LGE2024 Hii ndio Sababu ya Watendaji kukimbia Ofisi ili kuihujumu Chadema, Hata hivyo watashindwa

LGE2024 Hii ndio Sababu ya Watendaji kukimbia Ofisi ili kuihujumu Chadema, Hata hivyo watashindwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ishara nzuri hii, kama maeneo mengi nchini mwamko huu upo. Lakini tusisahau, hii ni ngwe ya kwanza tu, na huko kupotea kwa wenye ofisi ni hatua ndogo tu. Bado kuna pesa za Abdul zitamwagika kila mahali kuwanunua hao hao wanaorudisha fomu leo!
Na bado pikipiki kila kata hazijaanza kazi!
Hakika "Hii ni Vita".
At least wewe unajua ukweli ingawa unajaribu kutafuta visingizio kijanja.
 
Maajabu ni kuwa wewe hata "visingizio" hutafuti, sasa hapo sijui tueleweje!
Nitafute visingizio wakati nina uhakika wa kushinda?.Visingizio huwa vinatafutwa na losers.
 
HIzo kura watapigiwa na nani nanyi hamkujiandikisha!
Aliyekuambia hawakujiandikisha amekudanganya. Huu uhuni wa kukimbia ofisi ni baada ya kupima na kujua kuwa kwa hali ilivyo njia pekee ya kujinasua ni kuwanyima wagombea wa Chadema haki ya kuchaguliwa.
 
Nitafute visingizio wakati nina uhakika wa kushinda?.Visingizio huwa vinatafutwa na losers.
Una "uhakika wa kushinda"; hicho ndio "kisingizio" kama hujui.

Unafanya ujambazi halafu unageuka na kujitangaza umeshinda! Ujambazi mahali popote una mwisho wake; huu wa kwenu kikomo chake kimewadia sasa.
 
Back
Top Bottom