Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Unalewa ukiwa Kichochoro gani?Mtaani kwetu hatufanyi hata kampeni Viongozi aliotuachia Shujaa Magufuli 2019 bado Wanatosha tumewapa 5 Tena 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalewa ukiwa Kichochoro gani?Mtaani kwetu hatufanyi hata kampeni Viongozi aliotuachia Shujaa Magufuli 2019 bado Wanatosha tumewapa 5 Tena 😂😂
Alikuambia?Ameagiza Huku Mjini mpambane msikubali kuonewa 😀
Machame Vijijini 😂😂🔥Unalewa ukiwa Kichochoro gani?
Agizo kutoka Machame VijijiniAlikuambia?
SIJUI HATA MNAHANGAIKA NA NINI WAKATI MNAJUA KABISA HAMTASHINDA YAANI HAPO KAMA MNAFANYA MAIGIZO TUKujitokeza kwa 100% kwa Wanachama wa Chadema kuchukua fomu za kugombea Uenyekiti wa serikali za Mitaa, Kumewaduwaza Viongozi wa CCM kiasi cha kuanza kupanga njama zile zile za kishamba zilizotumiwa na Dikteta Magufuli 2019 na kusababisha laana inayotafuna Nchi hadi leo.
Kwa mfano Mtiti huu wa Chadema Jimbo la Mbarali Haukutarajiwa na wengi, Kwa vile ilidhaniwa kwamba Utekaji na Mauaji waliyofanyiwa viongozi wa Chadema labda ungewaogopesha Wanachama wake kuchukua fomu
View attachment 3139761View attachment 3139764View attachment 3139765
Wanaccm Wengi kutokana na uchache wa Ubongo, vichwani mwao, hawakuelewa ile Kampeni ya Chadema ya Watake Wasitake, Kampeni ile ililenga kutahadharisha kwamba Chadema isingeweka mpira kwapani hata iweje, Yaani Afe beki au Afe kipa.
View attachment 3139769
Unaipenda sana Machame haikauki mdomoni kwako, hamia huko.Agizo kutoka Machame Vijijini
Wajinga wengi wanawaza kama weweSIJUI HATA MNAHANGAIKA NA NINI WAKATI MNAJUA KABISA HAMTASHINDA YAANI HAPO KAMA MNAFANYA MAIGIZO TU
Nilifika huko na Mzee Kambona aliporudi nchini kwa Uchaguzi wa Vyama vingi 1995 😀Unaipenda sana Machame haikauki mdomoni kwako, hamia huko.
Ishara nzuri hii, kama maeneo mengi nchini mwamko huu upo. Lakini tusisahau, hii ni ngwe ya kwanza tu, na huko kupotea kwa wenye ofisi ni hatua ndogo tu. Bado kuna pesa za Abdul zitamwagika kila mahali kuwanunua hao hao wanaorudisha fomu leo!Kwa mfano Mtiti huu wa Chadema Jimbo la Mbarali Haukutarajiwa na wengi, Kwa vile ilidhaniwa kwamba Utekaji na Mauaji waliyofanyiwa viongozi wa Chadema labda ungewaogopesha Wanachama wake kuchukua fomu
Kumbe Abdul ana hela za kununua kila Mtanganyika! Astaghafillulah!Ishara nzuri hii, kama maeneo mengi nchini mwamko huu upo. Lakini tusisahau, hii ni ngwe ya kwanza tu, na huko kupotea kwa wenye ofisi ni hatua ndogo tu. Bado kuna pesa za Abdul zitamwagika kila mahali kuwanunua hao hao wanaorudisha fomu leo!
Na bado pikipiki kila kata hazijaanza kazi!
Hakika "Hii ni Vita".
Kwenye geti la chuo kikuu Cha Cape Town nchini Africa kusini kuna maandish yasemayo"Hakuna kitu
Usifanye masihara mkuu 'Erythro'. Hapa watu kufikia kutoa roho za watu na kudai 'kifo ni kifo tu", usifikiri kuna utani hapo!Kumbe Abdul ana hela za kununua kila Mtanganyika! Astaghafillulah!
Kuna baadhi ya maeneo unaweza kumwita shujaa lakini kwenye uchaguzi wa 2020 mamamake alifanya upumbavu mwingi sana!Mwacheni Shujaa Magufuli apumzike 🐼
Mbona kipindi Cha slaa mlisema kikwete alishindwa na akaiba kura?. Leo hii unasema JPM ndo chanzo? Siasa siwezi kuielewa Hadi kesho na kesho.Huyo ndiye chanzo cha hujuma za uchaguzi na wizi wa kura!
Ndiyo maana na sisi tunaongozwa na failureKwenye geti la chuo kikuu Cha Cape Town nchini Africa kusini kuna maandish yasemayo"
"Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. "Ruhusu mbumbumbu waonekane wamefaulu na wasonge mbele.
Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakisha hitimu.
Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotea mikononi mwa mahakimu.
#Kuchezea Elimu Ni Kuangamiza Taifa. ......✍️
Utaelewa tu polepoleMbona kipindi Cha slaa mlisema kikwete alishindwa na akaiba kura?. Leo hii unasema JPM ndo chanzo? Siasa siwezi kuielewa Hadi kesho na kesho.
Atavuna alichopandaItachukua Karne nyingi Sana Magufuli kupimzika Kwa amani.