Mpumbavu kweli wewe hujielewi, hivi unafikiri uchawi ni kitu kidogo kama ulivyofundishwa??
Mchawi kuweza kufika popote labda Dar to Mwanza kufumba na kufumbua yupo huko unadhani ni kitu kidogo?
Mjinga wewe! Hivi unaijua historia ya yule msukuma mchawi wa Mwanza Mwanamalundi, aliwaambia wanakijiji wenzake wakati wa njaa na chakula kimekwisha, walime kila mtu shamba lake tena ni kiangazi, na jioni siku hiyo hiyo wakaenda kuvuna, aliyepanda viazi alivuna viazi, mahindi nk..njaa ikaisha, ana alama zake pale kwenye miamba amechomeka mkuki kwenye jiwe hadi leo upo, wazungu walihangaika kumtafuta kumuua lakini wapi!! Sijui alikufaje!
Ngoja nikueleze mwehu wewe, wakoloni walipokuja kutawala dunia hasa hawa wenye ukristo wa kikatoliki kama Italy, Ufaransa, Uingereza (anglican) Ureno, Hispain, Ujerumani nk hawa waliua watu wote wenye secret knowledge ( dini ikaita uchawi), na wakaleta elimu na dini ili ku brain wash ( mind programming) hivyo hivi sasa binadamu tumebakia as nothing, just workers to Illuminati Gods, Lucifer who Knowns as Elohim by Jews kwamba binadamu is no more, should depend upon the Savior wakatuletea Yesu
Nakushangaa wewe unayeuponda uchawi ambayo ni secret knowledge ya Uungu, Nasi tumesahaulishwa kabisa kuwa sisi ji nani by nature!! WE ARE SPIRITUAL, WE ARE GODS BY NATURE hivyo no one Deserve WORSHIP Than Yourself..