Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Kondoo mwenyewe bana.
Wewe mwenye akili mbona ustaarabu huna?
Ni mtu mwenye akili za kikondoo tu anaweza kuita simu zote ambazo sio Iphone kua ni Android.

Ni Isheep tu anaweza kufikiri hivyo

Ni Isheep tu ambae akiwa na Laptop ya Apple, laptop nyingine zote ataziita Microsoft.

Ni Isheep tu qmbae akivaa saa ya Apple, smartwatch zote zilizobaki ataziita Android smart watches nk.
 
Ni mtu mwenye akili za kikondoo tu anaweza kuita simu zote ambazo sio Iphone kua ni Android.

Ni Isheep tu anaweza kufikiri hivyo

Ni Isheep tu ambae akiwa na Laptop ya Apple, laptop nyingine zote ataziita Microsoft.

Ni Isheep tu qmbae akivaa saa ya Apple, smartwatch zote zilizobaki ataziita Android smart watches nk.
Sasa we baba kondoo mbona huna tofauti na kondoo walioko zizini? Adabu huna, ustaarabu huna. Una tofauti gani na kondoo?

Ahsante kwa marekebisho baba kondoo. Ila next time ili uwe civilized mrekebishe mtu kimya, sio mpk urefushe mdomo
 
Narudia tena, iPhone ni simu ya watu fulani hivi hata AKILI na uwezo wao wa KUFIKIRI ni mdogo sana..

Jaribu kufanya utafiti.

Wenyewe wanajiita wanatunza BRAND same as wamiliki wa magari ya kijerumani BM , BENZ etc wanawaona wamiliki wa TOYOTA kama vile mavi.

Samsung itabaki kuwa Top na baadhi ya simu ambazo sio famous kutokana na uchache wa watumiaji wake ambao wengi ni wanajielewa mno mno.
 
Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.

Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16 Pro huku macho matatu yakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.View attachment 3043966

Kampuni ya apple imeishiwa ubunifu.

Anyway, dada zetu ule muda wa kuumia umefika tena🤣
Dada zetu waumie kwa nini sasa
 
Why calling them stupid as if uliwanunulia? Why u guys are so bitter over apple products? Uwa mnafeli wapi?
Ila watu wa iPhone huwa mnatukanwa yaani mfano mie napenda kushika Infinix yangu mkononi alafu nikikaa naifunika kioo chini ili camera isiathirike na michubuko (ipo kwenye vibration)

Ingekuwa simu yangu ni iPhone ningeambiwa najionyesha ila kwa kuwa ni Infinix naonekana kawaida
 
Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.

Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16 Pro huku macho matatu yakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.View attachment 3043966

Kampuni ya apple imeishiwa ubunifu.

Anyway, dada zetu ule muda wa kuumia umefika tena🤣
Screenshot_20240721-120959.jpg


Cc: Mahondaw
 
Narudia tena, iPhone ni simu ya watu fulani hivi hata AKILI na uwezo wao wa KUFIKIRI ni mdogo sana..

Jaribu kufanya utafiti.

Wenyewe wanajiita wanatunza BRAND same as wamiliki wa magari ya kijerumani BM , BENZ etc wanawaona wamiliki wa TOYOTA kama vile mavi.

Samsung itabaki kuwa Top na baadhi ya simu ambazo sio famous kutokana na uchache wa watumiaji wake ambao wengi ni wanajielewa mno mno.
Haha nimecheka sana, unaponda wanailiki european cars, unaponda wanaomiliki iphone una sahau samsung nao wana disadvantage zao, na si kila mtu atapenda samsung

Kaka tafuta hela, uachane na malalamiko madogo madogo
 
Narudia tena, iPhone ni simu ya watu fulani hivi hata AKILI na uwezo wao wa KUFIKIRI ni mdogo sana..

Jaribu kufanya utafiti.

Wenyewe wanajiita wanatunza BRAND same as wamiliki wa magari ya kijerumani BM , BENZ etc wanawaona wamiliki wa TOYOTA kama vile mavi.

Samsung itabaki kuwa Top na baadhi ya simu ambazo sio famous kutokana na uchache wa watumiaji wake ambao wengi ni wanajielewa mno mno.
Mkuu kunywa maji kidogo calm down ,calm down
 
Haha nimecheka sana, unaponda wanailiki european cars, unaponda wanaomiliki iphone una sahau samsung nao wana disadvantage zao, na si kila mtu atapenda samsung

Kaka tafuta hela, uachane na malalamiko madogo madogo
Una uhakik gan sina hela Kaka.. 😅 sijalalamika nimesema yale nayoona yapo sahihi..
 
Back
Top Bottom