata nyakati za kanisa la kwanza uchawi uliendelea kuwepo. Kulikuwepo mchawi aliyeitwa Simon, aliyekuwa akifanya uchawi katika taifa la Wasamaria (MATENDO 8:9-11). Mchawi mwingine anayetajwa ni Bar- Yesu au Elima(MATENDO13:6-8)...
Yes uchawi upo lakini Mungu aliukataza. Huyo mchawi Simon baada ya kukutana Na nguvu ya Mungu ali Choma tunguli zake
 
Yeye mungu alishindwa nini kumuua shetani. Maana biblia inasema shetani ndio chanzo cha maovu yote, sasa unauaje matokeo ya uovu halafu chanzo ama source unaiacha, si utaua kila siku?

Dini ni mambo ya kitapeli, ni utapeli mtupu. Mungu wala shetani hawapo.
Aisee
 
Hujatoa solution jinsi ya kushughulika na Hawa wachawi wanao sumbua hapa duniani, Mana uchawi Hauna ushidi, Leta Mbinu ya kuwashughulikia Hawa wachawi
 
Get off my dvk
Matusi si kwamba wengine wanashindwa kutukana, ni ustaarabu tu ndio unawaongoza. Sasa kama umeleta hoja jukwaani si inabidi wadau tuichekeche. Kama hoja haina mashiko basi idhihirike hivyo. Nimetamani kujua tafsiri ya neno ‘Suffer’, na bado ningependa kujua imetafsirika vipi kwenda kiswahili...
 
Yeye mungu alishindwa nini kumuua shetani. Maana biblia inasema shetani ndio chanzo cha maovu yote, sasa unauaje matokeo ya uovu halafu chanzo ama source unaiacha, si utaua kila siku?

Dini ni mambo ya kitapeli, ni utapeli mtupu. Mungu wala shetani hawapo.
Angemuua shetani watu wangejua kamuonea. Amemuacha ili ukweli ujulikane.
 
Kutoka 22:18 inasema " Thou shall not suffer a witch to live" a Swahili for " Usimuache mchawi aishi".

Je ni kwanini Mwenyezi Mungu alitoa hiyo decree? Kabla sijatoa majibu yangu kuhusu swali hili Wacha nitoe maoni yangu kwanini Mungu aliwakataza kabisa binadamu kujihusisha Na uchawi.
hizo zilikuwa enzi za jino kwa jino (a.k.a sheria) wakati ambao ulishapitwa na Kuja kwa kafara ya Yesu Kristo lililoanzisha msamaha wa dhambi kwa Neema inayotokana na gharama aliyoilipa Yesu Kristo wa Nazareth kwa kufa pale msalamani. alilipa deni looote hajabakisha kitu kiasi kwamba hata mchawi aliyetesa watu miaka mingi akiamua kugeuka na kumpa maisha yake Yesu, anasamehewa dhambi zooote, hakuna dhambi nyingi wala nzito kwa Yesu hata ashindwe kuifuta au kuibeba ndani ya ile gharama ya Damu yake aliyoimwaga.

hata kama wewe umekuwa muuaji wa watu wengi, fisadi, mzinzi wa kutupwa, jambazi, mchawi wa wachawi, ukikubali kubadilika ukatubu kwa kumaanisha kuacha dhambi utasamehewa dhambi zooote, hata kama watu watakuwa wanaendelea kukumbuka dhambi zako Mungu huwa anafuta zote na anazisahau, anasema anazitupa kwenye kilindi cha maji hata ukijikumbushisha unajikumbushisha wewe mwenyewe tu ila Mungu ameshasamehe na kusahau hakuhesabii uovu utena. hiyo ndio Neema na upendo wa Mungu ulivyo MKuu kwetu.

ni wasabato tu na ninyi msioamini wokovu kwa njia ya Yesu Kristo ndio mnabaki kuhangaika na wachawi na kujichukulia sheria mkononi au hata kumtetea mungu wenu as if hana uwezo wa kujitetea mwenyewe. wasabato hadi leo wapo chini ya sheria hata baada ya Yesu Kumwaga Damu kwa ajili yao. wanaamini wanaweza kumpendeza Mungu kwa matendo ya Sheria.

kwa Matendo ya sheria hakuna atakayemwona Mungu kwasababu tunateleza na kumtenda Mungu dhambi kila wakati na kama haupo mikononi mwa Mwokozi mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi duniani (Yesu Kristo), manake utabaki na dhambi zako. mwenye akili ameshasikia.
 
Kutoka 22:18 inasema " Thou shall not suffer a witch to live" a Swahili for " Usimuache mchawi aishi"...
Mpumbavu kweli wewe hujielewi, hivi unafikiri uchawi ni kitu kidogo kama ulivyofundishwa??
Mchawi kuweza kufika popote labda Dar to Mwanza kufumba na kufumbua yupo huko unadhani ni kitu kidogo?

Mjinga wewe! Hivi unaijua historia ya yule msukuma mchawi wa Mwanza Mwanamalundi, aliwaambia wanakijiji wenzake wakati wa njaa na chakula kimekwisha, walime kila mtu shamba lake tena ni kiangazi, na jioni siku hiyo hiyo wakaenda kuvuna, aliyepanda viazi alivuna viazi, mahindi nk..njaa ikaisha, ana alama zake pale kwenye miamba amechomeka mkuki kwenye jiwe hadi leo upo, wazungu walihangaika kumtafuta kumuua lakini wapi!! Sijui alikufaje!

