Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who is socrate to.me? Nimekuuliza swali how many senses do.u have?Obviously you have never heard of the Socratic method in your life.
Weka link ulipothibitisha Mungu yupo.
Thibitisha Mungu yupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
First things first, get the name right.Who is socrate to.me? Nimekuuliza swali how many senses do.u have?
So umebadilisha topic ?First things first, get the name right.
It is Socrates. Not Socrate.
What is sense? And how do you know sense if you are talking nonsense?
Sent using Jamii Forums mobile app
Topic ukiwekewa mbele ya pua yako utaiona? Utaijua?So umebadilisha topic ?
Uncle hoja zimekushinda sasa unaanza kuwanga? Unataka nikuthibitishie kama Mungu yupo nijibu Kwanza swali langu how many senses do u have ? How. Can I be sure if I am.not arguing with a nonsensical personTopic ukiwekewa mbele ya pua yako utaiona? Utaijua?
Thibitisha Mungu yupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalo nenoWengi wanaingia baada ya option zote kugoma so kutokana na msongo wa mawazo ni rahisi mental shock kutokea
Sent using Jamii Forums mobile app
We Babu Nzaramo acha hizo?Basi it's just a matter of time.
Basi
Honestly hapa umebwabwaja kama mwendawazimu. Ur still proving my pointWe Babu Nzaramo acha hizo?
Budege kajenga mtaa wa maana Bukoba vijini. ajili ya taka za Dar
ngoja wachaga wachangamkie fursa hiyo.
Unaendekeza vijini maskini, vichafu. Jini hasa ni msafi bana msikiege tu.
Hivyo vyako shetani kuzimu hataki kuvisikia? Haviendi siku hizi, Kakikuvaa na wewe kavae,kambie ukweli.
Wachina wanaililia sana hiyo kazi naona wamekutuma.ututishe.
Hakomi mtu hapa.
Hujiulizi anakupa huduma mbona hayo machupa ya jalalani unatumia kunywa?
Tena afadhali muokotaji.kuliko mtumiajj zimekojolewa na kaswende,syphilis, nyaa! bubos. Weee!
Huko kiwandani una uhakika na kazi yao! Tena bongo majalala?
Bamba na wanaume ni bamba.Honestly hapa umebwabwaja kama mwendawazimu. Ur still proving my point
Come.to think of it.
Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.
Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.
Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.
Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?
Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.
Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.
Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.
Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.
So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.
Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
Umeshasema tamasha kwahyo wale wanaosifiaga uwanja baada ya fiesta nao wao ni machizi?Kwahiyo Francis Cheka tumpe muda gani kabla hajawa mental kabisa?
Na mbona hizi mambo zinaapply hapa Tz (Kama ni kweli) wakati huko kwenye tamasha la Roskilde watu wanaokota chupa kama hawana akili nzuri na hakuna anayewehuka?
Umeshasema tamasha kwahyo wale wanaosifiaga uwanja baada ya fiesta nao wao ni machizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaHuwa nafikiria umuhimu wa waokota makopo, yaani wasingekuwepo, makopo yangekuwa mengi hadi ingetisha. Mtoa mada wewe hujielewi, nadhani waweza kuja lawitiwa kwa maisha unayoishi. Una maisha ya kudharau kazi za wengine kama wafagia vyoo na wachimba mitaro. Waokota makopo ni watu muhimu, afu wanapiga pesa nzuri isiyo na kodi, kazi yako ni kutembea tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Honestly hapa umebwabwaja kama mwendawazimu. Ur still proving my point
Mbona yule boxer toka morogoro aliwahi kutuambia kuwa katika kusaka maisha alikuwa anaokota chupa barabarani na mwisho akanunua mashine ya kusaga hizo chupa na hivyo kubadilisha kabisa muelekeo wa maisha yake.Come.to think of it.
Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.
Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.
Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.
Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?
Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.
Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.
Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.
Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.
So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.
Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.