Mycojkhan
JF-Expert Member
- Jul 12, 2024
- 803
- 1,498
Inategemea,Kuna iPhone na ifone vitu viwili tofautiKutumia iPhone ukiwa Afrika ni kupoteza pesa tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea,Kuna iPhone na ifone vitu viwili tofautiKutumia iPhone ukiwa Afrika ni kupoteza pesa tu...
Iphone sijui zina miujiza gani. Sipendi kufatilia maisha ya watu lakini nashangaa kwamba Wadada na wanawake ambao hawana kazi, hawana biashara ndio wanaozimiliki kuliko sisi wenye vipato.Huwa naona kuna uhusiano wa ushamba na ulimbukeni kwa watumiaji wa hii simu! Wengi wao siyo wote!
I never failed we mpare 😂😂Ww mwnyw unazijua ila utafanyaje sasa na wakati ushaamua kuwa mlevi wa iphoneeeeee
Wanawake tunaumwa ndo maana wakemea mapepo wanatufaidi, mbaba wangu ye simu ni miaka 5-7Simu hii ni nzuri, ina feature zote Kali lakini pia ni portable.
Ukiwa mtu wa kwenda na wakati unaweza jikuta Kila toleo jipya la simu unatamani kuwa nalo
Japo kwenye hili wahanga wakubwa ni akina Dada/Mama
Ni addiction kama ilivyo baadhi yao kuwa na lundo la nguo mpya ndani, lakini Kila wakienda Dukani wanarudi na nguo nyingine 🙌
Mwanaume anaweza kutonunua nguo mpya hata mwaka mzima ama akatumia simu moja hata miaka 4 ama 3 bila kubadirisha.
iPhone 6?Hizi simu zina addiction, nimejionea mwenyewe. Kama mtu ako na pesa ajipatie kitu moyo unapenda.
Nilipoteza simu, nikapewa infinix ile sijui ilikuwa ni itel na bro. Nikawa naona mauza uza tu yan, kifupi ilinishinda nikamrudishia bro.
Ni kama mtu aliyezoea kudrive SUV afu mje mumpe vits, ataona km kadumbukia shimoni.
Hahahaha.........Naomba unifundishe kutumia Babu yako🤗Humo tu humo tuuu 👌👌
Kwa tusiopenda simu nzito na pana,, plain na pro ni the best
Nadhani ndiyo asili yenu kutokutosheka....Wanawake tunaumwa ndo maana wakemea mapepo wanatufaidi, mbaba wangu ye simu ni miaka 5-7
Nyie mnapuyanga kwenye k-vant tu ila kwingineko wala hamna mambo mengi km sie🤣Nadhani ndiyo asili yenu kutokutosheka....
Hata Bibi yenu nyumbani ana mabegi yamejaa nguo lakini haachi kwenda kufanya shopping za nguo mpya Kila Mwezi
Mimi kwenye simu huwa sijali brand, naweza kutumia Samsung ama Infinix muhimu iwe inapiga na kupokea 🙌
Naona umeamua kuongea Kitaalam zaidi 🤗Nyie mnapuyanga kwenye k-vant tu ila kwingineko wala hamna mambo mengi km sie🤣
Wanaume mnajinunulia vitu vya gharama sana, kwanini wanawake kununua iphone mnaonaga issue kubwa!Iphone sijui zina miujiza gani. Sipendi kufatilia maisha ya watu lakini nashangaa kwamba Wadada na wanawake ambao hawana kazi, hawana biashara ndio wanaozimiliki kuliko sisi wenye vipato.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi em sema kweliii? WoiiiiiihHuo ndiyo ukweli, kama wewe costa ukibeba hiyo ukienda kuomba visa ya Marekani wala hupati tabu, tena unasaidiwa kujaza form.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Eti nina iPhone macho matatu" nikamwambia hongera
sijui alipigwa au vip m nkapita ivi [emoji1787]
View attachment 3045470
Kuna shoga gani la wazi lilinyimwa visa ya Marekani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi em sema kweliii? Woiiiiiih
Hivi watu mkiitwa kondoo bado mnakataa wakati mna akili za kikondoo.Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko 🤣🤣
Kondoo mwenyewe bana.Hivi watu mkiitwa kondoo bado mnakataa wakati mna akili za kikondoo.
Hakuna simu zinaitwa Android, android ni operating system inayoendesha simu. Mbona laptop zote haziitwi Microsoft kwa sababu zinaendeshwa na Microsoft OS?