FabNXTzqEtcgazfbjjfo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,486
- 1,874
- Thread starter
-
- #41
Kwa Kujua Ukweli wa Mungu mwenye Vyote. Kupata Elimu ya Ki utu na Kibinadamu na Kufuata Mambo waliyofanya Wazee wetu kabla ya Kuletewa dini hiziSawa.uponyaji genuine unakujaje
Mawazo yangu kuwa Tofauti na Yako haimaanishi wewe usitumie Akili timamu Kujua Ukweli au Uongo.
Sijataka Uamini nimetaka wewe utumie Akili Timamu kujua Mambo kuamini na Kutoamini si Jukumu langu hilo ni Lako mwenyewe. Hata Hizo dini mlizoletewa Ziliwakuta Mna Imani Zenu ila Mkazipuuza Mkaamini Hizo na Mpaka leo mnazitetea bila Kujua Ukweli
Ana Umbo gani na Amevaa nini Mpaka Ukasema amependeza ndugu yangu
Huenda hivyo vitu ndio wanaamini ni mungu mwenyeweAkili ikipagawa unaweza Sema Chochote. Waulize hata Zile lugha wanazonena Huwa Wanaongea nini hawawezi kukujibu
Manaa wanakuwa wamepandwa na Vitu wasivyovijua
I believe in God,nimemuona in so many ways, even kwenye situations nilizoona kwa akili yangu sitoboi nikamuomba yeye akanijibu tena kwa upesi
Naamini katika universe and it’s nature pia na napeta tu[emoji4][emoji4][emoji4]
Kama Anaweza Vaa Vazi Jeupe anatofauti gani na Wewe mwanadamu. Kwahiyo Mungu wako ana Mwili unaoweza Kuvaa Vazi jeupe! Ndugu yanguAmevaa mavazi meupeee anapendeza kwelikweli
Kwa Maana Ni Viumbe wasivyovijua Na Ndivyo vinavyowatawala. Wakinena kwa Lugha wanahisi ni Roho Mtakatifu. Sasa Inakuwaje Wanaongea vitu ambavyo hata wao ukiwauliza hawajui wanachosema
Unamjua huyo Shetani Ndugu yangu! Au unamtaja tu Kiumbe usiyemjuaAndiko la kishetani tu
Kuna watu wanasema Wamemuona Mungu.Mungu ni roho sio mwili.. Ulipo yupo..Mungu ni nishati hai haionekani Lakini IPO..! Na inafanya kazi.. Bila yeye huwezi kunyanyua hata kope yako
Ndio Hayupo nasi Tunapoishi hapa Duniani. Yeye hakai na Viumbe wakeMWENYEZI MUNGU HAONEKANI SABABU HAYUPO.
Sijaona sababu kwanini Mungu haonekani kwenye bandiko lako.Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake
Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake
Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake
Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.
Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.
Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.
Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo
ASANTENI
Wewe unaamini nini ndugu yangu. Maana zangu ni Porojo je wewe Unaamini niniSijaona sababu kwanini Mungu haonekani kwenye bandiko lako.
Ulichokielezea hapa ni ufahamu wako tu,sio absolute truth,ni porojo tu.kila mtu ana porojo zake,huwezi kuthibitisha Mungu anaongea na watu au la.
Atakaaje na hayupo. Hakuna kitu kinaitwa mungu ni dhana.Ndio Hayupo nasi Tunapoishi hapa Duniani. Yeye hakai na Viumbe wake
Hawezi kukaa na Wewe maana yeye ameumba Viumbe wengi hawezi kukaa na Wewe Binadamu wakati anaviumbe wengi.Atakaaje na hayupo. Hakuna kitu kinaitwa mungu ni dhana.
Katika mazingira gani?Kuna watu wanasema Wamemuona Mungu.
Usipojua Huna Hatia.Wenzako wenye akili timamu kama Kiranga hawaamini kama MUNGU yupo so ayo mambo ya kuamini habari za MUNGU aliyefanyika mwanadamu (KRISTO YESU);tuachieni sisi wajinga tumuamini aliye ufufuo na uzima[emoji817][emoji173][emoji120][emoji871]
Hamna vyumba kwanguHawezi kukaa na Wewe maana yeye ameumba Viumbe wengi hawezi kukaa na Wewe Binadamu wakati anaviumbe wengi.
Ndio Maana Unasema HAYUPO