Hii ndio Sababu ya Mungu Kutoonekana


I believe in God, nimemuona in so many ways, even kwenye situations nilizoona kwa akili yangu sitoboi nikamuomba yeye akanijibu tena kwa upesi

Naamini katika universe and it’s nature pia na napeta tu[emoji4][emoji4][emoji4]
 
I believe in God,nimemuona in so many ways, even kwenye situations nilizoona kwa akili yangu sitoboi nikamuomba yeye akanijibu tena kwa upesi

Unaweza Kusema Ni jinsi Gani Akili yako ilishindwa Kutatua Ila Mungu ndio akakutatulia Swala lako! Yaani wewe ulikaa pembeni ila Mungu akaja akakufanyia Jambo lako.

Ndugu yangu Mungu amekupatia Akili Timamu Ukiitumia vizuri inatatua tatizo lolote lile. Na kumbuka Binadamu tumeumbwa kusaidiana Sisi kwa Sisi. Mfano Riziki zinatoka kwetu sisi Binadamu Mana Ukimuomba Binadamu mwenzako pesa/maji/chakula n.k atakupatia mana Mungu ametuumba Tusaidiane sisi kwa Sisi

Sasa Isije ikatokea umefanya kazi ukalipwa mshahara mnono ukasema Mungu Amenipa Riziki. Wakati Usingefanya hiyo kazi Mungu Asingekupa Mshahara kumbuka Aliyekupa Mshahara ni Binadamu mwenzako na Anaweza Kukunyima Pia




Naamini katika universe and it’s nature pia na napeta tu[emoji4][emoji4][emoji4]

Uumbaji wa Mungu umemuumba Binadamu kuishi na Baadae azeeke afe. Hata Washenzi wanapeta Kuliko Wewe. Waovu na Wabaya wanapeta kuliko wewe maana Mungu keshaumba Hivyo

Tunatofautiana Kumtiii Mungu tu. Kwingineko wote tunamtegemea Mungu. Wabaya na Wazuri na Wacha Mungu wote tunamtegemea Mungu
 
Amevaa mavazi meupeee anapendeza kwelikweli
Kama Anaweza Vaa Vazi Jeupe anatofauti gani na Wewe mwanadamu. Kwahiyo Mungu wako ana Mwili unaoweza Kuvaa Vazi jeupe! Ndugu yangu

Halafu mnaimba Hakuna Wa Kufanana naye[emoji445][emoji445]

Halafu katika vitabu unavyoamini imeandikwa hakuna Aliyemuona Mungu akaishi. Sasa Inakuwaje wewe umemuona na Mavazi meupe amevaa bado upo JF ndugu yangu mbona Hatutumii akili timamu Tu
 
Huenda hivyo vitu ndio wanaamini ni mungu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Maana Ni Viumbe wasivyovijua Na Ndivyo vinavyowatawala. Wakinena kwa Lugha wanahisi ni Roho Mtakatifu. Sasa Inakuwaje Wanaongea vitu ambavyo hata wao ukiwauliza hawajui wanachosema

Na anayesikia (wewe au mimi ) hatuelewi wanachoongea nini maana ya Kunena sasa kama Huwezi Elewa
 
Mungu ni roho sio mwili.. Ulipo yupo..Mungu ni nishati hai haionekani Lakini IPO..! Na inafanya kazi.. Bila yeye huwezi kunyanyua hata kope yako
 
Sijaona sababu kwanini Mungu haonekani kwenye bandiko lako.
Ulichokielezea hapa ni ufahamu wako tu,sio absolute truth,ni porojo tu.kila mtu ana porojo zake,huwezi kuthibitisha Mungu anaongea na watu au la.
 
Sijaona sababu kwanini Mungu haonekani kwenye bandiko lako.
Ulichokielezea hapa ni ufahamu wako tu,sio absolute truth,ni porojo tu.kila mtu ana porojo zake,huwezi kuthibitisha Mungu anaongea na watu au la.
Wewe unaamini nini ndugu yangu. Maana zangu ni Porojo je wewe Unaamini nini

Maana Absolute Truth unao. Hebu niambie wewe Mungu anaonekanaje
 
Wenzako wenye akili timamu kama Kiranga hawaamini kama MUNGU yupo so ayo mambo ya kuamini habari za MUNGU aliyefanyika mwanadamu (KRISTO YESU);tuachieni sisi wajinga tumuamini aliye ufufuo na uzima💯❤🙏✍
 
Wenzako wenye akili timamu kama Kiranga hawaamini kama MUNGU yupo so ayo mambo ya kuamini habari za MUNGU aliyefanyika mwanadamu (KRISTO YESU);tuachieni sisi wajinga tumuamini aliye ufufuo na uzima[emoji817][emoji173][emoji120][emoji871]
Usipojua Huna Hatia.

Unaamini alikufa kwa Dhambi zako pale msalabani. Je hizi dhambi unazofanya Sasa Hivi ni za Nani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…