Watasingizia wameibiwa kura as always.HIzo kura watapigiwa na nani nanyi hamkujiandikisha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasingizia wameibiwa kura as always.HIzo kura watapigiwa na nani nanyi hamkujiandikisha!
Kula??Huyu nae kasoma?Mie nimeshinda leo.Nitaleta tu idadi ya kula.CHADEMA
At least wewe unajua ukweli ingawa unajaribu kutafuta visingizio kijanja.Ishara nzuri hii, kama maeneo mengi nchini mwamko huu upo. Lakini tusisahau, hii ni ngwe ya kwanza tu, na huko kupotea kwa wenye ofisi ni hatua ndogo tu. Bado kuna pesa za Abdul zitamwagika kila mahali kuwanunua hao hao wanaorudisha fomu leo!
Na bado pikipiki kila kata hazijaanza kazi!
Hakika "Hii ni Vita".
Maajabu ni kuwa wewe hata "visingizio" hutafuti, sasa hapo sijui tueleweje!At least wewe unajua ukweli ingawa unajaribu kutafuta visingizio kijanja.
😆😆😆😆Maajabu ni kuwa wewe hata "visingizio" hutafuti, sasa hapo sijui tueleweje!
Nitafute visingizio wakati nina uhakika wa kushinda?.Visingizio huwa vinatafutwa na losers.Maajabu ni kuwa wewe hata "visingizio" hutafuti, sasa hapo sijui tueleweje!
Hakika hiyo ndiyo kete yao ya mwisho!Watasingizia wameibiwa kura as always.
Magufuli alichofanya 2019 na 2020 siyo wizi wa kura bali alivuruga uchaguzi kabisa alifnya ushenzi mkubwa mnoMbona kipindi Cha slaa mlisema kikwete alishindwa na akaiba kura?. Leo hii unasema JPM ndo chanzo? Siasa siwezi kuielewa Hadi kesho na kesho.
Aliyekuambia hawakujiandikisha amekudanganya. Huu uhuni wa kukimbia ofisi ni baada ya kupima na kujua kuwa kwa hali ilivyo njia pekee ya kujinasua ni kuwanyima wagombea wa Chadema haki ya kuchaguliwa.HIzo kura watapigiwa na nani nanyi hamkujiandikisha!
Una "uhakika wa kushinda"; hicho ndio "kisingizio" kama hujui.Nitafute visingizio wakati nina uhakika wa kushinda?.Visingizio huwa vinatafutwa na losers.