Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Funguka tu, ni yupi? Weka hata codes tu. wanasiloam hadi leo wanasema alipaa mbinguni, wakapiga na picha mawingu sijui jini gani lilitumwa na shetani lije liwadanganye, mtu yupo kaburini wao wanasema wameona kivuli kinapaa mawinguni. vivuli vya kishetani hivyo mbona vingi sana huko indondesia hadi farasi wanarukaruka mawinguni watu wanasema malaika kumbe shetan kaja kuwachanganya akili waendelee kupotea. weka codes chief.Yule inasemekana aliuliwa KICHAWI Na Mtume Na nabii mmoja baada ya marehemu kumuua KICHAWI mdogo wake Na Mtume Na Nabii huyo
Siwezi kumtaja kakafunguka tu, ni yupi? weka hata codes tu. wanasiloam hadi leo wanasema alipaa mbinguni, wakapiga na picha mawingu sijui jini gani lilitumwa na shetani lije liwadanganye, mtu yupo kaburini wao wanasema wameona kivuli kinapaa mawinguni. vivuli vya kishetani hivyo mbona vingi sana huko indondesia hadi farasi wanarukaruka mawinguni watu wanasema malaika kumbe shetan kaja kuwachanganya akili waendelee kupotea. weka codes chief.
Mchawi hana akili thus ufanya mambo ya kipumbavuIla aliyeleta uchawi huku Africa alitukomesha
Majamaa hawana dogo kila kitu kwao ni kikubwa hebu fikiria eti wanafikia hatua ya mpaka kumuonea wivu zygote
WEKA CODESiwezi kumtaja kaka
True thus huwa unakuta maisha ya sehemu fulani ufanana, vibaka, ufukara, ukahaba, nkMiaka ya 90 Kuna jamaa alitoka Babati akaja kuishi kitaa Fulani jijini Darusalama ambacho asilimia tisini Ni wenyeji WA kusini mwa Tanzania. Jamaa alikuwa mfanyakazi WA Serikali so alipangiwa mjini Daslamu. Kwao aliambiwa Bwana ukifika Pwanj hakikisha una heshimu wazee ili uwe Salama usije kurogwa bure.
Kama mkoa wa lindi hauwezi kuendelea kwasababu ya uchawi huko handeni nako nasikia balaa kuna sehemu kunaitwa kwa msisi ha ha ha haTrue thus huwa unakuta maisha ya sehemu fulani ufanana,vibaka,ufukara,ukahaba,nk
Kuna uchawi wa kufunga mtaa,wilaya,mkoa,nchi visiendelee unaitwa malila huu ufanywa na wazee wa eneo husika kwa manuizo ya kuzuia tamaduni mpya za wageni .Lindi imefungwa na zindiko kama lile la bagamoyo watu wake wamefanywa wawe na upeo Mdogo wa kufikiri thus huko ni rahisi kwa mzazi kumroga mwanae asiendelee.Hata Afrika imefungwa jiulize ndilo bara tajiri kuliko yote lakini waafrika Wana upeo Mdogo Sana kuhusu maendeleo.kama mkoa wa lindi hauwezi kuendelea kwasababu ya uchawi huko handeni nako nasikia balaa kuna sehemu kunaitwa kwa msisi ha ha ha ha
Kutoka 22:18 inasema " Thou shall not suffer a witch to live" a Swahili for " Usimuache mchawi aishi".
Je ni kwanini Mwenyezi Mungu alitoa hiyo decree? Kabla sijatoa majibu yangu kuhusu swali hili Wacha nitoe maoni yangu kwanini Mungu aliwakataza kabisa binadamu kujihusisha Na uchawi.
Ipo Sababu Moja kuu kwanini Mungu hataki binadamu wajihusishe Na uchawi. Nayo Ni " UCHAWI UNAUA NGUVU NA UWEZO WA AKILI YA MTU ANAE UTUMAINIA"
Ni hivi , Kwa jinsi Mwenyezi Mungu alivyo I design akili ya MWANADAMU,akili ya MWANADAMU inaweza kufanya mambo makubwa Sana ambayo uchawi hauwezi kufanya hata robo yake.
But hili Jambo hili liwezekane Ni lazima MWANADAMU aitumie akili yake Kwa marefu Na mapana yake.. Mahali pekee ambapo akili ya MWANADAMU inaweza kukua au nguvu ya akili ya MWANADAMU inaweza Ku manifest Ni pale anapo kutana Na changamoto mbalimbali.
Kadri MWANADAMU anavyo solve changamoto Moto hizo ndivyo akili yake inavyozidi kupanuka.
Sasa basi uchawi unamzuia MWANADAMU ashindwe kutumia akili yake vizuri.
