matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wajapani pia russia waliokota makopo kila baada ya match world cup.
Au majini maafrika ndio korofi na weushi
Au majini maafrika ndio korofi na weushi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwa nini hao wachina viwandani nao wasiwe na mapepo maana ni sawa na jalala limehamishiwa kiwandani
TEMA MATE CHINI KAKAACome.to think of it.
Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.
Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.
Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.
Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?
Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.
Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.
Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.
Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.
So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.
Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
HESHIMU kazi za watu PESA nayopata MWISHO WA mwezi NAWEZA lisha KWENU na baba mkubwa na wanaeTEMA MATE CHINI KAKAA
NIMEAJIRI WATY WANNE NA NAWALIPA KWA WIKI KUPIMA LAZIM NIWEPO ASIKWAMBIE MTU UKICHAA UTABAKIA MTAANI KWENU
MAJUZI NIMEONGEZA NA WA CHUM KABISA
Uchafu wanaopendelea majini mabaya ni ule unaotoa harufu mbaya ya vitu vilivyooza sasa yale machupa yakisha okotwa mule majalalani na kupelekwa viwandani hayana harufu tenaKwa nini hao wachina viwandani nao wasiwe na mapepo maana ni sawa na jalala limehamishiwa kiwandani
Hahahaa[emoji1787][emoji1787]Mbona unaji quote mwenyewe mkuu au uwendawazimu ndo unaanza kukunyemelea taratibu?
ThankyuUchafu wanaopendelea majini mabaya ni ule unaotoa harufu mbaya ya vitu vilivyooza sasa yale machupa yakisha okotwa mule majalalani na kupelekwa viwandani hayana harufu tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Roho ni nini na unaweza kuthibitisha kwamba ipo?Come.to think of it.
Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.
Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.
Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.
Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?
Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.
Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.
Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.
Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.
So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.
Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
Ha ha huyo jamaa hua haeleweki mkuu, asubuhi ya leo kuna uzi ulikua unazungumzia mitungi ya gas ya kupikia majumbani aisee nilikua nacheka kila naposoma comment zake. Mwandiko wake hua unabadilika kulingana na muda ha ha haMbona unaji quote mwenyewe mkuu au uwendawazimu ndo unaanza kukunyemelea taratibu?
Atakuwa anaokota makopoHa ha huyo jamaa hua haeleweki mkuu, asubuhi ya leo kuna uzi ulikua unazungumzia mitungi ya gas ya kupikia majumbani aisee nilikua nacheka kila naposoma comment zake. Mwandiko wake hua unabadilika kulingana na muda ha ha ha
Sent using Jamii Forums mobile app