Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Unaedit edit sanaSwadakta.
Kuna mtu ananunua soda ya takeaway kwa elfu 5 ambapo soda hiyo hiyo unainunua buku kwa Mangi.
Kila kitu ni uwezo tu ila makapuku wa kuweka rehani miili yao ili wapate iphone wakizipata sasa, wanahisi hata Elon Musk ni Matonya.
Hujiamini na comment uliyoanza kuiweka? 🤣🤣🤣