Hii ndio sababu ya baadhi ya wanafunzi wa Saint Francis na shule za seminari kupungua uwezo darasani wakienda shule nyingine form 5 ama chuo

Hiyo shule ni kutudhalilishia tuu watoto wetu..wakikosa intavyuu waonekane hawana akili..
Ila yote fainali chuoni...tunakutana vyuoni hakuna cha wa Feza au st francis au Kayumba yani hapo tunaaanza upyaaaaaa
Mwalimu wangu ...wa advance amewahi kusema kauli hii...WATOTO WA MASKIN NA MATAJIRI SEHEM YA KUKUTANA N CHUO KIKUU TUU!!...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…