Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji4]Mbona unaji quote mwenyewe mkuu au uwendawazimu ndo unaanza kukunyemelea taratibu?
Mbona unaji quote mwenyewe mkuu au uwendawazimu ndo unaanza kukunyemelea taratibu?
Weka link ulipothibitisha yupo.Mungu yupo Acha utoto wewe. Only kids demands childish things like you do
Majalalani si mahali salama, Ni makazi ya mapepo wabaya,majini na wachawi, hivyo wengi huingiwa na wachache hunusurika, Kama Ni makopo ni Bora uokote ukumbini na majumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuuMajalalani ni mahali salama, Ni makazi ya mapepo wabaya,majini na wachawi, hivyo wengi huingiwa na wachache hunusurika, Kama Ni makopo ni Bora uokote ukumbini na majumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka link ulipothibitisha Mungu yupo.Wewe NI kichaa mwendawazimu ila aliye fanikiwa kujaza upuuzi wake kwenye kichwa chako yeye sio kichaa. He knows what he is doing. He is smart
Umekubali kwamba wewe muongo?Mungu hathibitishwi Kwa link we Jamaa.
What is "sense"?How many senses do you have ?
Instead of answering the question, Ur talking about the question. What's up?What is "sense"?
And how do I know you know what "sense" is, if you keep on talking nonsense?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lile Lori lao la uchafu likikatiza mtaani ile harufu yake ni balaa watu wanaziba pua lakini wao wanakula chakula mule mule!Inaweza ikawa na ukweli maana hata wale wazoa taka pia wanakua km wendawazimu hawanaga maisha mazuri mtaani hawaeleweki leo nimegundua taka/majalala ni sehemu mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu hathibitishwi Kwa link we Jamaa.