Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kujitokeza kwa 100% kwa Wanachama wa Chadema kuchukua fomu za kugombea Uenyekiti wa serikali za Mitaa, Kumewaduwaza Viongozi wa CCM kiasi cha kuanza kupanga njama zile zile za kishamba zilizotumiwa na Dikteta Magufuli 2019 na kusababisha laana inayotafuna Nchi hadi leo.
Kwa mfano Mtiti huu wa Chadema Jimbo la Mbarali Haukutarajiwa na wengi, Kwa vile ilidhaniwa kwamba Utekaji na Mauaji waliyofanyiwa viongozi wa Chadema labda ungewaogopesha Wanachama wake kuchukua fomu
Wanaccm Wengi kutokana na uchache wa Ubongo, vichwani mwao, hawakuelewa ile Kampeni ya Chadema ya Watake Wasitake, Kampeni ile ililenga kutahadharisha kwamba Chadema isingeweka mpira kwapani hata iweje, Yaani Afe beki au Afe kipa.
Kwa mfano Mtiti huu wa Chadema Jimbo la Mbarali Haukutarajiwa na wengi, Kwa vile ilidhaniwa kwamba Utekaji na Mauaji waliyofanyiwa viongozi wa Chadema labda ungewaogopesha Wanachama wake kuchukua fomu
Wanaccm Wengi kutokana na uchache wa Ubongo, vichwani mwao, hawakuelewa ile Kampeni ya Chadema ya Watake Wasitake, Kampeni ile ililenga kutahadharisha kwamba Chadema isingeweka mpira kwapani hata iweje, Yaani Afe beki au Afe kipa.