Tetesi: Hii ndio sababu ya kiroho kwanini watu wanaookota chupa za plastiki wengi huwa wanaishia kuwa wendawazimu

Tetesi: Hii ndio sababu ya kiroho kwanini watu wanaookota chupa za plastiki wengi huwa wanaishia kuwa wendawazimu

Tokea zamani mtu akiwa haeleweki unaambiwa utaanza kuokota makopo muda si mrefu, wakimaanisha utakua kichaa.
Hiyo ni kabla ya biashara ya kuuza makopo/ chupa kushamiri.

Kwa mtazamo wangu, mtu kufikia kuifanya hii biashara, inamaana tayari kuna tatizo kichwani na kuendelea kuifanya hiyo kazi kunazidi kumfanya kuwa duni kifikra na kisaikolojia, lazima awe mwendawazimu.
Hakuna cha kiroho wala madhabahu hapo.

Inamaana huyo mtu hapo ndio uwezo wake wa mwisho na wa hali ya juu kabisa kufikiria.

Niliwahi kupewa kazi njia ya kuelekea airport kuna kituo kinaitwa karakana kama sio mchicha.

Kampuni ilikua vizuri lakini mazingira yake ya kihindi na maeneo ya chakula kuwa ya shida (sehem nyingi kule ni site za wajenzi) wali nyama 2000/- nilitumikia mwezi mmoja tu nikaacha licha ya kwamba sikuwa na kazi yeyote wakati huo. Nilijiambia tu kwamba kwa akili niliyonayo na uwezo wangu nawezakufanya vizuri zaidi ya hapa.

Chunga sana mawazo na akili yako, unachokipokea na kukikubali akilini ndicho kinachotokea.
 
Come.to think of it.

Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.


Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.

Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.

Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?

Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.


Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.


Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.

Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.

So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.

Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.

steji kuokota makopo kuwa maisha yako yamefika katika kufikiri au kukosa pakushikwa mwisho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kiukweli ni biashara ya kiwango duni sana na mpaka mtu anaanza kuokota makopo kama kazi si bure kuna nut haziko sawa kulinganana aina ya kazi yenyewe
umenena mkuu, yaani kwa mtu anayefanya ujasiliamali huo ni mtu aliyekata tamaa ya maisha kabisa.
So nakubaliana na mzee wa researches za kichawi mkuu LIKUD
 
Miaka ya nyuma kidogo kuokota makopo ilikuwa ni matokeo ya laana [ukichaa], na ni vichaa pekee waliokuwa wakiokota makopo na kuzunguka nayo [noncommercial]... siku zikasonga mara ikawa biashara ya kujipatia kipato kuendesha maisha [lengo ni ku-recycle].

Kwa asili ya kazi hii kuwa ni ukichaa, bado inaendeshwa katika namna ile ile ya ukichaa.... kwamba ili mtu ‘timamu’ aokote hayo makopo ni lazima ajitie ukichaa kuanzia mavazi na hata mwendo.

Angalizo:
Soon atatokea mmoja wao hapa na kuhoji ‘ukichaa’ ni nini na kuhitaji uthibitisho, haya ni maoni yangu tu na wala sitohusika kuthibitisha.... usiku utapokwisha.
 
Sio kweli, ukichaa wao hautokani na maswala ya kiroho. Ukweli ni kwamba asilimia kubwa wanakuwa wanatumia madawa ya kulevya, pia wanastress.

Yale madawa ndio huwasaidia kusahau stress zao kwa muda mfupi. Kadri siku zinavyokwenda, afya inazorota kutokana na kutopata mlo kamili plus madawa.

Inapofikia hatua ya kushindwa kupata hela ya kutosha kete, hapo stress huongezeka mara mbili.

So madawa na msongo wa mawazo ndio chanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga mtupu!

Kwahiyo muda huu nikianza kuokota makopo ili nikayauze nitageuka kuwa kichaa?

Au kwa kuwa wanaonekana wachafu wachafu ndio ukahitimisha kwamba wamerukwa na akili?
 
Come.to think of it.

Asilimia kubwa ya watu wanao jiingiza katika ujasiriamali WA kukusanya makopo na chupa za plastiki na kisha kwenda kuziuza viwandani huwa wanaishia kuwa wehu kabisa na kuanza kuokota makopo Ile ya kiuwehu wehu kabisa.


Binafsi nimewashuhudia watu wengi Tu ambao walijiingiza kwenye ujasiriamali huu na sasa hivi wamekuwa wendawazimu kabisa.

Mpaka ilifika kipindi nikaanza kuamini kuwa huenda hawa watu wakawa wanarogezewa Uchawi na wanapo Anza KAZI ya kuokota makopo basi Uchawi ndo unakuwa umewaingia na mwisho wa siku huo Uchawi Una graduate na mhusika kuwehuka kabisa.

Sababu za kiroho kwanini watu hawa huishia kuwa wehu?

Kwa sababu wanakanyaga majalalani na kuchukua vitu vya majalalani mara nyingi Sana Kwa siku.


Kwa wastani muokota makopo anaweza kutembelea kwenye majalala 70 mpaka 100 Kwa siku ambako mbali na kukanyaga kwenye majalala hayo huchukua vitu vilivyo tupwa kwenye majalala hayo.


Majalala NI makaazi ya MAJINI WA kisheitwani ambao mbali na kusababishia matatizo mengine kama.vile nuksi nakadhalika lakini Pia ndio MAJINI wanao husika na kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu.

Nadhani ndio maana uchafu huwa unahusishwa na uwendawazimu.

So hawa jamaa hukumbana na MAJINI WA jalalani ambao huwaingia na kuwafanya kuwa wendawazimu.

Katika.ulimwengu WA Wachawi, majalala.ni.madhabahu yenye nguvu kubwa Sana Kwa habari ya kuwasababishia watu maradhi ya uwendazimu au kuwashusha nyota watu maana MTU aliye tiwa maradhi ya uwendazimu huyo.nyota yake.imeshushwa. Hawezi kuheshimika.wala.kuaminiwa na yoyote. Kama NI mfanyabiashara basi.biashara ndio imekufa hivyo.
Kweli kuna jamaa naye alikuwa fresh alivyoaanza kuokota makopo baada ya muda akawa kama chizi hivi.
 
Anaokota ndiyo.

Alivyompiga yule kinyozi wa Marekani watu wakadai mmarekani mwenyewe mchovu kumbe kinyozi hoja ikaja sasa mbona Cheka muokota makopo.

Usiniambie hujui chief!?
Cheka anawalipa watu wamuokotee makopo ila yeye hajawahi kuokota makopo kwenye viroba.
 
Back
Top Bottom