Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
🤣🤣🤣🤣 wamefeli sana ile design🤣🤣
Kuna hiyo moja nilimuona nayo mtu hee camera pana adi nilishtuka af huyo mtu nilikua namuheshimu sana
Bora wangebaki vile vile walikuwaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 wamefeli sana ile design🤣🤣
Kuna hiyo moja nilimuona nayo mtu hee camera pana adi nilishtuka af huyo mtu nilikua namuheshimu sana
Halafu wengi ni malaya na mashogaNa wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
🤣🤣Tukitoka hapo tutahamia kwenye 16, maana itakua imetoka by that time.😂😂😂 Imemaliza bhana. hii hapa nimejiapiza nitoboe nayo mwaka.. ile ya kabla ya hii ndio nilibadilisha within 3 months sababu ilikuwa pro max kubwa sana ikanishinda kuizoea
Hutaki tununue gari sio 🤣🤣🤣🤣Tukitoka hapo tutahamia kwenye 16, maana itakua imetoka by that time.
Gari tutatumia la naniliii🤣🤣Hutaki tununue gari sio 🤣🤣
11 kuachw na iOS bado sanaaaaaaIla ndani haviwezi kuwa same plus muonekano wa nje. 11 tumetumia na haiko hivyo
Hao 11 wanaishia IOS 17, 18 hawafiki.
Nimeona mtandaoni mwaya11 kuachw na iOS bado sanaaaaaa
Sijui kwanini watu mna hii mentality, low thinking capacityHalafu wengi ni malaya na mashoga
🤣🤣🤣 umeanzaaaGari tutatumia la naniliii🤣🤣
😂ya kuingiza na kutoa kitu kigumuWadada waanze mazoezi makali sana
Akisafiri bolt zipo za kutosha, so tulia tukusanye hela za 16 kwanza🤣🤣🤣🤣🤣 umeanzaaa
XS max Xr Na wengine wanyuma ya 11 kabla ya 8plus mpaka waachwe ili afikiwe 11 bado mnoooNimeona mtandaoni mwaya
Ila 11 plain ni best series na XR. Nilizipendaga sana, ila ndo hivyo vya kale dhahabu
hahaha! akichukua 16 Pro max.. mtu anapita njia ya vumbi pasipo kutumia kilainishi.. ili fedha yake itumike kihalali haha.. huwa wanapata saaana taabu😂ya kuingiza na kutoa kitu kigumu
😁😁 hutaki twende road trip eheeeAkisafiri bolt zipo za kutosha, so tulia tukusanye hela za 16 kwanza🤣🤣
Ukisikia paaaaaahSijui kwanini watu mna hii mentality, low thinking capacity
Kwani wanaotumia iphone ulaya wenyewe wanatumia kufanya nini?Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
Swadakta.simu ni nzuri
Kuanzia muonekano mpk ndani
Mtu anajimudu why usijipe kitu upendacho?
Mbona kuna wenzetu wanatumia perfume za laki 8,6. Afu sie tunatumia copy zake kwa pesa kidogo nukato lile lile na zinaitwa oil based sijui za kupima. Hamna kelele,, ila njoo kwa apple products dhidi ya wasiozitumia,, ni fujo mwa mwii
Hajakutana bado na wanawake wenye wanamake hela zao. Hajawahi kupewa hela akanunue cadet, circle yake tia maji tia maji unadhani mawazo mema atayatoa wapiSijui kwanini watu mna hii mentality, low thinking capacity