cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walitaka waweke camera zina macho mabaya kama simu za android za siku hizi. Camera kama plate za jiko [emoji1787][emoji1787]
Kumekuchaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi Marekani na Canada wanaobeba hizo ni LGBTQ.
😂😂😂😂😂😂Enheee, hapa tutajifunza matumizi.
Ukiwa Ulaya Iphone ina matumizi gani ambayo huku kwetu hatufanyi, ina kaanga mayai bila kusimamiwa ?
To be the honest, I4n ni cm kalii na naikubalii mnoo. Ila shida ni 1 tyuh LIMITATIONS!!
niliwahi kua nayo 11pro, bahati nzuri nilipewa, jamani ina Limits had kero, nkaonaa siwezani nayo, ya nn nikae na cm ambayo hainipi kile nachopendaa,
Nikampa dogo, yeye akanipa Samsung. Niko huku android.
Ila iOS siku wakiondoa limitations, mbona niko huko tena Latest version.
Akikujibu nitag! 😎Mkuu tunaomba matumizi matatu ambayo waafrika hatuyajui.
Kama mtu unaimudu kwanini usiinunue tu.
Shida ya Hiyo Brand anayetumia 11,12,13,14,15 hawatofautiani...To be the honest, I4n ni cm kalii na naikubalii mnoo. Ila shida ni 1 tyuh LIMITATIONS!!
niliwahi kua nayo 11pro, bahati nzuri nilipewa, jamani ina Limits had kero, nkaonaa siwezani nayo, ya nn nikae na cm ambayo hainipi kile nachopendaa,
Nikampa dogo, yeye akanipa Samsung. Niko huku android.
Ila iOS siku wakiondoa limitations, mbona niko huko tena Latest version.
Kuna baadhi ya app hazikubali ku install.Wamekulimit nini?
Mention 5 limitations
🤣🤣🤣🤣🤣Shida ya Hiyo Brand anayetumia 11,12,13,14,15 hawatofautiani...
Mtu anaweza kujigamba anatumia 15 wakati anayotumia ni 11 vile zinavyofanana( Na hii comment yangu isiguswe) isipokuwa huyu Atoto tu🤣
Dyadyaa!! Ujue kuna watu wanashangaa sana mie kutumia android,Shida ya Hiyo Brand anayetumia 11,12,13,14,15 hawatofautiani...
Mtu anaweza kujigamba anatumia 15 wakati anayotumia ni 11 vile zinavyofanana( Na hii comment yangu isiguswe) isipokuwa huyu Atoto tu[emoji1787]
Karibu ulimwengu wa Android Mdogo wangu....😘Dyadyaa!! Ujue kuna watu wanashangaa sana mie kutumia android,
Wanasema ujanja wotee huo hauko iOS, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa iOS enyewe chimbo haitaki kupokea, aaaah wee.
Limitations ilinikimbizaa bhanaa,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka....🤣🤣🤣🤣🤣
Bora mie na infinix yangu sina taabu na mtu, mtajua na maaifoni yenu yasiyoeleweka hayo.
Infinix na iheshimiwe tafadhali.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka....
Wewe huyo tena? Sawa...
Ndo niko huku sanaa!! [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Karibu ulimwengu wa Android Mdogo wangu....[emoji8]
🤣🤣🤣🤣sawa..Infinix na iheshimiwe tafadhali.
Laki na nusu tu nina kainfinix kangu kakaliii, na bado hela yangu inaniuma😭😭🤣🤣🤣🤣sawa..
But umenifunza somo la "Showoff siyo nzuri"🤣
🤣🤣🤣🤣Basi yaishe..Laki na nusu tu nina kainfinix kangu kakaliii, na bado hela yangu inaniuma😭😭
Hayo mamilioni sijui mnatoajae🙆🙆🙆