Hii ndio silaha kuu ya Hamas (Magaidi wa Palestina) inayowaumiza vichwa Israel

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Silaha kuu wanayotumia Magaidi wa Palestina (HAMAS) ni raia wema na makazi yao, Ni ngumu sana kupigana na mtu anaetumia maisha ya raia wema kama ngao.

Pale Israel napopanga shambulizi huwa inatumia rasilimali nyingi, muda mwingi na maandalizi ya umakini ili kupunguza maafa kwa raia wema pindi inaposhambulia magaidi, silaha, miundombinu ya magaidi, n.k Magaidi wa Palestina (HAMAS) huhatarisha maisha ya raia wao kwa kuwafanya ngao hukuIsrael ikitumia rasilimali nyingi sana kufanya mashambulizi huku ikilinda raia wa Gaza.


1. makombora yanayorushwa kwenda Israel yapo ndani ya makazi ya raia wma, Jeshi la israel inabidi lishambulie hayo maeneo kwa lengo la kuteketeza silaha hizo ili kunusuru maisha ya wananchi wake. zifuatazo ni picha zilizonaswa kutoka angani siku ya jana zikionesha silaha zinazotupa makombora zikiwa katika makazi ya raia wema





- Maghorofa na majengo makubwa hutuika kama kama ofisi za Kupanga mikakati ya kigaidi, kutunza rasilimali za ki intelejensia kufanya ugaidi, kutunza mtambo ya mawasiliano baina ya magaidi, n.k Magaidi hutumia majengo ya mashirika makubwa kama lile lililolipuliwa juzi ambalo lilikuwa ni ofisi nyingi sana ikiwemo Al jazeera,

hii yote ni kwasababu jengo lilikuwa na raia wema wengi ambao hawakujua wanaishi na magaidi, Jengo lililipuliwa baada ya lisaa moja la onyo ili kunusuru maisha, ukiangalia hii video unaona kwamba ni jngo moja tu lilipuliwa kwa hesabu za hli ya juu sana ila kudhuru majengo mengie

Your browser is not able to display this video.



- Magaidi wa Palestina (HAMAS) wana miundo mbinu ya mahandaki mengi sana Gaza inayotumika kufichia silaha, kusafirisha silaha, kuingia Israel na kuteka raia, n.k -- Mashambulizi yaliyofanyika juzi yalikuwa na dhumuni la kuharibu hii miundo mbinu, Ni kawaida kukuta handaki la silaha lipo chini ya shule ya watoto na misikiti.



- Zaidi ya makombora 300 yanayorushwa na Magaidi wa Palestina (HAMAS) yalipata hitilafu yakiwa bado ndani ya eneo la Gaza, hali hii imegharimu maisha ya raia wema wa Palestina na kusababisha ukosefu wa umeme baadhi ya maeneo.
 
Unahadithia kama vile uko eneo la tukio.

Israel magaidi pia mpaka wamevunja mkataba wa kimataifa kwa kushambulia jengo la Aljazeera na vyombo vingine.
 
Unatumia kigeza gani kusema huyu gaidi au huyu sio?

We ita tu wa Israeli na wapalestina inatosha. Usituchagulie upande sisi wasomaji, hata sisi tunafuatisha yanayotokea huko ujue na ndani ya vichwa vyetu tunajua kinachoendelea
 
Kwanza naomba tuelewane kwamba Israel anatuliza ghasia huku Magaidi wa Palestina wanapigana vita...
Hawa raia nao wanakumbatia hawa wapiganaji, wakilipuliwa wanasema ni raia. Hawa Hamas hawana ofisi maalum, wapo katikati ya raia, hawana hata uniform, hivyo hata wakipigwa Al Jazeera wanakimbilia kusema ni raia wema.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Aisee wee jamaa ni muongo period daaah jamaa muongo sana pls punguza uongo ndugu utakuwa huendi mbinguni
 
Unahadithia kama vile uko eneo la tukio.
Israel magaidi pia mpaka wamevunja mkataba wa kimataifa kwa kushambulia jengo la Aljazeera na vyombo vingine.
Ukijificha msikitini kwa uhalifu wako unasababisha Polisi aingie na Boot
 
There is an old joke about Israel.

An Israeli, an American and a Russian were having a drink in a bar.

Suddenly, a terrorist walks in and threatens to kill all of them but grants then one last request each.

The American uses his last request to order his last meal. The Russian used his last request to have time to write a letter to his wife.

When it came to the Israeli's turn, he requested that the terrorist kick him in the ass.

The terrorist was confused at first, but then realized the Israeli must've been mocking him, so the terrorist in anger fulfilled the Israeli's request and kicked him from behind.

The Israeli went sprawling, but rolled to his knees, pulled a 9mm pistol from under his jacket and shot the terrorist dead.

The American and Russian were both confused and asked, “why didn't you just shoot him in the first place? Why did you ask him to kick you?”

The Israeli shrugged and said, “if I had, the news would've been biased against me. This way at least no one can say I was the aggressor".
 
"Akutukanae hakuchagulii tusi"
Nimemaliza
 
Hamas waangamizwe wote wanawasababishia taabu nyingi Wapalestina wa Gaza
 
Hata MANDELA aliitwa GAIDI na mataifa ya magharibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…