Uchaguzi 2020 Hii ndio tafsiri yake upinzani umekufa

Uchaguzi 2020 Hii ndio tafsiri yake upinzani umekufa

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Baada ya kuona watu waliokuwa wanajazana kumuangalia mgombea aliyetoka Ulaya, wengi wa makamanda wakawa wanauliza tuliambiwa upinzani umekufa mbona haujakufa, mkaambiwa kuweni makini hao ni amsha amsha hakuna mpiga kura hapo.

Leo hii baada ya baadhi ya majimbo matokeo yake kutangazwa moja kwa majibu yenu yamepatikana kuwa upinzani marigio chee.

OMBI MAALUMU;
Tujitokeze kwa wingi siku ya kuapishwa Rais wetu kipenzi aliyevunja rekodi ya kura, ili atupe maendeleo uchaguzi umekwisha tujikite kwenye maendeleo.

NB: Pesa itarudi mtaani mishahara itaongezwa bila kusahau bima ya afya kwa kila mtanzania na vile vijiji 2000 na ushee kumaliziwa umeme wa REA maendeleo hayana vyama!
 
Wapinzani walijiondoa wenyewe bungeni kwenda kujifungia kwa kuogopa corona. Corona ikiisha sisi tutawarudisha bungeni. Mungu wetu hana muda na watu wanao ogopa kufa kwa corona, tofauti na yule wa Lissu.
 
Baada ya kuona watu waliokuwa wanajazana kumuangalia mgombea aliyetoka Ulaya, wengi wa makamanda wakawa wanauliza tuliambiwa upinzani umekufa mbona haujakufa, mkaambiwa kuweni makini hao ni amsha amsha hakuna mpiga kura hapo...
Uchaguzi upi? Tanzania hakuna uchaguzi bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM, subiria uone nini kitafuata soon
 
Baada ya kuona watu waliokuwa wanajazana kumuangalia mgombea aliyetoka Ulaya, wengi wa makamanda wakawa wanauliza tuliambiwa upinzani umekufa mbona haujakufa, mkaambiwa kuweni makini hao ni amsha amsha hakuna mpiga kura hapo...
Tunaingia. Kwenye ngwe mpya ugaidi na mashambulizi ya kushtukiza
 
Uchaguzi upi? Tanzania hakuna uchaguzi bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaweza kuipa kura yake CCM, subiria uone nini kitafuata soon
Tanzania ina wendawazimu wengi wenye kutaka maendeleo bila kelele ila vitendo!
 
Wapinzani walijiondoa wenyewe bungeni kwenda kujifungia kwa kuogopa corona. Corona ikiisha sisi tutawarudisha bungeni. Mungu wetu hana muda na watu wanao ogopa kufa kwa corona, tofauti na yule wa Lissu.
Mungu yupi? Kuna mungu wa kukubali wizi wa kura wa CCM? huyo? Watanzania walipiga nyungu wakala tanga wizi limaui vitamini c kwa wingi kwa pamoja ndiyo maana corona haikusambaa, mungu yupo na alisimama kwenye Hizo dawa bila hizo dawa mungu asingesimama pia, acheni kumsingizia mungu kwa vitu vya kawaida
 
Wapinzani walijiondoa wenyewe bungeni kwenda kujifungia kwa kuogopa corona. Corona ikiisha sisi tutawarudisha bungeni. Mungu wetu hana muda na watu wanao ogopa kufa kwa corona, tofauti na yule wa Lissu.
Wabunge wa CCM walikufa kwa corona, mahiga ndasa Mchungaji Rwakatare pasipo kuchukua tahadhari ndipo wapinzani wakawashitua CCM wakaanza kuweka vitakasa mikono maji ya kunawa barakoa kwenye kumbi za bunge , mungu alipitia kwenye nyungu, Tangawizi, Limau na vitamini C kuwalinda watanzania
 
Back
Top Bottom