Hii ndio sababu Magenius hawawezi kuwa matapeli

Kama wewe mumeo na koo zenu ni normal hata ule nini au ulee vipi hauwezi toa genius. Unatakiwa uzaliwe hivyo kwanza urithi kwa genetics kisha makuzi na mazingira ni kuendeleza kama ambavyo mtu hukuza kipaji alichozaliwa nacho.La hatuzaliwi hatuna akili Bali ni kuwa 'tunazaaliwa na akili Ila hatuzaliwi na uelewa' uelewa unakuja kwa kujifunza na makuzi na mazingira sasa ukijumlisha ndo yanachangia uelewa anaokuwa nao MTU.na pia uelewa wako unaamuliwa na akili yako ya kuzaliwa nayo. Yaani kiwango chako cha uelewa kinaamuliwa na kiwango chako cha akili ulizozaliwa Nazo, ni kama kusema kwa kiingereza kuwa " you're ability to be smart is determined by you're intelligence level" hivyo ni kuwa " we were born intelligent but not smart" smartness is acquired through learning but intelligence is something you're born with (IQ) and it can be below average,average, above average or upper(genius).
 
Huu uzi umefikirisha sana. Nina mwanangu ana miaka mitano na ninahisi ana dalili zote ulizoziandika za kundi la kwanza. Sijui nifanyeje?
 
Kuna dogo moja wayback Alikuwa gumzo tangu utotoni (elimu ya awali mpaka O level, Ila Kazingua o level....mtaa Anajulikana kama genius......Nlipata bahati ya kupiga nae stori akasema Mikwaruzano ya kifamilia ndo ilimharibia , (ilimfelisha) imagine alikuwa haandiki notes ila Top 3 humkosi, , , ngeli anagonga balaa bio na agr Kama hayupo class Ticha hafundishi.....alikuwa mkorofi kinoma .....



Malezi yanaplay part gani kwenye intelligence ya mtu?
 
Kuna hawa vijana wawili humu jf ambao ni hatar Sana. Mshana Jr na The Bold je wako kundi gani maana huwa duh hawafai kabsaa thread zao ni noma
Intelligence hao. Cause magenius si rahisi mtu wa kawaida ukawaelewa labda uwe genius au intelligent

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaha mkuu kwa hiyo umekosa mfano mwingine zaidi yaa kumtaja brother wa forex?
 
Tapeli ni Genius pia!! sema tu ki-Bongo bongo mnawadharau!! ni bonge la mtaji, tena utapeli ni sanaa ni kipaji adimu, think again, nakupa mfano hawa kwa jeshi la Israel ni Mtaji mkubwa sana!!

wanajua lugha za kiarabu km waarabu, wengi wameajiliwa na MOSSAD AL ABEIT! ndani wanaishi na waarabu km waarabu asilia lkn wanaifanyia kazi Israel! wameoa, wamezaa koo! tena mpaka za kifalme!! King Abdulah wa Jordani ni muisrael damu damu, yule! mke wa Yasser Arafat ni yahudi hawa walioa na kuolewa kitapeli! Mohamedi Budia ni tapeli yahudi yule!

Utapeli ni sanaa! ni kipaji adimu! wapelekeni TISS!
 
Usonji au Autism huujui mkuu, fanya home work yako vizuri.Autism unaletwa na chanjo mkuu kwa vile zina Mercury, Aluminium na Lead.Hizi zina haribu ubongo na kufanya mtoto kuwa degenerate.Sasa ukiniambia mtoto mwenye Autism ana IQ kubwa sikuelewi.Most likely huyo atakuwa na kitu kingine, na most likely ni demonic forces.
 
kuna mwamba mmoja na sie tulikuwa tunamuita google...na yeye alizingua darasani lakini yuko informed kupita maelezo
 
jamaa alichoandika yupo sahihi 100%. ila kuna sehem hajaweka sawa. autisim ziko mara mbili. kuna hyo anayosema mtu kuwa na akili moja mkimya nk. halafu kuna ile ya mazezeta kabisa. mi ninae mtoto ana hilo tatizo la autisim. akiwa mwaka na nusu anajua kusoma na kuandika kwa kuangalia Tv hakuna mtu alikuwa anajua. mpaka cku tunamkuta amejiandikia mwenyewe. aliongea vizur akiwa na miaka 6. ila darasan ni wakwanza mpaka leo. yupo darasa la 7. mkimya haongei na ana mambo yake mara nyingi. nilipata shida sana kumwelewa. nilijua ni Autism baada ya kumpeleka shule flan ya wazungu ndio wakaniambia. mi wa kwangu ni mdadis sana. aliwah kunivunjia tv akitafuta wanaoongea humo ndan. kwa ushaur wa wale wazungu nimefanikiwa kumlea kwa kujua namna ya kudance accodingly. sasa hv ukimuona hutajua kama ana hlo tatizo. anapenda sana hesabu na kiingereza. na moja ya vitu muhm walichoniambia wale walim wakizungu nikuwa. wana akili moja tu so mnunulie gitaa piano na laptop. na awe anaogelea. so kwenye masomo yake akichamganya somo la gitaa piano laptop na swiming utamgundua anachopendelea so ukimjua tu mpeleke huko huko. na ndicho kilichotokea kwa mwanangu. kitu kimoja muhm watu wanatakiwa kujua ni kuwa. kumlelea mtoto mmoja mwenye autism ni sawa na kulelea watoto wanne wazima. namshukuru Mungu amenisaidia jamaa kwa sasa yuko vizur mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…