Badala ya kusolve matatizo Yake Kwa kutumia akili yake yeye ana solve matatizo yake Kwa kutumia uchawi ama Kwa kutumia akili ya viumbe wengine " majini" ambao ndio waalimu WA uchawi matokeo yake akili ya mwanadamu inashindwa ku advance.
Kuna Nadharia Fulani inasema kwamba hapo Zamani binadamu tulikuwa katika familia kubwa ya manyani iliyo Julikana kama AUSTRALOPITHESNES huku ancestor wetu akiwa ZINJATHROPUS.
At first wote tulikuwa katika same level of development, kilicho tufanya wanadamu Tu advance kiteknolojia na kuwapita manyani Ni kutumia akili zetu vizuri.
Binadamu tulikuwa tukikutana Na changamoto tulikuwa hatuzikimbii Bali tulikuwa tuna Zi solve mfano " kunyeshewa mvua" tuliumiza akili mpaka tukavumbua nyumba lakini masokwe wao walikuwa wakikutana Na changamoto kama HII wanakimbilia kwenye msitu mzito Zaidi kujificha kwenye miti mikubwa huku ancestor wetu akipambana kutafuta suluhisho la kudumu la changamoto hiyo.
Mwisho WA siku binadamu tukawapiga masokwe gape kubwa Sana la kiteknolojia.
Mfano Huu upo applicable pia Kati ya gape la kiteknolojia na kimaendeleo Kati ya wazungu Na waafrika...
Baadhi ya races ZA majini wenye wivu waliona jinsi binadamu tulivyo kuwa tuna advance kiteknolojia Kwa Kasi ya ajabu so Waka conspire wakaja kutufundisha uchawi ili Ku corrupt mind zetu Kwa kuutumia uchawi kama replacement ya uwezo wetu WA kufikiri kwamba pale tunapo kutana Na changamoto badala ya kutumia akili kutatua sie tukawa tunatumia uchawi ambao is nothing but teknolojia ya majini Na katika kuhakikisha mind zetu zinakuwa corrupted indeed majini Hao wakawa active Sana kwenye uchawi kiasi cha kuwafanya mamilioni ya binadamu kuacha kufikiria Na kuhamia kwenye uchawi.
Mungu aliona hatari hii Na kutuma ujumbe duniani kwamba uchawi lazima uharamishwe Na kupigwa marufuku ili Ku prevent further damage kwenye thinking capacity ya binadamu.
Wote mmesoma Historia Na mnajua wachawi walikuwa wanafanywa Nini kuanzia Enzi za Mussa, Mtume Muhammad Na very recently Enzi za kati huko barani Ulaya.
Back to my thread: kwanini Mungu ali toa Amri wachawi wote wauwawe?
KWA SABABU MCHAWI NI KIUMBE MWENYE UWEZO MDOGO SANA KUFIKIRI .S/HE DOESNT DESERVE THE NAME " HUMAN". MCHAWI NI KAMA VIRUS KWENYE KOMPYUTA. USIPO MTOA VIRUS MMOJA KWENYE KOMPYUTA ATA CORRUPT KOMPYUTA NZIMA NA MWISHO WA SIKU KOMPYUTA ITA HARIBIKA. UKIMUACHA MCHAWI AISHI ATA CORRUPT JAMII INAYO MZUNGUMKA NA KUWAFANYA NAO KUWA NA AKILI NDOGO KAMA YA KWAKE NA MWISHO WA SIKU THE ENTIRE HUMAN RACE WILL BE CHAINED INTO BACKWARDNESS AND ABJECT POVERTY FOR THE PUNISHMENT OF WITCHCRAFT IS POVERTY.
Hivi ushajiuliza kwanini mchawi anakuroga Kwa Sababu umepata Kazi nzuri? Au kwanini mchawi ana kuroga Kwa Sababu biashara yako inatoka Sana? Ni Kwa Sababu akili yake Ni ndogo Sana Na fikra zake Ni dhaifu kupita maelezo.
Yani ANACHO ogopa hapo Ni kukuona ukiwa unakula vizuri unapendeza una furaha Na familia yako n.k. Mtu WA hivi wewe una muona akili zake zipo Sawa Sawa Kweli? Mtu mwenye mawazo kama haya Ni chukizo Kwa Mungu Kwa Sababu hajaumba binadamu mwenye Moyo dhaifu kiasi hiki. " MUNGU AMETUUMBA SI KWA ROHO YA UOGA BALI ROHO YA UJASIRI".
Na vitu dhaifu havifai mbele za Mungu Wala haviwezi kuingia mbinguni Kwa mujibu WA mabandiko.
