Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Hii ndio utakuwa muonekano wa iPhone 16 Pro, Kampuni ya Apple imeishiwa ubunifu

Hayasaidii ktk mchicha hayo
Bora simu napiga picha nzuri za mchicha
Basi mie nitakuchukulia zawadi tajiri yangu.. ile ukipita au ukikaa mahala hivi ile manukato yako ina dominate wotee... ile harufu yake itachochea wateja kuongezeka mteja anakuja ili tu asikiie ile harufu
 
Na wengi wanaotumia iPhone Africa hawajuwi matumizi yake, wengi wanatumia kwa kujionyesha kuwa wanayo na kupiga picha tu, very stupid of them.
Makasiliko ya bule mkuu
Kila mtu atumie simu anayoipenda
Sim ya kwanzs ilikua apple
Na hata leo natumia apple
Kwann unasema wajinga? Kwanin useme wanajionesha kivipi na kwanini?
 
Mkuu tunaomba matumizi matatu ambayo waafrika hatuyajui.

Kama mtu unaimudu kwanini usiinunue tu.
1.imessage
2.facetime
3.siri

Hayo ni baadhi ya matumizi ya iPhone ambayo wabongo walio wengi hawajui kuyatumia lakini kwa uku USA Hayo ni matumizi ya kila siku kwa iPhone user wengi kwa uku
.....so hoja yangu ni kwamba sidhani kama kuna ulazima kununua iPhone na hujui kuitumia vizuri
 
Watu wanashindwa kukubali kuwa nchi hii kuna watu wanaishi maisha ya standard za juu sana kuliko hao walioko uko U.S.A.
Sure. Na wengine hata somo la self love hawalijui,, wanadhani ni sifa kuteseka.

Mabarabarani tu tunaona watu wana ndinga kali. Na kazi yake ni 1 tu kuzungukia atakapo. Sasa mtu kama huyo unaweza mwambia kweli kwanini umenunua discovery 4 na usinunue tu hata ka harrier kisa yote yanakufikisha utakapo.

Mtu jipe utakacho, unachomudu.
 
Makasiliko ya bule mkuu
Kila mtu atumie simu anayoipenda
Sim ya kwanzs ilikua apple
Na hata leo natumia apple
Kwann unasema wajinga? Kwanin useme wanajionesha kivipi na kwanini?
taufiq turky gari yake ilopata ajali tunaambiwa ni 900,000,000/= hali ya kuwa sisi wengine tunalalamika kupanda ushuru wa passo. tujikune tu pale mkono unapofikia na tujifunze kuacha makasiriko.
 
We ni kaongo 😂😂😂
Hizo zote natumia, face time mara chache. Ila siriii almost daily, siri tunatumia wavivu.

Hey siri call Lightysh
Hey siri open whatsapp
Vitu vya ajabu tu nawe Kendrick

imessage ni within iphone na iko automatic
1.massage
2.facetime
3.siri

Hayo ni baadhi ya matumizi ya iPhone ambayo wabongo walio wengi hawajui kuyatumia lakini kwa uku USA Hayo ni matumizi ya kila siku kwa iPhone user wengi kwa uku
.....so hoja yangu ni kwamba sidhani kama kuna ulazima kununua iPhone na hujui kuitumia vizuri
 
Back
Top Bottom