Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Swadakta.

Kuna mtu ananunua soda ya takeaway kwa elfu 5 ambapo soda hiyo hiyo unainunua buku kwa Mangi.

Kila kitu ni uwezo tu ila makapuku wa kuweka rehani miili yao ili wapate iphone wakizipata sasa, wanahisi hata Elon Musk ni Matonya.
Unaedit edit sana
Hujiamini na comment uliyoanza kuiweka? 🤣🤣🤣
 
Hajakutana bado na wanawake wenye wanamake hela zao. Hajawahi kupewa hela akanunue cadet, circle yake tia maji tia maji unadhani mawazo mema atayatoa wapi
wanawake wenye hela si ndio tunawaita mishangazi eeh.. akipata mshangazi mmoja huenda akafuta kauli.. unakuta mshangazi umekupa ticket ya kwenda dubai ukale bata, unarudi home parking unakuta S350 Mercede Benz.. mishangazi iishi sanaa
 
Mwezi Septemba mwaka huu, kampuni ya Apple inatarajiwa kuzindua iPhone 16 series ikiwemo, iPhone 16 plain, iPhone 16 Pro na iPhone 16 Pro Max.

Huu ndio utakavyokuwa muonekano wa simu ya iPhone 16 Pro huku macho matatu yakibaki vilevile kama kwenye iPhone 11 Pro.View attachment 3043966

Kampuni ya apple imeishiwa ubunifu.

Anyway, dada zetu ule muda wa kuumia umefika tena🤣
Sipendi kabisa kuhusishwa na iPhone kwa kuwa mmiliki mkubwa wa Apple Inc ni shoga aliyejitangaza, Tim Cook.

Ndiyo maana simu inapendwa na wanawake na mashoga
 
wanawake wenye hela si ndio tunawaita mishangazi eeh.. akipata mshangazi mmoja huenda akafuta kauli.. unakuta mshangazi umekupa ticket ya kwenda dubai ukale bata, unarudi home parking unakuta S350 Mercede Benz.. mishangazi iishi sanaa
🤣🤣🤣 si ndio babu
Lishangazi limejipata limejimaliza. Kabakiza kupokea raha za kukojozwa tu,, sio shida zake kukulaza SA week nzima ufanye kazi ya kumkanda mgongo
 
1.massage
2.facetime
3.siri

Hayo ni baadhi ya matumizi ya iPhone ambayo wabongo walio wengi hawajui kuyatumia lakini kwa uku USA Hayo ni matumizi ya kila siku kwa iPhone user wengi kwa uku
.....so hoja yangu ni kwamba sidhani kama kuna ulazima kununua iPhone na hujui kuitumia vizuri
Kama ndiyo hayo, mbona hata android phones zina vikolokolo vingi tu ambavyo watu hawavitumii. Hizo ulizotaja hata huko duniani kuna watu hawatumii pia.

Simu ni kama kompyuta tu, mtu unaitumia vile unaona inakutoshelezea mahitaji yako.
 
Hizi simu zina addiction, nimejionea mwenyewe. Kama mtu ako na pesa ajipatie kitu moyo unapenda.

Nilipoteza simu, nikapewa infinix ile sijui ilikuwa ni itel na bro. Nikawa naona mauza uza tu yan, kifupi ilinishinda nikamrudishia bro.

Ni kama mtu aliyezoea kudrive SUV afu mje mumpe vits, ataona km kadumbukia shimoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas. Woiiiiiih
 
We ni kaongo 😂😂😂
Hizo zote natumia, face time mara chache. Ila siriii almost daily, siri tunatumia wavivu.

Hey siri call Lightysh
Hey siri open whatsapp
Vitu vya ajabu tu nawe Kendrick

imessage ni within iphone na iko automatic
Nimeshangaa sana 😂😂😂 ataje vingine labda
 
Back
Top Bottom