Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
- Thread starter
- #221
Ahahaha!! Nitafurahi sana kujiona kijana..!Mbali sana kijana na kutag ujione
Don't worry! I'm waiting! [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha!! Nitafurahi sana kujiona kijana..!Mbali sana kijana na kutag ujione
Haita chukua dk kadhaa tuAhahaha!! Nitafurahi sana kujiona kijana..!
Don't worry! I'm waiting! [emoji23]
App ya JF hainiletei tag...copy and paste link hapa ili nije kabisa huko niwaone vijana wenzangu!Haita chukua dk kadhaa tu
Tafuta post "wanaume wanaopendwa JF" post ya DemissApp ya JF hainiletei tag...copy and paste link hapa ili nije kabisa huko niwaone vijana wenzangu!
Ahahaha!! Mkuu usinchekeshe! Wale wanawake baada ya kusikia nimepata mkopo wa Saccos basi wananiweka kwenye top list zao za kila kitu. Wananitengenezea mazingira ya kuninyoosha... (Kidding).Tafuta post "wanaume wanaopendwa JF" post ya Demiss
Mkuu hebu jaribu kumchagulia kundi kulingana na vile ulivyoelewa?Kwa maelezo yako Newton Sir atakua either kundi la pili au la kwanza na la pili.
Na hii ni very rare case ni sawa na mitambo mmoja unaitwa Leonardo Da'Vinci huu ulikuwa na taaluma kibao.Kundi la pili, sababu
1. Aliweza karibia kila somo.
2. Aliziandaa kazi za wengine na kuzifanya official
Ahahaha!! Kwani uongo mkuu!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti brother wa Forex watu mna maneno!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dk ShikaMifano ya watanzania waliopo kwenye kundi la kwanza tafadhali ambao kazi zao zimeacha alama kwenye taifa au kimataifa.
duh hata hili neno"umedadavua"lina sound kitapel sana hata wanasiasa wanalitumia sana.Umedadavua vyema na kuongeza kitu kwenye bongo yangu