stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,990
- 4,241
Watakuwepo tu sema ndo labda hawajulikani..Hivi Tanzania hakuna hata mtu mmoja aliewahi kutokea mwenye trait za genius?
Hivi hawa vipanga wanaoongozaga kwenye matokeo kitaifa(frm4,6 chuo)... huwa wanaishiaga wapi?
unakuta dogo kapasua mitihani kama katunga yeye.. Si ndo genious wenyewe hawa [emoji3][emoji3]