Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Simu hii ni nzuri, ina feature zote Kali lakini pia ni portable.

Ukiwa mtu wa kwenda na wakati unaweza jikuta Kila toleo jipya la simu unatamani kuwa nalo

Japo kwenye hili wahanga wakubwa ni akina Dada/Mama

Ni addiction kama ilivyo baadhi yao kuwa na lundo la nguo mpya ndani, lakini Kila wakienda Dukani wanarudi na nguo nyingine 🙌

Mwanaume anaweza kutonunua nguo mpya hata mwaka mzima ama akatumia simu moja hata miaka 4 ama 3 bila kubadirisha.
Wanawake tunaumwa ndo maana wakemea mapepo wanatufaidi, mbaba wangu ye simu ni miaka 5-7
 
"Eti nina iPhone macho matatu" nikamwambia hongera

sijui alipigwa au vip m nkapita ivi 🤣
images.jpeg
 
Watu wa android tusijipe moyo.

Iphone ni simu nzuri + classic Japo samsung ni simu bora ya mda wote.

Japo mm siwezi kutumia iphone, kwa sababu 2

1. Ukianza kutumia iphone, huwezi tumia brand nyingine utaanza kujiona kama umeshuka brand 😀

2. Brand inakulazimisha kuendelea ku upgrade once kuna matoleo mapya sokoni. Mfano leo hii ukiwa na iphone 11 unaonekana ni low budget 😀

Hizo ndo sababu zinafanya niendelee kubaki huku kwenye Pixel, na Samsung.
 
Hizi simu zina addiction, nimejionea mwenyewe. Kama mtu ako na pesa ajipatie kitu moyo unapenda.

Nilipoteza simu, nikapewa infinix ile sijui ilikuwa ni itel na bro. Nikawa naona mauza uza tu yan, kifupi ilinishinda nikamrudishia bro.

Ni kama mtu aliyezoea kudrive SUV afu mje mumpe vits, ataona km kadumbukia shimoni.
iPhone 6?
 
Wanawake tunaumwa ndo maana wakemea mapepo wanatufaidi, mbaba wangu ye simu ni miaka 5-7
Nadhani ndiyo asili yenu kutokutosheka....

Hata Bibi yenu nyumbani ana mabegi yamejaa nguo lakini haachi kwenda kufanya shopping za nguo mpya Kila Mwezi

Mimi kwenye simu huwa sijali brand, naweza kutumia Samsung ama Infinix muhimu iwe inapiga na kupokea 🙌
 
Nadhani ndiyo asili yenu kutokutosheka....

Hata Bibi yenu nyumbani ana mabegi yamejaa nguo lakini haachi kwenda kufanya shopping za nguo mpya Kila Mwezi

Mimi kwenye simu huwa sijali brand, naweza kutumia Samsung ama Infinix muhimu iwe inapiga na kupokea 🙌
Nyie mnapuyanga kwenye k-vant tu ila kwingineko wala hamna mambo mengi km sie🤣
 
Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko 🤣🤣
Hivi watu mkiitwa kondoo bado mnakataa wakati mna akili za kikondoo.

Hakuna simu zinaitwa Android, android ni operating system inayoendesha simu. Mbona laptop zote haziitwi Microsoft kwa sababu zinaendeshwa na Microsoft OS?
 
Back
Top Bottom