mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
😀😀😀Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko 🤣🤣
Huwa naona kuna uhusiano wa ushamba na ulimbukeni kwa watumiaji wa hii simu! Wengi wao siyo wote!
.,Hebu elezea hivyo vifungu vitatu ambavyo waafrika hajui kuvitumia....1.imessage
2.facetime
3.siri
Hayo ni baadhi ya matumizi ya iPhone ambayo wabongo walio wengi hawajui kuyatumia lakini kwa uku USA Hayo ni matumizi ya kila siku kwa iPhone user wengi kwa uku
.....so hoja yangu ni kwamba sidhani kama kuna ulazima kununua iPhone na hujui kuitumia vizuri
Kwani wewe hiyo simu yako unatumia kufanya nini zaidi ya hayo matumizi ulio orodhesha? Wewe unaumia nini?Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
Haina maajabuMwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.
Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16 Pro huku macho matatu yakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.View attachment 3043966
Kampuni ya apple imeishiwa ubunifu.
Anyway, dada zetu ule muda wa kuumia umefika tena🤣
Jiko la gas … oryx🤣🤣 hivi umeona hizi tecno, infinix latest? Camera bonge la duara kama plate ya jiko 😂😂😁
App gani? Labda kama hujui na hufanyi updates……..! Hebu twambie apps zilizo kusumbua ….Kuna baadhi ya app hazikubali ku install.
Tatizo ni hili, Apps km 3 zilikataa ku install, aaah nkaona siwezi ishi bila hizi App nkaachana nayo.
BiasharaKwani wewe hiyo simu yako unatumia kufanya nini zaidi ya hayo matumizi ulio orodhesha? Wewe unaumia nini?