Hii ndio "Status" ya Jeshi la Polisi kwa sasa

Hii ndio "Status" ya Jeshi la Polisi kwa sasa

Juzi juzi nili kwenda kuomba kuaptiwa hati ya tabia njema ili nisafiri kwenda shule ughaibuni. Nilipofika makao makuu ya jeshi la polisi nili kwenda mapokezi nikaeleza shida yangu. Nilielekezwa kwenda kitengo cha finger print identification (IB). Kwanza kumwona afsa wa kunipatia maelezo ilikuwa mbinde chenga kibao....baadaye nikaambiwa kulipia. Nilipo lipia nikaombwa pesa nyingine 20000/= kwa ajili ya kuchukuliwa alama za vidole. Baadaye jamaa akaniuliza nina kwenda wapi, nikamwambia nakwenda kusoma SA kwa muda wa mwaka mmoja, then lini unasafiri nika mwambia tarehe ya safari kwa nia njema tu...Baadaye akasema njoo uchukuwe barua baada ya wiki tatu, mbele zaidi ya tarehe ya safari akidai kuwa maombi ni mengi mno....Lakini ukitoa ushirikiano hata kesho una pata tu. Ushirikiano ni 50000/=....Nilipotoa hiyo nikaambiwa kakae nje kidogo..baada ya masaa mawili nilichukuwa barua....WANAKULA RUSHWA HATA MAKAO MAKUU YA JESHI SI MCHEZO
 
Siwalaumu sana polisi kwani vitu vingine wanafanya kutokana na mazingira. Wewe mtu ndo kakuweka kazini (kinyume na utaratibu/sheria za jeshi) kwa kuwa yeye ni mkuu wa kitengo fulani katika jeshi. Alafu baadae anakwambia mshiriki nae kufanya uharifu, na ukikataa anakushtaki kwa kugushi vyeti vya kujiunga na jeshi. (wakati unaweza kukuta yeye ndio aliye kushawishi kufanya ivyo). Je kwa mazingira kama haya, ungekuwa wewe ndio polisi ungefanya nini? Na hauna uthitisho kuonyesha kama kweli jamaa alihusika kukuweka jeshini kinyume na sheria. Je? Utafanya kama anavyotaka jamaa? Au utakataa ili ushtakiwe.
 
Siwalaumu sana polisi kwani vitu vingine wanafanya kutokana na mazingira. Wewe mtu ndo kakuweka kazini (kinyume na utaratibu/sheria za jeshi) kwa kuwa yeye ni mkuu wa kitengo fulani katika jeshi. Alafu baadae anakwambia mshiriki nae kufanya uharifu, na ukikataa anakushtaki kwa kugushi vyeti vya kujiunga na jeshi. (wakati unaweza kukuta yeye ndio aliye kushawishi kufanya ivyo). Je kwa mazingira kama haya, ungekuwa wewe ndio polisi ungefanya nini? Na hauna uthitisho kuonyesha kama kweli jamaa alihusika kukuweka jeshini kinyume na sheria. Je? Utafanya kama anavyotaka jamaa? Au utakataa ili ushtakiwe.
nimekuelewa sana Mpwa, na kwa kuwa utakua na vyeti feki basi hata utendaji utakua chini ya kiwango
 
Hongera ELLI kwa msaada wako kwa jeshi la polisi. Umefanya kazi nzuri.
Uzuzi wa kazi yako utahitimika pale jeshi lenyewe litakapotilia maananai mawazo yako.
Wakiyachukulia poa hatutoona mafanikio ya kazi nzuri uliofanya.
Nimeguswa zaidi na wazo lako jinsi ya kumpata IGP hapo mkuu ndio umeotesha mzizi wa mabadiliko.
 
Hongera ELLI kwa msaada wako kwa jeshi la polisi. Umefanya kazi nzuri.
Uzuzi wa kazi yako utahitimika pale jeshi lenyewe litakapotilia maananai mawazo yako.
Wakiyachukulia poa hatutoona mafanikio ya kazi nzuri uliofanya.
Nimeguswa zaidi na wazo lako jinsi ya kumpata IGP hapo mkuu ndio umeotesha mzizi wa mabadiliko.
asante sana MPwa na MUNGU akubariki, tusingoje hadi CCM watoke madarakani tuanze na haya madogo madogo. Maadamu muda tunao basi tuonyeshe nia kuwa hata CCM watakapoondoka tutakuwa na uwezo wa kuyafanya hayo tunayoyataka yawe
 
ukweli toka moyoni mwangu...i hate this watu called police....hata awe katika haligani siwezi mpa msaada wowote....