Na wewe unae soma Uzi Huu if ur heart is struggling to handle the success of ur friend, neighbour or etc then u have to be sure that wewe pia una roho ya KICHAWI ndani yako. Na Kwa mujibu wa decree ya Mungu, wewe pia hustahili kuishi duniani. Unatakiwa uondolewe duniani ili udhaifu uliopo Kati ka akili yako ufe pamoja Na wewe Kwa maana ukiachwa utazaa watoto ambao NAO watarithi roho yako.
Vitabu vyoote vimeagiza.Mods futeni thread inapotosha
Mungu hajaagiza wachawi wauwawe
Mpumbavu kweli wewe hujielewi, hivi unafikiri uchawi ni kitu kidogo kama ulivyofundishwa??
Mchawi kuweza kufika popote labda Dar to Mwanza kufumba na kufumbua yupo huko unadhani ni kitu kidogo?
Mjinga wewe! Hivi unaijua historia ya yule msukuma mchawi wa Mwanza Mwanamalundi, aliwaambia wanakijiji wenzake wakati wa njaa na chakula kimekwisha, walime kila mtu shamba lake tena ni kiangazi, na jioni siku hiyo hiyo wakaenda kuvuna, aliyepanda viazi alivuna viazi, mahindi nk..njaa ikaisha, ana alama zake pale kwenye miamba amechomeka mkuki kwenye jiwe hadi leo upo, wazungu walihangaika kumtafuta kumuua lakini wapi!! Sijui alikufaje!
Ngoja nikueleze mwehu wewe, wakoloni walipokuja kutawala dunia hasa hawa wenye ukristo wa kikatoliki kama Italy, Ufaransa, Uingereza (anglican) Ureno, Hispain, Ujerumani nk hawa waliua watu wote wenye secret knowledge ( dini ikaita uchawi), na wakaleta elimu na dini ili ku brain wash ( mind programming) hivyo hivi sasa binadamu tumebakia as nothing, just workers to Illuminati Gods, Lucifer who Knowns as Elohim by Jews kwamba binadamu is no more, should depend upon the Savior wakatuletea Yesu
Nakushangaa wewe unayeuponda uchawi ambayo ni secret knowledge ya Uungu, Nasi tumesahaulishwa kabisa kuwa sisi ji nani by nature!! WE ARE SPIRITUAL, WE ARE GODS BY NATURE hivyo no one Deserve WORSHIP Than Yourself..
Ndio maana nikamwambia hapo mwanzo kwamba uchawi ni kile usichokijua, ila ukishakijua tu, kinaacha kuwa uchawi. Pia atofautishe uchawi na roho mbaya.Mpumbavu kweli wewe hujielewi, hivi unafikiri uchawi ni kitu kidogo kama ulivyofundishwa??
Mchawi kuweza kufika popote labda Dar to Mwanza kufumba na kufumbua yupo huko unadhani ni kitu kidogo?
Mjinga wewe! Hivi unaijua historia ya yule msukuma mchawi wa Mwanza Mwanamalundi, aliwaambia wanakijiji wenzake wakati wa njaa na chakula kimekwisha, walime kila mtu shamba lake tena ni kiangazi, na jioni siku hiyo hiyo wakaenda kuvuna, aliyepanda viazi alivuna viazi, mahindi nk..njaa ikaisha, ana alama zake pale kwenye miamba amechomeka mkuki kwenye jiwe hadi leo upo, wazungu walihangaika kumtafuta kumuua lakini wapi!! Sijui alikufaje!
Ngoja nikueleze mwehu wewe, wakoloni walipokuja kutawala dunia hasa hawa wenye ukristo wa kikatoliki kama Italy, Ufaransa, Uingereza (anglican) Ureno, Hispain, Ujerumani nk hawa waliua watu wote wenye secret knowledge ( dini ikaita uchawi), na wakaleta elimu na dini ili ku brain wash ( mind programming) hivyo hivi sasa binadamu tumebakia as nothing, just workers to Illuminati Gods, Lucifer who Knowns as Elohim by Jews kwamba binadamu is no more, should depend upon the Savior wakatuletea Yesu
Nakushangaa wewe unayeuponda uchawi ambayo ni secret knowledge ya Uungu, Nasi tumesahaulishwa kabisa kuwa sisi ji nani by nature!! WE ARE SPIRITUAL, WE ARE GODS BY NATURE hivyo no one Deserve WORSHIP Than Yourself..
Ni kama vile wanaume kuzibuliwa mitaro ya nyuma tunavyoona ni uchawi, wao wazungu hichocni kitu cha kawaida, na ukijaribu kukizuia wanakunyima misaada.Kama uchawi unatufanya tuwe gods by nature ndo ule tunaohadithiwa wa kugonga milango ya watu na matako huku umejipaka majivu bora hata wazungu walikuja.