Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.Kutumia iPhone ukiwa Afrika ni kupoteza pesa tu...
Huwa naona kuna uhusiano wa ushamba na ulimbukeni kwa watumiaji wa hii simu! Wengi wao siyo wote!wengi wanatumia kwa kujionyesha
Mkuu tunaomba matumizi matatu ambayo waafrika hatuyajui.Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
Pesa ya mtu inakupandisha sukariNa wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
ulitaka waweke macho manne??Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.
Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16 Pro huku macho matatu yakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.View attachment 3043966
Kampuni ya apple imeishiwa ubunifu.
Anyway, dada zetu ule muda wa kuumia umefika tena🤣
Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
Ila ndani haviwezi kuwa same plus muonekano wa nje. 11 tumetumia na haiko hivyoyakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.
Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko 🤣🤣ulitaka waweke macho manne??
iSheep huwa mna maneno .. hata nyie kwa nyie mnabaguana kwa iOS mnazotumia.. 16 hii hapo.. mje mtupe reviewIla ndani haviwezi kuwa same plus muonekano wa nje. 11 tumetumia na haiko hivyo
Hao 11 wanaishia IOS 17, 18 hawafiki.
tukapalilie mchicha emiSheep huwa mna maneno .. hata nyie kwa nyie mnabaguana kwa iOS mnazotumia.. 16 hii hapo.. mje mtupe review
sehemu ya malipo baada ya kupalilia nichukulie iPhone 16 Pro max ya 512GB..tukapalilie mchicha em