Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 216
duuuuuuuuuuuuuu teh teh.......................Hahahaa........hatuna Polisi bana
sawa kabisa Mpwa wangu na ndio maana nasema hivi, it will make sense kama watajitegemea na hata waziri wa ulinzi awe na mipaka yake maana siamini kama uhai wetu una uhusiano na siasatatizo polisi wapo chini ya serikali kuu cyo tasisi inayojitegemea so hata uteuzi wa viongozi wa jeshi upo chini ya serikali kuu so jeshi la polisi halina maamuzi yake linapata maelekezo toka serikalini
sawa kabisa Mpwa wangu na ndio maana nasema hivi, it will make sense kama watajitegemea na hata waziri wa ulinzi awe na mipaka yake maana siamini kama uhai wetu una uhusiano na siasa
Ni kweli kabisa na haya ndio mawazo ambayo ni vyema yakawekwa kwenye nyakati hizi ngumu ambapo Taifa linapitia changamoto ngumu sana za kimaadali, kiutawala na kimaonoyap safi kabisa hivi vitu wivili kama Mahakama na polisi Lazima vijitegemee hapo ndo tutasema Tanzania kuna BaLance of power
Duh, hapa nimeweka break Mpwa but kuliacha liendeleee hivi lilivyo ni sahihi kweli?
Mpwa wangu Mentor, kuna vitu ambavyo vinahitaji utulivu tu na maamuzi ya busara, tunaweza au ninaweza kuli-shape taratibu na kimya kimya hadi siku moja kila mtu akalifurahia, sio uchawi. Ni kuamua tu siku moja kuwafumbia macho na masikio hao wakubwa. Kwa mfano tukisema na tukaamua kuwa IGP iwe ni post ya kutangazwa na kusailiwa huoni tutakua na mwanzo mzuri, then tunashuka hadi kwa ma-RPC kuwa wawe promoted si kwa vigezo vya undugu, urafiki, udini, ukanda au ukabila, kunakuwa na Kamati huru yenye kuyafanya haya, huoni tutakua na mwanzo mzuri na kuwa na jeshi la mfano?
Au Askari wetu mmoja amekosea, basi awe punished openly na instantly kusiwe na kusita wala kuyumbisha, Yes We can
Elli anasema ukweli, tuwapende tu hawa ni ndugu zetu jamani, mi nakuhakikishia kuwa kuna baadhi ya polisi wazuri kabisa na hawana shida kwenye kazi zao, wako fair na wana utu.
wanaochefua ni wale wenye tabia zilizopinda ambao ndio wanashawishika kubehave tofauti na kazi zao kwa kuwanyanyasa raia, wale wenye roho mbaya. na zaidi roho zao zinazidi ubaya kutokana na kutafuta vipato kwa nguvu, mtaji wao ni fani yao, sijui hao tuwafanyeje, ila msisahau kuna wazuri mno tena wenye msaada kwa raia, na tena hata wanakuwa washauri wazuri tu
You are not talking abt the police force then...tatizo kubwa na la wazi la sekta zote za nchi hii zipo kwenye System of Governance!
A new constitution first vingine vitafuata.
Unakumbuka kenya? Walipata katiba mpya then ndo wakaja kwenye vetting ya IGP na other police officials. IT WAS ALL STATED IN THE CONSITUTION.
KATIBA MPYA KWANZA..MENGINE BAADAYE.
ukweli toka moyoni
mwangu...i hate this watu called police....hata awe katika haligani
siwezi mpa msaada wowote....
Muogope MuNGU Mpwa wanguHii mijibwa koko ya ccm ni kero tu...
Bw. Elli naunga mkono hoja yako na kuongeza lingine linaloniuzi zaidi
Jeshi la Polisi ni Watesaji na Wasiozingatia Haki za Binadamu,
- angalia pale mtuhumiwa anapokamatwa, hawakuambii kosa lako wanakunyanyua juu juu na makofi na mateke. Mwambiemtu kosa lake kwanza alaf mwambie anahitajika kituoni sio lazima kumpiga. ninachukia sana nikiona raia anapigwa na polisi, hawajui una tatizo la kiafya wala hawajali watoto wako wanakuangalia unavyopokea mkong'oto. namna hii sidhani kama watapata ushirikiano wa raia.
da mkuu we ni noma uchambuzi wako ni mzuri sana aiseee......