rudisha moyo baba! Maana pamoja na madhaifu tunawategemea kwa sana
 
rudisha moyo baba! Maana pamoja na madhaifu tunawategemea kwa sana
nasisitiza kuwa hawa bADO Ni ndugu zetu.....nimejiskia vibaya sana yule askari wa JKT aliempiga vibao na ngwala traffic jana kule PWANI
 
Rejea kamanda Kamuhanda baada ya kusimamia mauaji ya Mwangosi, alisifiwa bungeni na waziri na juzi amepandishwa cheo.
na mimi leo nimekamatwa na wapuuzi wale askari wa boda boda ili kuepuka tu usumbufu ikabidi niwape buku taTU, wapuuzi wakubwa wale, nilisahahu kuchukua namba zao nilikua na issue muhimu sana nawahi mahali, hakyanani next time nawaanika Jukwaani tena kwa majina
 
barabara ya tcu nimemuona polic anaomba ice cream kwenye gari la azam halaf anawaombea na wenzie ili wapoze kiu nilicheka sana kwa kuwa walikosa kosa la kumuadhibu jamaa tujipange sana tunaweza
 
hahahaaaa yule ni jirani yake Paloma
barabara ya tcu nimemuona polic anaomba ice cream kwenye gari la azam halaf anawaombea na wenzie ili wapoze kiu nilicheka sana kwa kuwa walikosa kosa la kumuadhibu jamaa tujipange sana tunaweza
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa yule ni jirani yake Paloma

hivi hamjui hali ni ngumu.........alaaa! Elli hivi mbona sijawahi kusikia polisi au wanajeshi wakilalamikia mishaharana marupurupu kama walimu au madaktari?
 
Last edited by a moderator:
Hahhahaaaaa wana unlimited sources of revenue, unakumbuka ule wimbo wa Wagosi wa Kaya? Traffic anamwambia Mke wake aandae Ugali analeta mboga? Chezea Polisi wewe? Kila kamba atakula kwa urefu wa mbuzi wake!!!!!!!!!
hivi hamjui hali ni ngumu.........alaaa! Elli hivi mbona sijawahi kusikia polisi au wanajeshi wakilalamikia mishaharana marupurupu kama walimu au madaktari?
 
Hahhahaaaaa wana unlimited sources of revenue, unakumbuka ule wimbo wa Wagosi wa Kaya? Traffic anamwambia Mke wake aandae Ugali analeta mboga? Chezea Polisi wewe? Kila kamba atakula kwa urefu wa mbuzi wake!!!!!!!!!


na wajeda jeeeeee
 
Elli nakubaliana na uwasilishaji wa uzi wako huu. Tuanze kuchukua hatua badala ya kuongea na/au kulalamika tu, nadhani hii ni moja ya hatua nzuri ili kuwaumbua na kuwafunza adabu hawa wahuni/wahalifu wenye kuvaa sare.
 
Katika mojawapo ya matamko ya Mch Msigwa Bungeni hivi karibuni, amekataa kuombea baadhi ya mambo. Kwenye kanuni/principles of good governance hakuna eneo wanalotaja kuombea. Nadhani mfumo wetu wa uwajibikaji umeoza na pia raia tuna-hamasisha uovu kwa kukosa ujasiri wa KUPIGA KELELE pale ambapo umeona umeonewa, Kuna uonevu mkubwa kwenye jeshi letu la polisi kama ilivobainishwa nadhani ni wakati muafaka kuupinga kwa nguvu zote.
Tuwaombee !
 
Duh safi sana naunga mkono hoja, Jeshi letu limetajwa mara nyingi sana kwenye Mauwaji na uozo wa kila aina
Katika mojawapo ya matamko ya Mch Msigwa Bungeni hivi karibuni, amekataa kuombea baadhi ya mambo. Kwenye kanuni/principles of good governance hakuna eneo wanalotaja kuombea. Nadhani mfumo wetu wa uwajibikaji umeoza na pia raia tuna-hamasisha uovu kwa kukosa ujasiri wa KUPIGA KELELE pale ambapo umeona umeonewa, Kuna uonevu mkubwa kwenye jeshi letu la polisi kama ilivobainishwa nadhani ni wakati muafaka kuupinga kwa nguvu zote.
 
Nakubaliana na wewe, it is high time tubadilishe mtazamo wa mambo, haina haja ya kuendelea kuoneana haya kwa mambo ambayo yanatumaliza wenyewe....
Elli nakubaliana na uwasilishaji wa uzi wako huu. Tuanze kuchukua hatua badala ya kuongea na/au kulalamika tu, nadhani hii ni moja ya hatua nzuri ili kuwaumbua na kuwafunza adabu hawa wahuni/wahalifu wenye kuvaa sare.
 
Back
Top Bottom