BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Hebu fikiria unaamka tu unakutana na hili balaa...
MDOGO WAKO:Kaka naomba 600,000/= Kwa ajili ya ada . Walisema nisipolipa hawatanipokea kabisa .
BABA MWENYE NYUMBA:Missed Calls 83 na Ujumbe: Leo nakupatia Nafasi ya Mwisho
BINTI WA JIRANI: Nafikiri Nina Ujauzito wako .
RAFIKI YAKO: Kaka ,fedha yangu lini unanipa? Ni mwisho wa mwezi Sasa ulioniahidi mara ya Mwisho.
WAZAZI: Tunakufa Kwa Njaa kijana wetu .
Hatuna chochote , Tusaidie .
MCHUMBA: Sawa tu,naona umeanza kunionyesha dharau kabla hata hatujaoana. Endelea tu na Hao Malaya wako. Usinitafute mimi. Pepo wewe!
EX: Ulinitumia tu ,Mbwa wewe. Utakufa Kifo kibaya sana.
M PESA:Unakumbushwa kulipa Mkopo wako wa SONGESHA kiasi Cha Tsh. 63200/=
TALA: Tunajua unapoishi , Wewe ni Mdaiwa sugu Sasa na tutakukamata tu.
MSHAHARA :Kiasi Cha Tsh. 87,000 kimewekwa kwenye akaunti Yako inayoishia 3214.
SONGESHA: kiasi Cha Tsh. 63200 kimekatwa kwenye akaunti yako ili kulipa mkopo wako. Salio lako ni Tsh. 23,800
GETINI: "Wapangaji ambao hawajalipa Hela ya ulinzi shirikishi na Takataka mnapewa siku 3, vinginevyo mtaitwa Ofisi za Serikali za Mtaa."
==================
Vaa hivi Viatu,
Mwanaume ,Utakuwaje Kawaida Hapa?
Bado kitaa nao wanakuzingua
MDOGO WAKO:Kaka naomba 600,000/= Kwa ajili ya ada . Walisema nisipolipa hawatanipokea kabisa .
BABA MWENYE NYUMBA:Missed Calls 83 na Ujumbe: Leo nakupatia Nafasi ya Mwisho
BINTI WA JIRANI: Nafikiri Nina Ujauzito wako .
RAFIKI YAKO: Kaka ,fedha yangu lini unanipa? Ni mwisho wa mwezi Sasa ulioniahidi mara ya Mwisho.
WAZAZI: Tunakufa Kwa Njaa kijana wetu .
Hatuna chochote , Tusaidie .
MCHUMBA: Sawa tu,naona umeanza kunionyesha dharau kabla hata hatujaoana. Endelea tu na Hao Malaya wako. Usinitafute mimi. Pepo wewe!
EX: Ulinitumia tu ,Mbwa wewe. Utakufa Kifo kibaya sana.
M PESA:Unakumbushwa kulipa Mkopo wako wa SONGESHA kiasi Cha Tsh. 63200/=
TALA: Tunajua unapoishi , Wewe ni Mdaiwa sugu Sasa na tutakukamata tu.
MSHAHARA :Kiasi Cha Tsh. 87,000 kimewekwa kwenye akaunti Yako inayoishia 3214.
SONGESHA: kiasi Cha Tsh. 63200 kimekatwa kwenye akaunti yako ili kulipa mkopo wako. Salio lako ni Tsh. 23,800
GETINI: "Wapangaji ambao hawajalipa Hela ya ulinzi shirikishi na Takataka mnapewa siku 3, vinginevyo mtaitwa Ofisi za Serikali za Mtaa."
==================
Vaa hivi Viatu,
Mwanaume ,Utakuwaje Kawaida Hapa?
Bado kitaa nao wanakuzingua