Ngoja nikueleze mwehu wewe, wakoloni walipokuja kutawala dunia hasa hawa wenye ukristo wa kikatoliki kama Italy, Ufaransa, Uingereza (anglican) Ureno, Hispain, Ujerumani nk hawa waliua watu wote wenye secret knowledge ( dini ikaita uchawi), na wakaleta elimu na dini ili ku brain wash ( mind programming) hivyo hivi sasa binadamu tumebakia as nothing, just workers to Illuminati Gods, Lucifer who Knowns as Elohim by Jews kwamba binadamu is no more, should depend upon the Savior wakatuletea Yesu.

Nakushangaa wewe unayeuponda uchawi ambayo ni secret knowledge ya Uungu, Nasi tumesahaulishwa kabisa kuwa sisi ji nani by nature!! WE ARE SPIRITUAL, WE ARE GODS BY NATURE hivyo no one Deserve WORSHIP Than Yourself..
 
Yeye mungu alishindwa nini kumuua shetani. Maana biblia inasema shetani ndio chanzo cha maovu yote, sasa unauaje matokeo ya uovu halafu chanzo ama source unaiacha, si utaua kila siku?

Dini ni mambo ya kitapeli, ni utapeli mtupu. Mungu wala shetani hawapo.
Hizi akili za ki CCM kabisa![emoji2][emoji2]
Utawasikia mbona yeye Mbowe alishindwa kuketa maji hai? Basi kamaliza
 
Yeye mungu alishindwa nini kumuua shetani. Maana biblia inasema shetani ndio chanzo cha maovu yote, sasa unauaje matokeo ya uovu halafu chanzo ama source unaiacha, si utaua kila siku?

Dini ni mambo ya kitapeli, ni utapeli mtupu. Mungu wala shetani hawapo.
basi kuna dini moja, dini ya kina yeriko nyerere, ile ya pool of siloam, wanaamini Ebenezer Munuo yule mchaga wa bombang'ombe aliyekuwa anafanya kazi tanesco akisali lutheran akahama na kuanzisha kanisa lake la pool of siloam kule mbezi beach, nilimsikia kwa masikio yangu akisema yeye ameshamuua shetani, kwamba Mungu alimtuma na ameshamuua shetani, wanaamini yule jamaa ni mungu na alipaa na wanaamini yeye ndiye eliya badala wa Yesu, na kwamba Damu ya Yesu Kristo na Jina la Yesu Kristo vilishapungua nguvu, hivo ukiomba kwa JIna la Yesu hautapata majibu ila ukiomba kwa jina la eliya mungu wa pili yaani yeye munuo aliyekufa na hakufufuka ndio unajibiwa, hadi leo hii hawataji jina la Yesu wanaposali, wanataja Jina la mungu na damu ya mungu mwenyewe (wakimaanisha eliya mungu wa pili yaani Munuo).

pamoja na kutoiamini Damu ya Yesu wala Jina la Yesu, bado munuo hana biblia yake, wanaendelea kutumia Biblia ileile inayothibitisha kuwa Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya yeye, na kwamba Jina la Yesu ndio Jina pekee tulilopewa sisi wandamu litupasalo kuokolewa kwalo, na kwamba tukiomba lolote kwa Jina la Yesu tutapokea.

Munuo alikufa akakaa siku tatu wakifikiri atafufuka wakaona hafufuki ananuka wakaenda kuzika kule njia ya bagamoyo kaburi lake lipo hadi leo, na inasemekana aliugua tetenasi akiwa hataki kutibiwa ati angepona. watu walikuwa wanasali kwa kutumia madhabahu yake wakati pale kwenye madhabahu inasemekana alizikwa mtu. hadi leo ile madhabahu huwa haihamishwi hata wakijenga jengo jipa itakuwa ile tu na aliaminisha watu kuwa ukiomba kwa kupitia madhabahu yake unapokea uponyaji. kanisa hili limesambaa Tanzania nzima wanavaa mavazi yote meupe hadi viatu vyeupe, myakimbie ni kanisa la sheteni.

ajabu yake, hata baada ya kujinadi kwamba ameshamuua sheteni, hadi leo sheteni bado anaoperate kila uchwao, maajeni wa shetani wanazidi kujiimarisha. na wao wanamini alipaa mbinguni labda baada ya kumzika ndio akapaaa .
 
  • Thanks
Reactions: _ly
Yes uchawi upo lakini Mungu aliukataza. Huyo mchawi Simon baada ya kukutana Na nguvu ya Mungu ali Choma tunguli zake
Siku hizi vijana wameuingia uchawi sana kujipatia pesa za fasta ukiingia kariakoo wakinga wameendekeza sana uchawi
 
basi kuna dini moja, dini ya kina yeriko nyerere, ile ya pool of siloam, wanaamini Ebenezer Munuo yule mchaga wa bombang'ombe aliyekuwa anafanya kazi tanesco akisali lutheran akahama na kuanzisha kanisa lake la pool ...
Yule inasemekana aliuliwa KICHAWI Na Mtume Na nabii mmoja baada ya marehemu kumuua KICHAWI mdogo wake Na Mtume Na Nabii huyo
 
Back
Top Bottom