LGE2024 Hii ndio Sababu ya Watendaji kukimbia Ofisi ili kuihujumu Chadema, Hata hivyo watashindwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sasa kama bado mnazidiwa na Mbinu za marehemu mtamuweza Mchengerwa kweli! πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Uzuri chaema hakuna Darasa la Saba kugombea
 
Mie nimeshinda leo.Nitaleta tu idadi ya kula.CHADEMA
 
Magufuli kafa lakini mnaogopa kanuni zake hadi Leo sasa nyie ni Chama Cha Siasa au kikundi Cha Wahuni tu?! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mtafuteni Komredi Kinana aliahidi kuwasaidia
Tatizo mnatumia majeshi na silaha za kivita kupambana na Chadema, Chadema haipambani na CCM bali inapambana na Dola sasa kama hilo hulioni basi una shida.
 
Tatizo mnatumia majeshi na silaha za kivita kupambana na Chadema, Chadema haipambani na CCM bali inapambana na Dola sasa kama hilo hulioni basi huna akili.
Chadema IPI inayopambana na Dola?

Ni CUF pekee Ndio walijaribu Kupambana na Dola Siyo nyie mliozidiwa hadi na Nicole pale Magomeni mapipa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…